Rada: Kuanguka kwa Al-Fashir kunaharakisha mpango wa Marekani wa kuitenga Darfur
November 09, 2025

Rada: Kuanguka kwa Al-Fashir kunaharakisha mpango wa Marekani wa kuitenga Darfur

الرادار شعار

8-11-2025

Rada: Kuanguka kwa Al-Fashir kunaharakisha mpango wa Marekani wa kuitenga Darfur

*Imeandikwa na Ustadh/Abdullah Hussein (Abu Muhammad Al-Fatih)*

Asubuhi ya Jumapili tarehe 26/10/2025, Vikosi vya Msaada wa Haraka vilitangaza udhibiti wao wa Al-Fashir, baada ya kuzingirwa kwa zaidi ya mwaka mmoja, ambayo inamaanisha kuenea kwa ushawishi wao juu ya majimbo yote matano ya Darfur, na kugawanya nchi kati ya mashariki inayodhibitiwa na jeshi la Sudan, na magharibi chini ya udhibiti wa Vikosi vya Msaada wa Haraka. Hivyo, inakuwa wazi kwamba udhibiti wa Vikosi vya Msaada wa Haraka juu ya Al-Fashir ni zaidi ya ushindi katika vita dhidi ya jiji, lakini ni udhibiti juu ya eneo lote kwa njia ya kushangaza.


Maendeleo haya katika eneo la tukio la kuanguka kwa Al-Fashir baada ya kujiondoa kwa jeshi la Sudan, yaliambatana na mazungumzo yaliyokuwa yakifanywa na Marekani kati ya wajumbe wa pande mbili, serikali na Vikosi vya Msaada wa Haraka huko Washington kwa lengo la kusitisha mapigano. Ni wazi kwamba Marekani ndiyo iliyoamuru uongozi wa pande hizo mbili, kutekeleza kuingia kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka huko Al-Fashir, na kujiondoa kwa jeshi kutoka huko, ili kuharakisha mpango wa Marekani wa kuitenga Darfur, kama sehemu ya mpango wa kuigawanya Sudan katika mataifa madogo!


Katika karatasi ya Marekani iliyojadiliwa katika mkutano wa Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush, na washauri wake mwanzoni mwa muhula wake wa pili mwaka 2005 kujadili karatasi ya kazi kuhusu Mashariki ya Kati, karatasi hiyo inazungumzia Sudan, na kuhusu matukio matatu ya baadaye, ambayo hayakatai uwezekano wa kuigawanya Sudan katika mataifa matatu kama ifuatavyo:


* Misri ina uhusiano na moja yao kaskazini.
* Na Marekani ina uhusiano wa kimkakati na nyingine kusini.
* Na taasisi ya Kiyahudi ina uhusiano na taifa ambalo linaweza kuzaliwa magharibi mwa Sudan (Darfur)


Mkakati na diplomasia iliyopendekezwa ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati ilikuwa kwamba mawazo yanaandaliwa na kutayarishwa, kisha marais na viongozi wa nchi za Mashariki ya Kati wanaitwa Ikulu ya White House, ili kuyakubali na si kuyachunguza au kuyarekebisha, na kinachotakiwa ni makubaliano, na viongozi wa nchi katika eneo hilo, juu ya njia au njia bora ambayo mawazo haya ya kisiasa, au mipango ya kidiplomasia inaweza kutekelezwa kupitia mashauriano ya awali katika mfumo wa nchi mbili kisha katika mfumo wa pamoja. Hii ndiyo sera ya Marekani kuelekea nchi za Waislamu kwa ujumla na Sudan haswa; kuweka mipango ya kuigawanya mipaka ya damu na kufanya kazi ya kuitekeleza kupitia watawala na mazingira ya kisiasa na uuzaji wa vyombo vya habari kwake.


