الجولة الإخبارية 2024/02/05م
February 06, 2024

الجولة الإخبارية 2024/02/05م

الجولة الإخبارية 2024/02/05م

العناوين:

  • ·       14 شهيدا فلسطينيا إثر غارات عنيفة على دير البلح في غزة
  • ·       السيسي ووزير خارجية فرنسا يبحثان جهود وقف إطلاق النار بغزة
  • ·       "القسام" تستعرض خسائر كبيرة للاحتلال.. تدمير عشرات الآليات والإجهاز على جنود

التفاصيل:

14 شهيدا فلسطينيا إثر غارات عنيفة على دير البلح في غزة

أسفرت سلسلة من غارات عنيفة شنتها طائرات الاحتلال الحربية على مدينة دير البلح وسط قطاع غزة، إلى استشهاد 14 فلسطينياً وجرح 22 آخرين، جرى نقلهم إلى مستشفى شهداء الأقصى في المدينة. وأفاد مراسل إرم نيوز في قطاع غزة، أن 14 فلسطينياً قُتلوا في قصف احتلالي لعدة منازل في منطقة الحكر وشارع أبو عريف ومسجد الشهداء وجُرح 22 آخرون، حيث أحدث القصف دماراً واسعاً في تلك المناطق. وقال المتحدث الإعلامي باسم مستشفى شهداء الأقصى ومشرف أقسام الاستقبال والطوارئ الدكتور خليل الدقران، إن المستشفى استقبل نحو 14 شهيداً و22 جريحاً جرّاء غارات الاحتلال. وأوضح في حديث لإرم نيوز، أن كثيراً من الإصابات تُعاني من جراح بالغة الخطورة، وحروق شديدة، وتحتاج إلى تدخلات جراحية على أعلى مستوى، وهو ما نفتقده داخل أقسام الجراحة بسبب النقص الحاد في الكادر الطبي، بالإضافة إلى عدم توافر بعض المستلزمات الطبية وأدوية التخدير اللازمة.

إن ما تعيشه الأمة من إبادة وقتل في غزة وخذلان لأهلنا في الأرض المباركة عموما وفي غزة خصوصا في هذه الأيام، وما تكابده من ذل وهوان واستباحة لدماء المسلمين وثرواتهم في كل مكان هو نتيجة حتمية لتسلط هذه الزمرة من العملاء على رقاب الأمة ومنعها من التحرر وإنجاد إخوتهم في غزة وسائر بلاد المسلمين واستعادة سلطانهم المسلوب وسيادتهم المهدورة على أعتاب المستعمرين. وما يحصل اليوم من مجازر وحالة الغليان في الأمة وإمعان الأنظمة في خيانتها توجب على جيوش الأمة التعبئة والقضاء على كيان يهود، وما لم يتم القضاء على هذا الكيان، فإن جرح الأمة النازف لن يتوقف، ولن تنعم الأمة بالسلام. والأنظمة الحالية في البلاد الإسلامية لا تستطيع أن تقضي على هذا الكيان، لأن كل هذه الأنظمة هي خادمة للغرب الكافر الاستعماري، ولذلك فهي من دعمت كيان يهود.

------------

السيسي ووزير خارجية فرنسا يبحثان جهود وقف إطلاق النار بغزة

بحثت مصر وفرنسا، الأحد، "جهود وقف إطلاق النار في قطاع غزة وإنفاذ المساعدات الإنسانية". جاء ذلك خلال لقاء الرئيس المصري عبد الفتاح السيسي، مع وزير الخارجية الفرنسي ستيفان سيجورني، بحضور نظيره سامح شكري، وفق بيان للرئاسة المصرية. وتناول اللقاء "العلاقات الثنائية بين البلدين والأوضاع في قطاع غزة". واستعرض اللقاء "الجهود المصرية المكثفة مع مختلف الشركاء لوقف إطلاق النار في القطاع وإنفاذ المساعدات الإنسانية لإنهاء المأساة الإنسانية التي يعاني منها أهالي غزة". كما شهد اللقاء "التطرق إلى عدد من الملفات السياسية ذات الأولوية، وعلى رأسها الأوضاع في السودان وليبيا والبحر الأحمر". وأسفر اللقاء، وفق البيان، على "التشديد على رفض البلدين المُطْلَق لأية إجراءات أو سياسات تهدف لتهجير الفلسطينيين من أراضيهم". كما أكد الجانبان على "الدور المحوري، الذي لا بديل عنه، لوكالة غوث وتشغيل اللاجئين الفلسطينيين (الأونروا) في تقديم الدعم لأهالي قطاع غزة، لا سيما في ظل الظروف الإنسانية الكارثية التي يتعرضون لها".

