نظرة على الأخبار 2025/04/24
April 24, 2025

نظرة على الأخبار 2025/04/24

 نظرة على الأخبار 2025/04/24

كيان يهود وفرنسا يحذران من إقامة الخلافة في المنطقة

قال رئيس وزراء كيان يهود في مؤتمر صحفي بثته وسائل الإعلام مباشرة ومنها الجزيرة يوم 2025/4/21: "لن نسمح بإقامة خلافة على شاطئ البحر المتوسط". وأضاف "ولن نقبل بوجود دولة الخلافة هنا أو في لبنان ونعمل على ضمان أمن إسرائيل".

جاء ذلك عقب المسيرات والاعتصامات التي نظمها شباب حزب التحرير في لبنان وتركيا وتونس وبنغلادش وباكستان وإندونيسيا وغيرها من البلاد مطالبين بإقامة الخلافة، ومذكّرين بأنها هي الحل لإنقاذ أهل غزة وسائر فلسطين من وحشية كيان يهود ومن ورائه أمريكا وغيرها من قوى الشر. وذكر شباب الحزب أن الأنظمة القائمة في البلاد الإسلامية متآمرة مع كيان يهود إما باستمرار التطبيع والعلاقات التجارية معه، أو بصمتها تجاه ما يحدث لإخوانهم في غزة وعدم تحريكها الجيوش لإنقاذهم. فدعوا في خطاباتهم إلى وجوب تحريك الجيوش والعمل على إسقاط هذه الأنظمة.

----------

رئيس السلطة الفلسطينية يصف المجاهدين في غزة بـ"أولاد الكلب"

رئيس السلطة الفلسطينية محمود عباس في خطاب مطول له يوم 2025/4/23 يصف المجاهدين في غزة بـ"أولاد الكلب" ويطالبهم بتسليم الرهائن ليهود بلا ثمن، فيقول "يا أولاد الكلب سلموا الرهائن وسدوا ذرائعهم". فيظن أنه إذا سلموا الرهائن سيتوقف كيان يهود عن القتل والتدمير! بل إن هذا الكيان الغاصب لفلسطين سيؤكد أن سياسته الهمجية تؤتي ثمارها عندما يقتل ويدمر! وكما استسلم عباس ومنظمته المسماة كذبا وزورا منظمة التحرير وأصابهم الوهن والهوان والذل وقبلوا العيش الذليل تحت بسطار (حذاء) يهود كما ذكر، بل عملوا على خدمة كيان يهود تحت مسمى التنسيق الأمني.

وأشار عباس في خطابه أنه ومنظمته تنازلوا وقبلوا بنحو 22% من فلسطين ولكن يهود والأمريكان غدروا بهم ولم يعطوهم شيئا! فهو يعرف أن سياسة التنازلات لا تؤتي خيراً وإنما شراً وبعده شر، ولكنه مصرّ على هذه السياسة ويطالب المجاهدين في غزة بتسليم الأسرى وتسليم سلاحهم ورقابهم، واتهمهم أنهم هم السبب في الذي حصل في غزة، ولم يقل إن وجود كيان يهود هو المشكلة ويجب إزالته ومقاومته حق، بل أصر على أنه يريد التعايش مع كيان يهود وإقرارهم باغتصاب 78% من فلسطين كما ذكر في خطابه. علما أن 22% التي يجب أن يعترف فيها بدولة فلسطينية قد أصبحت تحت سيطرة يهود فعليا ولا يمكن إقامة دولة فلسطينية عليها عمليا، وأعلن كيان يهود رسميا عن طريق برلمانه (الكنيست) أنه يرفض إقامة دولة فلسطينية. وأمريكا لم تعد تتحدث عن مشروع حل الدولتين الذي طرحته، بل تريد أن تسيطر على غزة وتهجر أهلها، وتصف الضفة الغربية بأنها يهودا والسامرة وليست أرضا محتلة.

----------

الرئيس الأمريكي سيزور السعودية وقطر والإمارات

أعلن البيت الأبيض على لسان المتحدثة باسمه كارولين ليفيت يوم 2025/4/23 أن الرئيس الأمريكي ترامب سيزور السعودية وقطر والإمارات خلال الفترة بين 13- 16 أيار المقبل.

ووصف ترامب علاقاته بالشرق الأوسط بالجيدة. إذ تلبي دول المنطقة قاطبة طلباته المالية والسياسية بلا تردد بل بزيادة. حيث قال ترامب بعد توليه الحكم إنه سيقوم بأول زيارة خارجية إلى السعودية إذا دفعت 500 مليار دولار، فرد عليه ولي العهد والحاكم الفعلي للنظام السعودي محمد بن سلمان في اتصال هاتفي معه يوم 2025/1/23 بأنه سيدفع 600 مليار دولار لأمريكا تحت مسمى استثمارات تجارية على مدى 4 سنوات. فطمع ترامب وقال سيطلب أن يكون الرقم كاملا تريليون دولار.