Kwa hiyo, amri za Marekani zilikuwa wazi kutumia kila linalowezekana kwa udhibiti wa Vikosi vya Msaada wa Haraka juu ya Al-Fashir na kuuangusha, na kwa hiyo vikosi hivi vilifanya mauaji ya watu wasio na hatia na kumwaga damu nyingi katika ardhi ya Al-Fashir na miji mingine ya Sudan huku uongozi wa jeshi ukishindwa kutimiza wajibu wake katika kulinda Al-Fashir na watu wake na kuiacha itekwe na Vikosi vya Msaada wa Haraka wahalifu kwa picha mbaya zaidi zinazoweza kusimuliwa, na kila kinachotoka kwa matamko na mazungumzo na majuto juu ya mauaji ya Al-Fashir kutoka kwa Marekani na zana za kikanda na za ndani ni kujificha ukweli na njama iliyokubaliwa.


Kinachotakiwa kutoka kwa watu wa Sudan kwa ujumla ni ufahamu juu ya ukweli na ukatili wa Marekani na zana zake za kikanda na za ndani ambazo zinaimba amani na kwa kweli zinaleta uharibifu na mauaji kwa nchi za Waislamu katika utekelezaji wa mpango wa mipaka ya damu.


Na ufahamu pia juu ya mradi wa ukombozi kutoka kwa mipango ya Marekani na Magharibi ya kikoloni ya kuzimu; mradi wa Khilafa ambao unategemea umoja wa dola na umoja wa umma, na kujiunga na kazi na Hizb ut-Tahrir kiongozi ambaye watu wake hawadanganyi ambaye anafanya kazi hii usiku na mchana na kupaza sauti yake kwa sauti ya juu kupitia majukwaa mbalimbali, bali anafanya kampeni kubwa kwa zaidi ya miezi miwili akionya dhidi ya kuanguka kwa Al-Fashir na lengo la Marekani limetimia.


Vijana wa Hizb na uongozi wake hawataacha na wala hawata choka katika kuendeleza kazi yao kwa ajili ya Allah mpaka ahadi ya Allah Mtukufu itimie na bishara ya mpendwa wetu Muhammad ﷺ itimie; ﴿Allah amewaahidi wale ambao wameamini miongoni mwenu na wametenda matendo mema kwamba atawafanya makhulifa katika ardhi kama alivyowafanya makhulifa wale waliokuwa kabla yao, na atawawezesha Dini yao ambayo amewaridhia, na atawabadilishia baada ya hofu yao amani. Wananiabudu Mimi wala hawanishirikishi na chochote. Na watakao kufuru baada ya haya, basi hao ndio wapotofu.﴾, na Imam Ahmad amesimulia katika Musnad kutoka kwa Hudhaifa, akisema: Mtume wa Allah ﷺ alisema: «Utume utakuwa miongoni mwenu kwa muda ambao Allah anataka uwe, kisha atauinua atakapopenda kuuinua, kisha kutakuwa na Khilafa juu ya njia ya Utume, itakuwepo kwa muda ambao Allah anataka kuwepo, kisha ataiinua atakapopenda kuiinua, kisha kutakuwa na ufalme wa kuuma, utakuwepo kwa muda ambao Allah anataka kuwepo, kisha atauinua atakapopenda kuuinu, kisha kutakuwa na ufalme wa kidhalimu, utakuwepo kwa muda ambao Allah anataka kuwepo, kisha atauinua atakapopenda kuuinu, kisha kutakuwa na Khilafa juu ya njia ya Utume».

Chanzo: Rada

More from null

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

أبو وضاحة شعار

14-11-2025

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

Katika muktadha wa kampeni inayoendeshwa na Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan kukwamisha njama ya Marekani ya kutenganisha Darfur, vijana wa Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan waliandaa msimamo baada ya sala ya Ijumaa, 23 Jumada al-Ula 1447 Hijria, sawia na 2025/11/14 Miladia, mbele ya Msikiti wa Bashikh, katika mji wa Port Sudan, kitongoji cha Deim Medina.


