نظرة على الأخبار 01-04-2023
April 02, 2023

نظرة على الأخبار 01-04-2023

الجولة الإخبارية 01-04-2023

مجلس الشيوخ الأمريكي يلغي قانون التفويض بشن الحروب في الشرق الأوسط

صوت مجلس الشيوخ الأمريكي يوم 2023/3/29 على إلغاء قانونين أعطيا تفويضا بشن الحروب في الشرق الأوسط. القانون الأول منح فيه مجلس الشيوخ الرئيس تفويضا بشن الحرب على العراق صدر عام 1991 تحت ذريعة تحرير الكويت على عهد بوش الأب، والآخر صدر عام 2002 لاحتلال العراق عام 2003 على عهد بوش الابن. فعلق رئيس الأغلبية في مجلس الشيوخ تشاك شومر قائلا: "إن الأمريكيين يريدون وضع حد لحروب الشرق الأوسط التي لا تنتهي. تمرير هذا الإلغاء خطوة ضرورية لوضع هذه الصراعات المريرة خلفنا تماما" (سكاي نيوز 2023/3/31)

إن الحروب العدوانية التي تشنها أمريكا لبسط نفوذها وهيمنتها ونهب ثروات الشعوب الأخرى، علّمتها أن المسلمين ليسوا كشعوب أمريكا اللاتينية. وقد منيت بهزيمة عسكرية شنعاء في العراق، وقررت الانسحاب عام 2008. ولولا العملاء لما بقي لها وجود سياسي، ولما استطاعت الحصول على اتفاقية أمنية وأخرى استراتيجية تجعل لها وجودا عسكريا وسياسيا ويجيز لها التدخل عندما تستدعيها الحكومة العراقية لمساعدتها كما حصل عام 2014 في حرب تنظيم الدولة. وقد منيت بهزيمة مذلة أخرى في أفغانستان وقررت الانسحاب بشكل مذل عام 2021. وقد أعلنت أنها ستستخدم الشركاء أي أشياعها في المنطقة وهي الأنظمة الفاسدة التي تلفظها شعوبها.

----------

الحرس الثوري الإيراني يعلن مقتل أحد ضباطه بهجوم لكيان يهود

أعلن الحرس الثوري الإيراني يوم 2023/3/31 مقتل أحد ضباطه قرب دمشق في هجمات متكررة لكيان يهود على مواقع للنظام السوري وحلفائه إيران وحزبها اللبناني. وأدان الهجوم واعتبره "اعتداء وانتهاكا مستمرا لسيادة ووحدة أراضي دولة مستقلة عضو في الأمم المتحدة". وأعلنت وكالة سانا التابعة للنظام السوري أن كيان يهود "نفذ فجر الجمعة 2023/3/31 عدوانا جويا برشقات من الصواريخ من اتجاه الجولان السوري المحتل مستهدفا أحد المواقع في ريف دمشق". وقد تكرر الهجوم خلال 24 ساعة ما أسفر عن إصابة عسكريين اثنين من عساكر النظام كما تسبب بوقوع أضرار مادية كما أعلنت الوكالة.

ومنذ سنوات تتعرض مواقع لقوات النظام السوري وحلفائه إيران وحزبها اللبناني بصورة متكررة شبه يومية، ولكن لا يوجد أي رد على كيان يهود الغاصب لفلسطين. وكانوا يعلنون دائما أنهم يحتفظون بالرد في الوقت المناسب، فصار ذلك محل سخرية لدى الناس. وفي الوقت نفسه قتلوا وجرحوا وسجنوا وعذبوا وشردوا الملايين من أهل سوريا المسلمين، فيظهرون الذلة للعدو بينما يظهرون الشدة على المسلمين ويستبيحون دماءهم وأموالهم وأعراضهم.

