Kituo cha Televisheni cha At-Tanasuh: Kwa nini Magharibi inakataa wazo la Dola ya Kiislamu?!
Kituo cha Televisheni cha At-Tanasuh kilimhoji mwalimu Ahmed Al-Qasas, mwanachama wa Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir, katika kipindi cha "Mazungumzo ya At-Tanasuh" kuzungumzia mada ya "Kwa nini Magharibi inakataa wazo la Dola ya Kiislamu?!".
Jumamosi, 07 Rabi' al-Awwal 1447 AH, sawia na 30 Agosti 2025 BK
- Sehemu ya Kwanza -

