Mwaliko wa Kuhudhuria Kipindi cha Saluni ya Kisiasa
Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan inafurahia kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wote wanaopenda masuala ya umma, kuhudhuria na kushiriki katika kipindi kipya cha Saluni ya Kisiasa, ambapo atakuwa mgeni mwalikwa Ustadhi Muhammad Jami' (Abu Ayman), msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, yenye kichwa:
Msimamo wa Serikali kuhusu Kukomesha Kadhia ya Palestina na Hukumu ya Sharia Kuhusu Hilo
Saluni itaendeshwa na Ustadhi Ibrahim Musharraf, mwanachama wa Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan.
Wakati: Jumamosi, 03 Jumada al-Ula 1447 Hijria, inayoambatana na 2025/10/25 Miladia saa moja baada ya adhuhuri, InshaAllah.
Mahali: Ofisi ya Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Sudan huko Port Sudan - mtaa wa Al-Azama - mashariki ya Uwanja
Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir
Katika Wilaya ya Sudan