-----------

مسؤولة في الخارجية الأمريكية تتصل هاتفيا برئيس المجلس السيادي السوداني

أعلن المجلس السيادي في السودان في بيان وزعه على وكالات الأنباء يوم 2023/3/30 أن مولي في نائبة وزير الخارجية الأمريكية للشؤون الأفريقية أجرت اتصالا هاتفيا مع البرهان أكدت فيه دعم أمريكا للعملية السياسية في السودان، فقال بيان المجلس السيادي: "إن البرهان أطلع المسؤولة الأمريكية على سير العملية السياسية والجهود الجارية لتحقيق التوافق بين المكونات السياسية بالبلاد، وصولا لحكومة مدنية تستكمل ما تبقى من الفترة الانتقالية" وأضاف البيان أن "المسؤولة الأمريكية أكدت خلال الاتصال الهاتفي دعم بلادها للعملية السياسية ولكل ما من شأنه تحقيق السلام والاستقرار في السودان". وبذلك يظهر مدى الذل الذي وصله حكام السودان فتقوم مسؤولة أمريكية بالتفتيش عما أنجزه العملاء بواسطة التليفون، وقد انحط مستوى البرهان بأن تتصل به مسؤولة في الخارجية الأمريكية ولا يتنازل الرئيس الأمريكي للاتصال به فأصبح عميلا رخيصا وضيعا. علما أن أمريكا تتدخل بصورة سافرة في الشؤون السودانية كما تتدخل بريطانيا وغيرها من الدول وتتصل بالعملاء. وتتصارع هذه الدول على السودان وتستخدم العملاء سواء من هم في الحكم أو في المعارضة كأدوات لبسط النفوذ.

------------

حمزة يوسف: أنا أول مسلم يفوز بقيادة دولة في غرب أوروبا

انتخب يوم 2023/3/28 في اسكتلندا حمزة يوسف من أصول باكستانية رئيسا للوزراء. وأعلن أنه أول مسلم يفوز بقيادة دولة في غرب أوروبا. وقد أعلنت رئيسة الوزراء السابقة نيكولا ستورجن استقالتها بصورة مفاجئة الشهر الماضي بعد ثمانية أعوام في الحكم، وقد أيدت انتخاب حمزة يوسف. وكانت تطالب بإجراء استفتاء جديد لاستقلال اسكتلندا عن بريطانيا التي احتلتها قبل أكثر من 300 عاما. وقد جرى استفتاء عام 2014 فأعلنت النتيجة رفض الاستقلال بنسبة 55% علما أن استفتاءات الرأي العام كانت تشير إلى أن نحو 55% مع الاستقلال عن المحتل الإنجليزي. وأعلن رئيس الوزراء الجديد تأييده لاستقلال اسكتلندا وإجراء استفتاء من أجل ذلك. وقد هنأ رئيس الوزراء البريطاني ريشي سوناك وهو هندوسي من أصول هندية رئيس وزراء اسكتلندا الجديد ولكنه يرفض دعوته لإجراء استفتاء جديد على استقلال اسكتلندا.

والجدير بالذكر أن حزبه الوطني الاسكتلندي أيد الشذوذ الجنسي. حيث أصبح الشذوذ الجنسي قانونيا منذ عام 1981، وأقر البرلمان عام 2014 زواج الشاذين جنسيا بأغلبية 108 أعضاء مقابل اعتراض 18 عضوا. علما أن اسكتلندا قد ألغت عقوبة الإعدام على الشاذين جنسيا عام 1889 وتخفيضها إلى السجن مدى الحياة. وقد ألغي تجريم الشذوذ الجنسي عام 1967 عندما صوت البرلمان الإنجليزي على إلغائه. وقد تم تعديل "قانون المعايير الأخلاقية في الحياة العامة" في اسكتلندا عام 2000. حيث إن الأخلاق عند القوم هي ما يقره المجتمع ويوافق عليه قانونيا. علما أن الأخلاق في الإسلام أحكام شرعية ثابتة. والمسلم يلتزم بها تعبدا لله كما يلتزم بتطبيق ما أنزل الله في كافة نواحي الحياة، وليس هو مسلما بالهوية ومن ثم عندما يصبح حاكما يطبق قوانين الكفر! فيحاول الكفار أن يبرزوا أن المسلم كالنصراني يمكن أن يصبح حاكما عندما يكون علمانيا أو يلتزم بالعلمانية ويطبقها ويدافع عنها، فيحببوا أبناء المسلمين بها وينالون رضاهم بينما هم يسخطون ربهم.