وزاودت عليها الإمارات التي أعلنت يوم 2025/3/21 على لسان نائب حاكم إمارة أبو ظبي مستشار الأمن الوطني الإماراتي طحنون بن زايد آل نهيان بعد لقائه ترامب في البيت الأبيض يوم 2025/3/18 أنها ستدفع لأمريكا 1,4 تريليون دولار تحت مسمى استثمارات على مدى 10 سنوات.

ولم تعلن قطر عن مقدار استثماراتها الجديدة في أمريكا، وربما تعلن أثناء زيارة ترامب لها، إلا أنها أعلنت على لسان محمد الجردان رئيس استثمارات التكنولوجيا والإعلام والاتصالات في جهاز قطر للاستثمار يوم 2025/1/22 أن الجهاز "يدير أصولا بقيمة 510 مليارات دولار، وهو من أكبر المستثمرين في قطاع التكنولوجيا في الولايات المتحدة". وكان وزير الاقتصاد والتجارة القطري أحمد بن جاسم آل ثاني في تاريخ سابق قد ذكر أنه يوجد في قطر أكثر من 650 شركة أمريكية.

علما أنه يوجد في قطر أكبر قاعدة أمريكية عسكرية واستخباراتية وهي قاعدة العديد حيث انطلقت الطائرات الأمريكية منها وهاجمت أفغانستان والعراق وسوريا على مدى 20 عاما، فقتلت مئات الآلاف من أبناء المسلمين ودمرت مدنا كاملة كالرقة والموصل والرمادي. وتقوم قطر بدور العرّاب في مسألة غزة لحساب أمريكا وكيان يهود.

كما تنتشر القواعد الأمريكية العسكرية على طول منطقة الشرق الأوسط من تركيا إلى سوريا والعراق والأردن ومصر ودول الخليج، وحكامها أصبحوا خاضعين خانعين للإملاءات الأمريكية ومحاربين للمخلصين العاملين على تحرير المنطقة من الاستعمار الأمريكي والغربي بكل أشكاله العسكرية والاقتصادية والسياسية والفكرية، والعاملين على إقامة الخلافة وإنهاض الأمة الإسلامية وتوحيدها.

----------

النظام السعودي يعزز شراكته الاستراتيجية مع الهند

استقبل ولي العهد والحاكم الفعلي للنظام السعودي محمد بن سلمان يوم الثلاثاء 2025/4/22 رئيس وزراء الهند ناريندرا مودي في قصره بمدينة جدة كما ذكرت وكالة الأنباء السعودية (واس).

وذكرت الوكالة أنه صدر بيان مشترك في اليوم التالي جاء فيه أن الجانبين أجريا "مباحثات بناءة حول سبل تعزيز الشراكة الاستراتيجية بين المملكة والهند، وترأسا الاجتماع الثاني لمجلس الشراكة الاستراتيجية السعودي الهندي" وأعربا عن "ارتياحهما لنتائج عمل اللجنتين الوزاريتين في مجال التعاون السياسي والأمني والاجتماعي والثقافي والتعاون الاقتصادي والاستثمارات".

علما أن الهند أعلنت أنها لا تعترف بملايين المسلمين المقيمين في الهند، وقد أعلنت حربها على الإسلام والمسلمين ودمرت مساجد عديدة وحولتها إلى معابد وثنية وأعلنت عن ضم كشمير الإسلامية التي تحتلها وبدأت بالتضييق على أهلها.

وتصادف أثناء الزيارة يوم 2025/4/23 أن قامت جماعة كشميرية بهجوم على هندوس قدموا إلى كشمير، حيث تشجع الحكومة الهندية الهندوس العمل على الاستيلاء على الأراضي الإسلامية في كشمير تحت مسميات الاستثمار، فقتلوا منهم نحو 26 شخصا وجرحوا نحو 17 شخصا. وعلى الفور قام النظام السعودي باسم وزارته الخارجية بإدانة الهجوم واعتبره (إرهابيا) من دون أن يشير إلى الاحتلال الهندوسي لكشمير ومحاولة استيلاء الهندوس على أراض كشميرية وطرد أهلها منها. علما أنه لم يكن مسموحا للهندوس تملك أي أراض في كشمير المحتلة قبل إعلان إلغاء الحكم الذاتي لكشمير وضمها إلى الهند عام 2019 بموافقة أمريكية وبتواطؤ من حكام باكستان خاصة وحكام البلاد الإسلامية عامة حيث لم يتحركوا ضد القرار الهندي الغاشم واستمروا في العلاقات السياسية والتجارية مع النظام الهندي.

