Mwaliko wa Kuhudhuria Kongamano la Wanahabari
Tunafuraha katika Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, kuwaalika ndugu wanahabari, wanasiasa, na wanaopenda masuala ya umma, kuhudhuria kongamano la wanahabari ambalo msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan atazungumza, lenye kichwa:
(Taarifa ya Nne na Utawala Uliopotea)
Muda: Jumamosi 28 Rabi'ul Awwal 1447 Hijria, inayolingana na 2025/9/20 Miladia saa moja kamili baada ya adhuhuri.
Mahali: Ofisi ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan katika Port Sudan - mtaa wa Al-Adhama - mashariki ya uwanja.
Kuhudhuria kwenu kutaboresha mjadala
Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir
Katika Wilaya ya Sudan