Mwalimu Muhammad Jami' Abu Ayman - msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan alitoa hotuba kwa umati wa waliohudhuria, akitoa wito wa kufanya kazi ili kukwamisha mpango unaoendelea wa kutenganisha Darfur, akisema: Kwamisheni mpango wa Marekani wa kutenganisha Darfur kama walivyotenganisha Kusini, ili kulinda umoja wa umma, na Uislamu umeharamisha kuutenganisha umma huu na kuuvunja, na umeifanya umoja wa umma na dola kuwa suala la hatima, ambalo hatua moja inachukuliwa dhidi yake, uhai au mauti, na pale suala hili lilipoanguka kutoka hadhi yake, makafiri waliweza, wakiongozwa na Marekani, na kwa msaada wa baadhi ya watoto wa Waislamu, kuuvunja nchi yetu, na kutenganisha Sudan Kusini ..Na baadhi yetu walinyamaza kimya juu ya dhambi hii kubwa, na walijishughulisha na upungufu na udhaifu, hivyo uhalifu huo ulipita! Na leo Marekani inarudi tena, kutekeleza mpango huo huo, na kwa mazingira hayo hayo, kuikata Darfur kutoka mwilini mwa Sudan, kwa kile walichokiita mpango wa mipaka ya damu. Wakitegemea wanamgambo wanaokalia Darfur nzima na wameanzisha dola yao bandia kwa kutangaza serikali sambamba katika mji wa Nyala; Je, mtairuhusu Marekani kufanya hivyo katika nchi yenu?!


Kisha alielekeza ujumbe kwa wanazuoni, na kwa watu wa Sudan, na kwa maafisa waaminifu katika vikosi vya jeshi kuchukua hatua ya kukomboa Darfur nzima na kuzuia kujitenga na kwamba fursa bado ipo ya kuzima mpango wa adui, na kukwamisha uovu huu, na kwamba tiba ya msingi ni kuanzisha Khilafah Rashidah kwa njia ya unabii, kwani ni hiyo pekee itakayo uhifadhi umma, na itatetea umoja wake, na itasimamisha sheria ya Mola wake.


Kisha alihitimisha hotuba yake akisema: Sisi ndugu zenu katika Hizb ut-Tahrir tumechagua kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu Mtukufu, na tumsaidie Mungu, na tumuamini, na tutimize bishara ya Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ basi njooni pamoja nasi kwani Mwenyezi Mungu ni msaidizi wetu bila shaka. Amesema Mwenyezi Mungu: {Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu, naye atakunusuruni na atafanya imara nyayo zenu}.


Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan

Chanzo: Habari za Abu Wadaha

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

الرادار شعار

13-11-2025

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

Imeandikwa na Mhandisi/Hasbu Allah Al-Nur

Vikosi vya msaada wa haraka vilishambulia mji wa Babnusa siku ya Jumapili iliyopita, na kurudia shambulio lao asubuhi ya Jumanne.

Al-Fashir ilianguka kwa njia ya kusikitisha, na ilikuwa janga lililotikisa taifa la Sudan na kuumiza mioyo ya watu wake, ambapo damu safi ilimwagika, watoto walifiwa na baba, wanawake wakawa wajane, na mama zao waliomboleza.


Pamoja na majanga hayo yote, mazungumzo yanayoendelea Washington hayakuathirika hata kidogo, bali kinyume chake, mshauri wa Rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati, Musaad Bulus, aliliambia kituo cha Al Jazeera Mubasher tarehe 27/10/2025 kwamba kuanguka kwa Al-Fashir kunaimarisha mgawanyiko wa Sudan na kusaidia maendeleo ya mazungumzo!


Katika wakati huo muhimu, Wasudan wengi walitambua kwamba kinachotokea ni sura mpya tu ya mpango wa zamani ambao wazalendo wamekuwa wakionya dhidi yake, mpango wa kuitenga Darfur, ambao unataka kulazimishwa kwa njia ya vita, njaa na uharibifu.


Mzunguko wa kukataa kile kinachoitwa usitishaji wa mapigano wa miezi mitatu umeongezeka, na sauti za kupinga zimeongezeka, hasa baada ya habari kuvuja kuhusu uwezekano wa kuongezwa kwa miezi mingine tisa, ambayo kimsingi inamaanisha kuisomalia Sudan na kufanya mgawanyiko kuwa ukweli usioweza kuepukika kama ilivyo nchini Libya.