الرئيس المصري يبحث عن الحل في المكان الخطأ ومع الشخص الخطأ. لأن فرنسا نفسها هي من الداعمين لكيان يهود. وإذا كانت مصر تريد حقاً وتبحث عن حل لغزة وفلسطين، فإن المكان المناسب لذلك ليس الغرب، بل هو الأمة الإسلامية وجيوشها. إن انتظار الحل من أعوان وأنصار كيان يهود أو من الشيطان، هو بمثابة الضرب بالهاون. إن ملة الكفر واحدة وهي عدو للإسلام، فإذا أرادت مصر حلاً لغزة، فعليها أن تحشد جيوشها وتزيل كيان يهود. هذا هو الحل الوحيد لغزة وفلسطين، وأي حل غير هذا من شأنه أن يعزز كيان يهود.

------------

"القسام" تستعرض خسائر كبيرة للاحتلال.. تدمير عشرات الآليات والإجهاز على جنود

استعرضت كتائب القسام، حصيلة التصدي لعدوان الاحتلال على قطاع غزة، خلال الأيام الماضية، والتي تضمنت تدمير عشرات الآليات بصورة كلية أو جزئية. وقال الناطق باسم القسام أبو عبيدة، في مشاركة عبر حسابه على موقع تليغرام، إن الكتائب دمرت خلال الأيام الماضية 43 آلية عسكرية كليا أو جزئيا، فضلا عن إجهاز مقاتليها على 15 جنديا للاحتلال، من نقطة الصفر. وأشار إلى قنص ضابط وجندي، وإيقاع العشرات من جنود الاحتلال، بين قتيل وجريح، في 17 مهمة عسكرية مختلفة، استهدفت فيها القوات المتوغلة بالقذائف والعبوات المضادة للتحصينات والأفراد والأسلحة الرشاشة. وفجر مقاتلو القسام مدخل نفق في عدد من الجنود، وسيطروا على 4 طائرات مسيرة، وقصفوا تحشدات الاحتلال بقذائف الهاون في كافة محاور القتال. ولفت إلى توجيه رشقة صاروخية مكثفة نحو تل أبيب ومحيطها خلال الأيام الماضية. وأشارت الكتائب في بيانات منفصلة اليوم، إلى استهداف ثلاث دبابات من نوع ميركافا بقذائف الياسين 105، في منطقة الصناعة جنوب غرب مدينة غزة.

منذ 7 تشرين الأول/أكتوبر 2023، تقوم مجموعة من المجاهدين بأسلحة بدائية ومصنوعة يدويا بإلحاق خسائر لا يمكن تصورها باليهود الصهاينة. فلو كان هناك جيش نظامي يقاتل كيان يهود، لدمروه في غضون ساعات ولألحقوا به هزيمة لن يتمكن بعدها من النهوض مرة أخرى. لكن الجيوش في البلاد الإسلامية الآن تراقب فقط ما يحدث في غزة وفلسطين ولم يطلقوا حتى الآن رصاصة واحدة على كيان يهود. لقد أثبتت الأحداث التي ما زالت مستمرة أن السبيل لنصرة غزة وأهلها وفلسطين كلها لا بد أن يمر من خلال الجيوش وتحركها، فالجيوش هي المطالبة الآن أكثر من أي وقت مضى بالتحرك لقتال يهود وسحقهم والثأر لأطفال ونساء وشيوخ غزة، وفي طريقهم إلى ذلك لا بد لهم من خلع الحكام من عروشهم وقصورهم، فهم أعداء الأمة وأدوات الغرب المجرم.

More from null

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

أبو وضاحة شعار

14-11-2025

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

Katika muktadha wa kampeni inayoendeshwa na Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan kukwamisha njama ya Marekani ya kutenganisha Darfur, vijana wa Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan waliandaa msimamo baada ya sala ya Ijumaa, 23 Jumada al-Ula 1447 Hijria, sawia na 2025/11/14 Miladia, mbele ya Msikiti wa Bashikh, katika mji wa Port Sudan, kitongoji cha Deim Medina.


