Kituo cha Televisheni cha Tisa:Je, Umma Umepoteza Fahamu? Masomo Kutoka kwa Uhamiaji Baada ya Makabiliano ya Iran na (Israel)!
Kituo cha Televisheni cha Tisa kilimkaribisha Sheikh Adnan Mazyane, mwanachama wa Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Lebanon katika kipindi cha "Ribat Al-Ulamaa" na kipindi kilikuwa kuhusu "Je, Umma Umepoteza Fahamu? Masomo Kutoka kwa Uhamiaji Baada ya Makabiliano ya Iran na (Israel)!".
Jumapili, 04 Muharram Al-Haram 1447 Hijria, sawia na 29 Juni/Juni 2025 Miladia
