Habari

Makala Iliyoangaziwa

Kushi News: Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari Wenye Kichwa: "Wito kwa Watu wa Sudan.. Iokoeni Darfur Ili Isipatwe na Yaliyompata Kusini"

Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vilitangaza siku ya Jumamosi tarehe 26/07/2025, kuunda serikali sambamba na serikali iliyopo nchini Sudan, katika mji mkuu wa Darfur Kusini (Nyala). Hatua hii ya Vikosi vya Msaada wa Haraka ni hatua ya kuendeleza utengano wa eneo la Darfur, ambalo wanalidhibiti, isipokuwa sehemu za mji wa Al-Fashir, ambao wameuwekea mzingiro mkali kwa zaidi ya mwaka mmoja, na wanafanya mashambulizi ya mara kwa mara kuuangusha, ili eneo lote la Darfur liwe chini ya udhibiti wao.

Soma zaidi
Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan Katika Mkutano na Waandishi wa Habari Siku ya Jumamosi 22 Safar 1447 Hijria, Inayolingana na 2025/08/16 Miladia, yenye kichwa: "Wito kwa Watu wa Sudan.. Iokoeni Darfur Isije Ikaungana na Kusini"

Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan Katika Mkutano na Waandishi wa Habari Siku ya Jumamosi 22 Safar 1447 Hijria, Inayolingana na 2025/08/16 Miladia, yenye kichwa: "Wito kwa Watu wa Sudan.. Iokoeni Darfur Isije Ikaungana na Kusini"

Majeshi ya Msaada wa Haraka yalitangaza siku ya Jumamosi 2025/07/26 Miladia, kuunda serikali sambamba na serikali iliyopo Sudan, katika mji mkuu wa Darfur Kusini (Nyala), na hatua hii ya Majeshi ya Msaada wa Haraka, ni hatua ya kimaendeleo katika kutenganisha eneo la Darfur, ambalo wanalidhibiti, isipokuwa sehemu za mji wa Al-Fasher, ambao wameuwekea mzingiro mkali kwa zaidi ya mwaka mmoja, na wanafanya mashambulizi ya mara kwa mara ili kuuangusha, ili eneo lote la Darfur liwe chini ya udhibiti wao.

Jibu la Swali: Matukio ya Armenia na Azabajani

Jibu la Swali: Matukio ya Armenia na Azabajani

Uwepo wa Urusi katika eneo la kusini mwa Caucasus ulitikisika (baada ya Armenia na Azabajani kutiia tangazo la pamoja na Marekani kuhusu suluhu ya amani na makubaliano katika nyanja za biashara na usalama baada ya mzozo wa zaidi ya miaka 35 kati ya nchi hizo mbili jirani.. Al Jazeera 2025/8/15) Azabajani na Armenia zilikuwa zimetoa taarifa ya pamoja mnamo 2025/8/11, kufuatia makubaliano yaliyosainiwa kati yao huko Washington mnamo 2025/8/8, zikiomba pande zingine kutatua kundi la Minsk lililoanzishwa mnamo 1992 kutatua shida kati ya

Lengo la Trump katika Kukutana na Putin ni Lipi?

Lengo la Trump katika Kukutana na Putin ni Lipi?

Katika mkutano na wanahabari tarehe 2025/8/11, Trump alisema: (Itakuwa mkutano wa kwanza kwa kiasi kikubwa... Nitamwambia Putin kabla ya mkutano, lazima uishe vita hii, lazima uisimamishe, na hatanichezea tena baada ya hapa), na aliongeza akionyesha kwamba anaweza kujiondoa kutoka kwa diplomasia kuhusu Ukraine (na ninaweza kutoka baada ya hapo na kutakia heri na suala linaisha), (na kwamba haliwezi kutatuliwa). Alisema atajua katika dakika za kwanza za mkutano ikiwa kuna uwezekano wa kufikia amani na Urusi, na pia alielezea kutoridhika kwake na matamshi ya Zelensky, ambaye alisisitiza kwamba atahitaji idhini ya kikatiba kuhusu masuala ya kikanda, na akatangaza kwamba mkutano utakuwa tarehe 2025/8/15 katika jimbo la Alaska la Marekani.