Mwalimu Muhammad Jami' Abu Ayman - msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan alitoa hotuba kwa umati wa waliohudhuria, akitoa wito wa kufanya kazi ili kukwamisha mpango unaoendelea wa kutenganisha Darfur, akisema: Kwamisheni mpango wa Marekani wa kutenganisha Darfur kama walivyotenganisha Kusini, ili kulinda umoja wa umma, na Uislamu umeharamisha kuutenganisha umma huu na kuuvunja, na umeifanya umoja wa umma na dola kuwa suala la hatima, ambalo hatua moja inachukuliwa dhidi yake, uhai au mauti, na pale suala hili lilipoanguka kutoka hadhi yake, makafiri waliweza, wakiongozwa na Marekani, na kwa msaada wa baadhi ya watoto wa Waislamu, kuuvunja nchi yetu, na kutenganisha Sudan Kusini ..Na baadhi yetu walinyamaza kimya juu ya dhambi hii kubwa, na walijishughulisha na upungufu na udhaifu, hivyo uhalifu huo ulipita! Na leo Marekani inarudi tena, kutekeleza mpango huo huo, na kwa mazingira hayo hayo, kuikata Darfur kutoka mwilini mwa Sudan, kwa kile walichokiita mpango wa mipaka ya damu. Wakitegemea wanamgambo wanaokalia Darfur nzima na wameanzisha dola yao bandia kwa kutangaza serikali sambamba katika mji wa Nyala; Je, mtairuhusu Marekani kufanya hivyo katika nchi yenu?!


Kisha alielekeza ujumbe kwa wanazuoni, na kwa watu wa Sudan, na kwa maafisa waaminifu katika vikosi vya jeshi kuchukua hatua ya kukomboa Darfur nzima na kuzuia kujitenga na kwamba fursa bado ipo ya kuzima mpango wa adui, na kukwamisha uovu huu, na kwamba tiba ya msingi ni kuanzisha Khilafah Rashidah kwa njia ya unabii, kwani ni hiyo pekee itakayo uhifadhi umma, na itatetea umoja wake, na itasimamisha sheria ya Mola wake.


Kisha alihitimisha hotuba yake akisema: Sisi ndugu zenu katika Hizb ut-Tahrir tumechagua kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu Mtukufu, na tumsaidie Mungu, na tumuamini, na tutimize bishara ya Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ basi njooni pamoja nasi kwani Mwenyezi Mungu ni msaidizi wetu bila shaka. Amesema Mwenyezi Mungu: {Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu, naye atakunusuruni na atafanya imara nyayo zenu}.


Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan

Chanzo: Habari za Abu Wadaha

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

الرادار شعار

13-11-2025

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

Imeandikwa na Mhandisi/Hasbu Allah Al-Nur

Vikosi vya msaada wa haraka vilishambulia mji wa Babnusa siku ya Jumapili iliyopita, na kurudia shambulio lao asubuhi ya Jumanne.

Al-Fashir ilianguka kwa njia ya kusikitisha, na ilikuwa janga lililotikisa taifa la Sudan na kuumiza mioyo ya watu wake, ambapo damu safi ilimwagika, watoto walifiwa na baba, wanawake wakawa wajane, na mama zao waliomboleza.


Pamoja na majanga hayo yote, mazungumzo yanayoendelea Washington hayakuathirika hata kidogo, bali kinyume chake, mshauri wa Rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati, Musaad Bulus, aliliambia kituo cha Al Jazeera Mubasher tarehe 27/10/2025 kwamba kuanguka kwa Al-Fashir kunaimarisha mgawanyiko wa Sudan na kusaidia maendeleo ya mazungumzo!


Katika wakati huo muhimu, Wasudan wengi walitambua kwamba kinachotokea ni sura mpya tu ya mpango wa zamani ambao wazalendo wamekuwa wakionya dhidi yake, mpango wa kuitenga Darfur, ambao unataka kulazimishwa kwa njia ya vita, njaa na uharibifu.


Mzunguko wa kukataa kile kinachoitwa usitishaji wa mapigano wa miezi mitatu umeongezeka, na sauti za kupinga zimeongezeka, hasa baada ya habari kuvuja kuhusu uwezekano wa kuongezwa kwa miezi mingine tisa, ambayo kimsingi inamaanisha kuisomalia Sudan na kufanya mgawanyiko kuwa ukweli usioweza kuepukika kama ilivyo nchini Libya.


