Televisheni ya Al-Waqiyah: Kipindi cha Masuala ya Umma "Hatima ya Kanda Kati ya Majivuno ya Taasisi na Udhalili wa Watawala!"
[Kipindi cha Masuala ya Umma]
"Hatima ya Kanda Kati ya Majivuno ya Taasisi na Udhalili wa Watawala!"
Mgeni wa Kipindi:
Dkt. Mohammed Malkawi (Abu Talha)
Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika Jimbo la Jordan
Msimamizi wa Kipindi:
Mwalimu Adnan Mizyan
Jumamosi, 15 Safar al-Khair 1447 Hijria, sawa na 09 Agosti 2025 Miladia
Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa
