Televisheni ya Al-Waqiyah: Mazungumzo ya Alhamisi "«Gaza» kati ya Meli ya Msimamo na Mkutano wa Kilele wa Doha!"
Mazungumzo ya Alhamisi yamefanywa na televisheni ya Al-Waqiyah na mwalimu Abdul Raouf Al-Amiri mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Tunisia yenye kichwa "«Gaza» kati ya Meli ya Msimamo na Mkutano wa Kilele wa Doha!".
Alhamisi, 26 Rabi' al-Awwal 1447 Hijria, sawia na 18 Septemba 2025 Miladia
Kwa zaidi bonyeza hapa