Na pale watengeneza vita waliposhindwa kunyamazisha sauti hizi kwa ushawishi, waliamua kuzinyamazisha kwa vitisho. Hivyo, dira ya mashambulizi ilielekezwa Babnusa, kuwa eneo la kurudia tukio la Al-Fashir; mzingiro mkali uliodumu kwa miaka miwili, na kuangusha ndege ya mizigo ili kuhalalisha kusimamishwa kwa usambazaji wa anga, na kulipua miji ya Sudan kwa wakati mmoja; Omdurman, Atbara, Damazin, Al-Abyad, Um Barmbita, Abu Jubaiha na Al-Abbasiya, kama ilivyotokea wakati wa shambulio la Al-Fashir.


Shambulio la Babnusa lilianza siku ya Jumapili, na liliongezeka tena asubuhi ya Jumanne, huku vikosi vya msaada wa haraka vikitumia mbinu na njia zilezile ambazo zilitumia huko Al-Fashir. Hadi wakati wa kuandika mistari hii, hakuna hatua yoyote halisi ya jeshi iliyorekodiwa kuwasaidia watu wa Babnusa, katika marudio ya kusikitisha ambayo karibu yanafanana na eneo la Al-Fashir kabla ya kuanguka kwake.


Ikiwa Babnusa itaanguka - Mungu apishie mbali - na sauti zinazopinga usitishaji wa mapigano hazitapungua, janga hilo litajirudia katika jiji lingine... Na kadhalika, hadi watu wa Sudan walazimishwe kukubali usitishaji wa mapigano wakiwa wanyonge.


Huo ndio mpango wa Amerika kwa Sudan kama unavyoonekana wazi; Kwa hivyo jihadharini, enyi watu wa Sudan, na fikirieni kile mnachofanya, kabla ya sura mpya yenye kichwa cha habari Mgawanyiko na Upotevu kuandikwa kwenye ramani ya nchi yenu.


Watu wa Babnusa wamehamishwa kabisa, ambao wanahesabu watu 177,000, kama ilivyoripotiwa katika kituo cha Al-Hadath tarehe 10/11/2025, na wanazurura bila mwelekeo.


Kupiga kelele, kulia, kupiga mashavu na kurarua mifuko ni tabia za wanawake, lakini hali hiyo inahitaji uanaume na ujasiri wa kukataa uovu, na kuchukua hatua dhidi ya mnyanyasaji, na kuinua neno la haki linalotaka kuachiliwa kwa minyororo ya majeshi ili kuchukua hatua ya kuokoa Babnusa, bali kurejesha Darfur yote.


Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: «Hakika watu wanapomuona dhalimu na hawamzuilii mkono wake, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu kutoka kwake.» Na akasema ﷺ: «Hakika watu wanapoona uovu na hawaubadilishi, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu.»


Na ni aina mbaya zaidi ya dhuluma, na miongoni mwa maovu makubwa, kuwakatisha tamaa watu wetu huko Babnusa kama watu wa Al-Fashir walivyokatishwa tamaa hapo awali.


Marekani ambayo inataka leo kuigawanya Sudan, ni ile ile iliyoigawanya kusini hapo awali, na inataka kuigawanya Iraq, Yemen, Syria na Libya, na kama watu wa Sham wanavyosema "na kamba iko kwenye mtungi", mpaka machafuko yataenea katika taifa lote la Kiislamu, na Mungu anatuita kwenye umoja.


Amesema Mwenyezi Mungu: ﴿NA HAKIKA HII DINI YENU NI DINI MOJA, NA MIMI NI MOLA WENU, BASI MCHENI﴾, na akasema ﷺ: «Akiapishwa Khalifa wawili, basi muueni yule mwingine miongoni mwao.» Na akasema: «Hakika yatakuwa majanga na majanga, na anayetaka kuutenganisha mambo ya umma huu na wao wote, mpigeni kwa upanga yeye yeyote anayekuwa.» Na pia alisema: «Anayekujieni na amri yenu nyote mkiwa juu ya mtu mmoja anayetaka kuigawanya fimbo yenu au kuitenganisha jamaa yenu, basi muueni.»


Je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia.

Chanzo: Rada