Mwaliko wa Kuhudhuria Kipindi cha Saluni ya Kisiasa
Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan inafurahia kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wote wanaopenda masuala ya umma, kuhudhuria na kushiriki katika kipindi kipya cha saluni ya kisiasa, ambacho kitamshirikisha mwalikwa Ustadh Yaqub Ibrahim, mwanachama wa Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, kwa mada:
Ulaya na Athari Yake kwa Matukio Sudan
Saluni itaendeshwa na Ustadh Muhammad Abdul Fattah, wakili.
Muda: Jumamosi, 05 Rabi' al-Akhir 1447 Hijria, inayoambatana na 2025/9/27 saa moja kamili baada ya adhuhuri InshaAllah.
Mahali: Ofisi ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan huko Port Sudan - mtaa wa Al-Azama.
Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir
Katika Wilaya ya Sudan