Na pale watengeneza vita waliposhindwa kunyamazisha sauti hizi kwa ushawishi, waliamua kuzinyamazisha kwa vitisho. Hivyo, dira ya mashambulizi ilielekezwa Babnusa, kuwa eneo la kurudia tukio la Al-Fashir; mzingiro mkali uliodumu kwa miaka miwili, na kuangusha ndege ya mizigo ili kuhalalisha kusimamishwa kwa usambazaji wa anga, na kulipua miji ya Sudan kwa wakati mmoja; Omdurman, Atbara, Damazin, Al-Abyad, Um Barmbita, Abu Jubaiha na Al-Abbasiya, kama ilivyotokea wakati wa shambulio la Al-Fashir.


Shambulio la Babnusa lilianza siku ya Jumapili, na liliongezeka tena asubuhi ya Jumanne, huku vikosi vya msaada wa haraka vikitumia mbinu na njia zilezile ambazo zilitumia huko Al-Fashir. Hadi wakati wa kuandika mistari hii, hakuna hatua yoyote halisi ya jeshi iliyorekodiwa kuwasaidia watu wa Babnusa, katika marudio ya kusikitisha ambayo karibu yanafanana na eneo la Al-Fashir kabla ya kuanguka kwake.


Ikiwa Babnusa itaanguka - Mungu apishie mbali - na sauti zinazopinga usitishaji wa mapigano hazitapungua, janga hilo litajirudia katika jiji lingine... Na kadhalika, hadi watu wa Sudan walazimishwe kukubali usitishaji wa mapigano wakiwa wanyonge.


Huo ndio mpango wa Amerika kwa Sudan kama unavyoonekana wazi; Kwa hivyo jihadharini, enyi watu wa Sudan, na fikirieni kile mnachofanya, kabla ya sura mpya yenye kichwa cha habari Mgawanyiko na Upotevu kuandikwa kwenye ramani ya nchi yenu.


Watu wa Babnusa wamehamishwa kabisa, ambao wanahesabu watu 177,000, kama ilivyoripotiwa katika kituo cha Al-Hadath tarehe 10/11/2025, na wanazurura bila mwelekeo.


Kupiga kelele, kulia, kupiga mashavu na kurarua mifuko ni tabia za wanawake, lakini hali hiyo inahitaji uanaume na ujasiri wa kukataa uovu, na kuchukua hatua dhidi ya mnyanyasaji, na kuinua neno la haki linalotaka kuachiliwa kwa minyororo ya majeshi ili kuchukua hatua ya kuokoa Babnusa, bali kurejesha Darfur yote.


Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: «Hakika watu wanapomuona dhalimu na hawamzuilii mkono wake, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu kutoka kwake.» Na akasema ﷺ: «Hakika watu wanapoona uovu na hawaubadilishi, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu.»


Na ni aina mbaya zaidi ya dhuluma, na miongoni mwa maovu makubwa, kuwakatisha tamaa watu wetu huko Babnusa kama watu wa Al-Fashir walivyokatishwa tamaa hapo awali.


Marekani ambayo inataka leo kuigawanya Sudan, ni ile ile iliyoigawanya kusini hapo awali, na inataka kuigawanya Iraq, Yemen, Syria na Libya, na kama watu wa Sham wanavyosema "na kamba iko kwenye mtungi", mpaka machafuko yataenea katika taifa lote la Kiislamu, na Mungu anatuita kwenye umoja.


Amesema Mwenyezi Mungu: ﴿NA HAKIKA HII DINI YENU NI DINI MOJA, NA MIMI NI MOLA WENU, BASI MCHENI﴾, na akasema ﷺ: «Akiapishwa Khalifa wawili, basi muueni yule mwingine miongoni mwao.» Na akasema: «Hakika yatakuwa majanga na majanga, na anayetaka kuutenganisha mambo ya umma huu na wao wote, mpigeni kwa upanga yeye yeyote anayekuwa.» Na pia alisema: «Anayekujieni na amri yenu nyote mkiwa juu ya mtu mmoja anayetaka kuigawanya fimbo yenu au kuitenganisha jamaa yenu, basi muueni.»


Je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia.

Chanzo: Rada