More from null

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

أبو وضاحة شعار

14-11-2025

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

Katika muktadha wa kampeni inayoendeshwa na Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan kukwamisha njama ya Marekani ya kutenganisha Darfur, vijana wa Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan waliandaa msimamo baada ya sala ya Ijumaa, 23 Jumada al-Ula 1447 Hijria, sawia na 2025/11/14 Miladia, mbele ya Msikiti wa Bashikh, katika mji wa Port Sudan, kitongoji cha Deim Medina.


Mwalimu Muhammad Jami' Abu Ayman - msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan alitoa hotuba kwa umati wa waliohudhuria, akitoa wito wa kufanya kazi ili kukwamisha mpango unaoendelea wa kutenganisha Darfur, akisema: Kwamisheni mpango wa Marekani wa kutenganisha Darfur kama walivyotenganisha Kusini, ili kulinda umoja wa umma, na Uislamu umeharamisha kuutenganisha umma huu na kuuvunja, na umeifanya umoja wa umma na dola kuwa suala la hatima, ambalo hatua moja inachukuliwa dhidi yake, uhai au mauti, na pale suala hili lilipoanguka kutoka hadhi yake, makafiri waliweza, wakiongozwa na Marekani, na kwa msaada wa baadhi ya watoto wa Waislamu, kuuvunja nchi yetu, na kutenganisha Sudan Kusini ..Na baadhi yetu walinyamaza kimya juu ya dhambi hii kubwa, na walijishughulisha na upungufu na udhaifu, hivyo uhalifu huo ulipita! Na leo Marekani inarudi tena, kutekeleza mpango huo huo, na kwa mazingira hayo hayo, kuikata Darfur kutoka mwilini mwa Sudan, kwa kile walichokiita mpango wa mipaka ya damu. Wakitegemea wanamgambo wanaokalia Darfur nzima na wameanzisha dola yao bandia kwa kutangaza serikali sambamba katika mji wa Nyala; Je, mtairuhusu Marekani kufanya hivyo katika nchi yenu?!


Kisha alielekeza ujumbe kwa wanazuoni, na kwa watu wa Sudan, na kwa maafisa waaminifu katika vikosi vya jeshi kuchukua hatua ya kukomboa Darfur nzima na kuzuia kujitenga na kwamba fursa bado ipo ya kuzima mpango wa adui, na kukwamisha uovu huu, na kwamba tiba ya msingi ni kuanzisha Khilafah Rashidah kwa njia ya unabii, kwani ni hiyo pekee itakayo uhifadhi umma, na itatetea umoja wake, na itasimamisha sheria ya Mola wake.


Kisha alihitimisha hotuba yake akisema: Sisi ndugu zenu katika Hizb ut-Tahrir tumechagua kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu Mtukufu, na tumsaidie Mungu, na tumuamini, na tutimize bishara ya Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ basi njooni pamoja nasi kwani Mwenyezi Mungu ni msaidizi wetu bila shaka. Amesema Mwenyezi Mungu: {Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu, naye atakunusuruni na atafanya imara nyayo zenu}.


Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan

Chanzo: Habari za Abu Wadaha

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

الرادار شعار

13-11-2025

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

Imeandikwa na Mhandisi/Hasbu Allah Al-Nur

Vikosi vya msaada wa haraka vilishambulia mji wa Babnusa siku ya Jumapili iliyopita, na kurudia shambulio lao asubuhi ya Jumanne.

Al-Fashir ilianguka kwa njia ya kusikitisha, na ilikuwa janga lililotikisa taifa la Sudan na kuumiza mioyo ya watu wake, ambapo damu safi ilimwagika, watoto walifiwa na baba, wanawake wakawa wajane, na mama zao waliomboleza.


Pamoja na majanga hayo yote, mazungumzo yanayoendelea Washington hayakuathirika hata kidogo, bali kinyume chake, mshauri wa Rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati, Musaad Bulus, aliliambia kituo cha Al Jazeera Mubasher tarehe 27/10/2025 kwamba kuanguka kwa Al-Fashir kunaimarisha mgawanyiko wa Sudan na kusaidia maendeleo ya mazungumzo!


Katika wakati huo muhimu, Wasudan wengi walitambua kwamba kinachotokea ni sura mpya tu ya mpango wa zamani ambao wazalendo wamekuwa wakionya dhidi yake, mpango wa kuitenga Darfur, ambao unataka kulazimishwa kwa njia ya vita, njaa na uharibifu.