Matamshi ya Netanyahu Kati ya Ukweli wa Taifa Lake na Msimamo Dhaifu wa Serikali ya Misri

Matamshi ya Netanyahu Kati ya Ukweli wa Taifa Lake na Msimamo Dhaifu wa Serikali ya Misri

Matamshi ya Waziri Mkuu wa taifa la Kiyahudi, Benjamin Netanyahu, ambaye alizungumza moja kwa moja kuhusu kile kinachoitwa "Israeli Kuu" na kuhusu mipango ya uhamaji na upanuzi, yanafunua tena imani iliyoimarika katika nafsi za viongozi wa taifa hili; Imani ya usaliti, ukafiri na tamaa ya ardhi ya Waislamu. Matamshi haya si kuteleza kwa ulimi, bali ni tafsiri ya kivitendo ya mipango iliyoandikwa katika fikra za kisiasa za Kizayuni, na mipango inayotekelezwa ardhini hatua kwa hatua.

Matamshi ya Netanyahu Kuhusu "Israeli Kubwa" ni Tangazo la Vita Ambayo Mikataba Inafutwa na Majeshi Yanaendeshwa Kwa Sababu Yake na Chochote Chini ya Hiyo ni Usaliti

Matamshi ya Netanyahu Kuhusu "Israeli Kubwa" ni Tangazo la Vita Ambayo Mikataba Inafutwa na Majeshi Yanaendeshwa Kwa Sababu Yake na Chochote Chini ya Hiyo ni Usaliti

Huyu hapa mhalifu wa kivita Netanyahu anatangaza waziwazi na bila tafsiri yoyote inayowafaa watawala wa Kiarabu wazembe na vinara wao, akisema katika mahojiano na kituo cha Kiebrania cha i24: "Niko kwenye dhamira ya vizazi na mamlaka ya kihistoria na kiroho, ninaamini sana maono ya Israeli Kuu, ambayo ni ile inayojumuisha Palestina ya kihistoria na sehemu za Jordan na Misri," na mhalifu Smotrich alikuwa amemtangulia kwa matamshi yale yale na kujumuisha sehemu za nchi za Kiarabu zinazoizunguka Palestina, pamoja na Jordan, na katika muktadha huo huo, adui namba moja wa Uislamu na Waislamu, Rais wa Amerika Trump, alimpa,

Rada: Anayelalamika kwa Amani Anaadhibiwa, na Anayebeba Silaha, Anaua, na Kukanyaga Uadilifu Anagawiwa Mamlaka na Utajiri!

Rada: Anayelalamika kwa Amani Anaadhibiwa, na Anayebeba Silaha, Anaua, na Kukanyaga Uadilifu Anagawiwa Mamlaka na Utajiri!

Wanafunzi wa shule za msingi katika mji wa Karima katika jimbo la Kaskazini walifanya, wiki iliyopita, maandamano ya amani kulaani kukatika kwa umeme kwa miezi kadhaa, katika majira ya joto kali, ambayo yalisababisha kuitwa kwa idara ya ujasusi ya jumla huko Karima katika eneo la Merowe kaskazini mwa Sudan, Jumatatu, walimu baada ya kushiriki katika maandamano kupinga kukatika kwa umeme kwa karibu miezi 5 katika eneo hilo.

Rada: Vita Vilivyosahaulika vya Sudan: Janga kwa Umma

Rada: Vita Vilivyosahaulika vya Sudan: Janga kwa Umma

Sudan inatokwa na damu, na ulimwengu haujali hata kidogo. Sasa, vita vya kikatili kati ya Jeshi la Wanajeshi la Sudan, likiongozwa na Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, na Vikosi vya Msaada wa Haraka, vikiongozwa na Mohammed Hamdan Dagalo (Hemedti), vinaingia mwaka wake wa tatu, na vimeitumbukiza nchi katika machafuko na kusababisha moja ya majanga mabaya zaidi ya kibinadamu katika enzi yetu. Hata hivyo, licha ya ukubwa wa uharibifu na mateso, vita vya Sudan vinapuuzwa, vinasahaulika na kunyamazishwa kutokana na kutojali kwa ulimwengu.

Vipi Makabila ya Yemen Yataathirika Ikiwa Wahouthi ni Wadudu?!

Vipi Makabila ya Yemen Yataathirika Ikiwa Wahouthi ni Wadudu?!

Waislamu katika wakati wetu huu wamejaribiwa na mifumo ya usaliti ambayo inatawala na sheria za kidunia potofu ambazo Mungu hakuziteremsha, inayowaunga mkono makafiri wavamizi, inatekeleza mipango yao, inalinda maslahi yao, inaeneza utamaduni wao, inatawala na sheria zao, na inawatafuta wakati wa hatari na kuwasha moto wa vita vya ndani na fitina kati ya Waislamu na kuwadhulumu raia wao na kuwatesa vibaya na kuhujumu masuala yao na kusimama upande wa maadui zao...

1 / 442