Televisheni ya Al-Waqiyah: Mahojiano Maalum "Khilafah pekee ndiyo itarejesha utukufu wa Sudan..!"
Mahojiano maalum na idara ya wanawake katika ofisi kuu ya habari ya Hizb ut-Tahrir ndani ya shughuli za kampeni ya kimataifa iliyoandaliwa na idara ya wanawake yenye kichwa "Vita vya Sudan: Hadithi ya ukoloni, usaliti na kukata tamaa" na dada Ummu Akram na dada Hajar Belhaj walishiriki katika mahojiano.
Jumanne, 24 Rabi' al-Awwal 1447 Hijria, sawa na 16 Septemba 2025 Miladia
Kwa zaidi bonyeza hapa