-----------

مظاهرات في فرنسا احتجاجا على قانون التقاعد الجديد

شهدت فرنسا مظاهرات واسعة تخللتها أعمال عنف، وذلك احتجاجا على قانون التقاعد الجديد. ورفضت كافة النقابات في فرنسا القانون وطالبت الرئيس ماكرون بتعليق القانون على الرغم من اعتماده في البرلمان. ونشرت صحيفة لوفيغارو الفرنسية يوم 2023/3/29 تقريرا تقترح فيه إيجاد مخرج مشرف للرئيس ولا يكون هزيمة، وهو تأجيل العمل بالقانون لإيجاد وقت للمفاوضات مع النقابات والقوى المعارضة. ويحق للرئيس أن يطلب من البرلمان خلال 15 يوما قبل انقضاء المدة لأن يجري مداولات جديدة حول القانون أو بعض مواده. والقانون يرفع سن التقاعد من 62 سنة إلى 64 سنة. ويعني ذلك أن يعمل الفرنسي مدة سنتين زيادة حتى يأخذ راتب التقاعد من الأموال التي قطعت من أجرته طوال عمله. ويثبت هذا فساد نظام التقاعد. حيث يقطع من راتب العامل والموظف مبلغ شهريا طوال عمله وتوضع في صندوق يجري تشغيله بالربا وعندما يتقاعد الشخص يعطى ثلثي ما كان يتقاضاه. وفي الوقت نفسه تحد من نشاط العاملين لأنهم يدركون أنهم إذا عملوا سنوات أخرى فلن يفيدهم ذلك.

أما في الإسلام فلا يوجد نظام التقاعد، فالأجير سواء أكان موظفا أم عاملا يأخذ أجره كاملا حسب منفعته أو منفعة العمل، وعندما يعجز عن العمل يكون قد وفر له مبلغا كبيرا، وإذا احتاج فيتكفل به ورثته وإذا لم يستطيعوا تتكفل به الدولة، دولة الخلافة الراشدة.

More from null

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

أبو وضاحة شعار

14-11-2025

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

Katika muktadha wa kampeni inayoendeshwa na Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan kukwamisha njama ya Marekani ya kutenganisha Darfur, vijana wa Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan waliandaa msimamo baada ya sala ya Ijumaa, 23 Jumada al-Ula 1447 Hijria, sawia na 2025/11/14 Miladia, mbele ya Msikiti wa Bashikh, katika mji wa Port Sudan, kitongoji cha Deim Medina.


Mwalimu Muhammad Jami' Abu Ayman - msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan alitoa hotuba kwa umati wa waliohudhuria, akitoa wito wa kufanya kazi ili kukwamisha mpango unaoendelea wa kutenganisha Darfur, akisema: Kwamisheni mpango wa Marekani wa kutenganisha Darfur kama walivyotenganisha Kusini, ili kulinda umoja wa umma, na Uislamu umeharamisha kuutenganisha umma huu na kuuvunja, na umeifanya umoja wa umma na dola kuwa suala la hatima, ambalo hatua moja inachukuliwa dhidi yake, uhai au mauti, na pale suala hili lilipoanguka kutoka hadhi yake, makafiri waliweza, wakiongozwa na Marekani, na kwa msaada wa baadhi ya watoto wa Waislamu, kuuvunja nchi yetu, na kutenganisha Sudan Kusini ..Na baadhi yetu walinyamaza kimya juu ya dhambi hii kubwa, na walijishughulisha na upungufu na udhaifu, hivyo uhalifu huo ulipita! Na leo Marekani inarudi tena, kutekeleza mpango huo huo, na kwa mazingira hayo hayo, kuikata Darfur kutoka mwilini mwa Sudan, kwa kile walichokiita mpango wa mipaka ya damu. Wakitegemea wanamgambo wanaokalia Darfur nzima na wameanzisha dola yao bandia kwa kutangaza serikali sambamba katika mji wa Nyala; Je, mtairuhusu Marekani kufanya hivyo katika nchi yenu?!


