Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari
Kwa ndugu zetu waheshimiwa; wanahabari na vyombo vya habari, kwa majina yao mbalimbali; vilivyoandikwa, vinavyosikika, na vinavyoonekana.
Tunafurahi katika Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Sudan, kutoa mwaliko kwenu kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari wenye kichwa:
Hakuna serikali itakayotoa matumaini isipokuwa katika kivuli cha Uislamu na dola yake ya Khilafah
Atazungumza katika mkutano huo, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Sudan, Ustadhi Ibrahim Othman (Abu Khalil).
Wakati: Jumamosi 24 Muharram al-Haram 1447 Hijria, inayoambatana na 2025/7/19 Miladia, saa 1:00 mchana InshaAllah.
Mahali: Ofisi ya Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Sudan huko Port Sudan, kitongoji cha Al-Azama - mashariki ya uwanja wa michezo.
Tunasherehekea mahudhurio yenu na ushiriki wenu
Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
Katika Wilaya ya Sudan