Mzunguko wa kukataa kile kinachoitwa usitishaji wa mapigano wa miezi mitatu umeongezeka, na sauti za kupinga zimeongezeka, hasa baada ya habari kuvuja kuhusu uwezekano wa kuongezwa kwa miezi mingine tisa, ambayo kimsingi inamaanisha kuisomalia Sudan na kufanya mgawanyiko kuwa ukweli usioweza kuepukika kama ilivyo nchini Libya.


Na pale watengeneza vita waliposhindwa kunyamazisha sauti hizi kwa ushawishi, waliamua kuzinyamazisha kwa vitisho. Hivyo, dira ya mashambulizi ilielekezwa Babnusa, kuwa eneo la kurudia tukio la Al-Fashir; mzingiro mkali uliodumu kwa miaka miwili, na kuangusha ndege ya mizigo ili kuhalalisha kusimamishwa kwa usambazaji wa anga, na kulipua miji ya Sudan kwa wakati mmoja; Omdurman, Atbara, Damazin, Al-Abyad, Um Barmbita, Abu Jubaiha na Al-Abbasiya, kama ilivyotokea wakati wa shambulio la Al-Fashir.


Shambulio la Babnusa lilianza siku ya Jumapili, na liliongezeka tena asubuhi ya Jumanne, huku vikosi vya msaada wa haraka vikitumia mbinu na njia zilezile ambazo zilitumia huko Al-Fashir. Hadi wakati wa kuandika mistari hii, hakuna hatua yoyote halisi ya jeshi iliyorekodiwa kuwasaidia watu wa Babnusa, katika marudio ya kusikitisha ambayo karibu yanafanana na eneo la Al-Fashir kabla ya kuanguka kwake.


Ikiwa Babnusa itaanguka - Mungu apishie mbali - na sauti zinazopinga usitishaji wa mapigano hazitapungua, janga hilo litajirudia katika jiji lingine... Na kadhalika, hadi watu wa Sudan walazimishwe kukubali usitishaji wa mapigano wakiwa wanyonge.


Huo ndio mpango wa Amerika kwa Sudan kama unavyoonekana wazi; Kwa hivyo jihadharini, enyi watu wa Sudan, na fikirieni kile mnachofanya, kabla ya sura mpya yenye kichwa cha habari Mgawanyiko na Upotevu kuandikwa kwenye ramani ya nchi yenu.


Watu wa Babnusa wamehamishwa kabisa, ambao wanahesabu watu 177,000, kama ilivyoripotiwa katika kituo cha Al-Hadath tarehe 10/11/2025, na wanazurura bila mwelekeo.


Kupiga kelele, kulia, kupiga mashavu na kurarua mifuko ni tabia za wanawake, lakini hali hiyo inahitaji uanaume na ujasiri wa kukataa uovu, na kuchukua hatua dhidi ya mnyanyasaji, na kuinua neno la haki linalotaka kuachiliwa kwa minyororo ya majeshi ili kuchukua hatua ya kuokoa Babnusa, bali kurejesha Darfur yote.


Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: «Hakika watu wanapomuona dhalimu na hawamzuilii mkono wake, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu kutoka kwake.» Na akasema ﷺ: «Hakika watu wanapoona uovu na hawaubadilishi, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu.»


Na ni aina mbaya zaidi ya dhuluma, na miongoni mwa maovu makubwa, kuwakatisha tamaa watu wetu huko Babnusa kama watu wa Al-Fashir walivyokatishwa tamaa hapo awali.


Marekani ambayo inataka leo kuigawanya Sudan, ni ile ile iliyoigawanya kusini hapo awali, na inataka kuigawanya Iraq, Yemen, Syria na Libya, na kama watu wa Sham wanavyosema "na kamba iko kwenye mtungi", mpaka machafuko yataenea katika taifa lote la Kiislamu, na Mungu anatuita kwenye umoja.


Amesema Mwenyezi Mungu: ﴿NA HAKIKA HII DINI YENU NI DINI MOJA, NA MIMI NI MOLA WENU, BASI MCHENI﴾, na akasema ﷺ: «Akiapishwa Khalifa wawili, basi muueni yule mwingine miongoni mwao.» Na akasema: «Hakika yatakuwa majanga na majanga, na anayetaka kuutenganisha mambo ya umma huu na wao wote, mpigeni kwa upanga yeye yeyote anayekuwa.» Na pia alisema: «Anayekujieni na amri yenu nyote mkiwa juu ya mtu mmoja anayetaka kuigawanya fimbo yenu au kuitenganisha jamaa yenu, basi muueni.»


Je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia.

Chanzo: Rada