Kisha alielekeza ujumbe kwa wanazuoni, na kwa watu wa Sudan, na kwa maafisa waaminifu katika vikosi vya jeshi kuchukua hatua ya kukomboa Darfur nzima na kuzuia kujitenga na kwamba fursa bado ipo ya kuzima mpango wa adui, na kukwamisha uovu huu, na kwamba tiba ya msingi ni kuanzisha Khilafah Rashidah kwa njia ya unabii, kwani ni hiyo pekee itakayo uhifadhi umma, na itatetea umoja wake, na itasimamisha sheria ya Mola wake.


Kisha alihitimisha hotuba yake akisema: Sisi ndugu zenu katika Hizb ut-Tahrir tumechagua kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu Mtukufu, na tumsaidie Mungu, na tumuamini, na tutimize bishara ya Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ basi njooni pamoja nasi kwani Mwenyezi Mungu ni msaidizi wetu bila shaka. Amesema Mwenyezi Mungu: {Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu, naye atakunusuruni na atafanya imara nyayo zenu}.


Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan

Chanzo: Habari za Abu Wadaha

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

الرادار شعار

13-11-2025

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

Imeandikwa na Mhandisi/Hasbu Allah Al-Nur

Vikosi vya msaada wa haraka vilishambulia mji wa Babnusa siku ya Jumapili iliyopita, na kurudia shambulio lao asubuhi ya Jumanne.

Al-Fashir ilianguka kwa njia ya kusikitisha, na ilikuwa janga lililotikisa taifa la Sudan na kuumiza mioyo ya watu wake, ambapo damu safi ilimwagika, watoto walifiwa na baba, wanawake wakawa wajane, na mama zao waliomboleza.


Pamoja na majanga hayo yote, mazungumzo yanayoendelea Washington hayakuathirika hata kidogo, bali kinyume chake, mshauri wa Rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati, Musaad Bulus, aliliambia kituo cha Al Jazeera Mubasher tarehe 27/10/2025 kwamba kuanguka kwa Al-Fashir kunaimarisha mgawanyiko wa Sudan na kusaidia maendeleo ya mazungumzo!


Katika wakati huo muhimu, Wasudan wengi walitambua kwamba kinachotokea ni sura mpya tu ya mpango wa zamani ambao wazalendo wamekuwa wakionya dhidi yake, mpango wa kuitenga Darfur, ambao unataka kulazimishwa kwa njia ya vita, njaa na uharibifu.


Mzunguko wa kukataa kile kinachoitwa usitishaji wa mapigano wa miezi mitatu umeongezeka, na sauti za kupinga zimeongezeka, hasa baada ya habari kuvuja kuhusu uwezekano wa kuongezwa kwa miezi mingine tisa, ambayo kimsingi inamaanisha kuisomalia Sudan na kufanya mgawanyiko kuwa ukweli usioweza kuepukika kama ilivyo nchini Libya.


Na pale watengeneza vita waliposhindwa kunyamazisha sauti hizi kwa ushawishi, waliamua kuzinyamazisha kwa vitisho. Hivyo, dira ya mashambulizi ilielekezwa Babnusa, kuwa eneo la kurudia tukio la Al-Fashir; mzingiro mkali uliodumu kwa miaka miwili, na kuangusha ndege ya mizigo ili kuhalalisha kusimamishwa kwa usambazaji wa anga, na kulipua miji ya Sudan kwa wakati mmoja; Omdurman, Atbara, Damazin, Al-Abyad, Um Barmbita, Abu Jubaiha na Al-Abbasiya, kama ilivyotokea wakati wa shambulio la Al-Fashir.


Shambulio la Babnusa lilianza siku ya Jumapili, na liliongezeka tena asubuhi ya Jumanne, huku vikosi vya msaada wa haraka vikitumia mbinu na njia zilezile ambazo zilitumia huko Al-Fashir. Hadi wakati wa kuandika mistari hii, hakuna hatua yoyote halisi ya jeshi iliyorekodiwa kuwasaidia watu wa Babnusa, katika marudio ya kusikitisha ambayo karibu yanafanana na eneo la Al-Fashir kabla ya kuanguka kwake.


Ikiwa Babnusa itaanguka - Mungu apishie mbali - na sauti zinazopinga usitishaji wa mapigano hazitapungua, janga hilo litajirudia katika jiji lingine... Na kadhalika, hadi watu wa Sudan walazimishwe kukubali usitishaji wa mapigano wakiwa wanyonge.


Huo ndio mpango wa Amerika kwa Sudan kama unavyoonekana wazi; Kwa hivyo jihadharini, enyi watu wa Sudan, na fikirieni kile mnachofanya, kabla ya sura mpya yenye kichwa cha habari Mgawanyiko na Upotevu kuandikwa kwenye ramani ya nchi yenu.


Watu wa Babnusa wamehamishwa kabisa, ambao wanahesabu watu 177,000, kama ilivyoripotiwa katika kituo cha Al-Hadath tarehe 10/11/2025, na wanazurura bila mwelekeo.


Kupiga kelele, kulia, kupiga mashavu na kurarua mifuko ni tabia za wanawake, lakini hali hiyo inahitaji uanaume na ujasiri wa kukataa uovu, na kuchukua hatua dhidi ya mnyanyasaji, na kuinua neno la haki linalotaka kuachiliwa kwa minyororo ya majeshi ili kuchukua hatua ya kuokoa Babnusa, bali kurejesha Darfur yote.


Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: «Hakika watu wanapomuona dhalimu na hawamzuilii mkono wake, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu kutoka kwake.» Na akasema ﷺ: «Hakika watu wanapoona uovu na hawaubadilishi, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu.»


Na ni aina mbaya zaidi ya dhuluma, na miongoni mwa maovu makubwa, kuwakatisha tamaa watu wetu huko Babnusa kama watu wa Al-Fashir walivyokatishwa tamaa hapo awali.


Marekani ambayo inataka leo kuigawanya Sudan, ni ile ile iliyoigawanya kusini hapo awali, na inataka kuigawanya Iraq, Yemen, Syria na Libya, na kama watu wa Sham wanavyosema "na kamba iko kwenye mtungi", mpaka machafuko yataenea katika taifa lote la Kiislamu, na Mungu anatuita kwenye umoja.


Amesema Mwenyezi Mungu: ﴿NA HAKIKA HII DINI YENU NI DINI MOJA, NA MIMI NI MOLA WENU, BASI MCHENI﴾, na akasema ﷺ: «Akiapishwa Khalifa wawili, basi muueni yule mwingine miongoni mwao.» Na akasema: «Hakika yatakuwa majanga na majanga, na anayetaka kuutenganisha mambo ya umma huu na wao wote, mpigeni kwa upanga yeye yeyote anayekuwa.» Na pia alisema: «Anayekujieni na amri yenu nyote mkiwa juu ya mtu mmoja anayetaka kuigawanya fimbo yenu au kuitenganisha jamaa yenu, basi muueni.»


Je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia.

Chanzo: Rada