Televisheni ya Al-Waqiyah: Jibu la swali "Mkakati wa Marekani na Suluhisho la Nchi Mbili"
[Televisheni ya Al-Waqiyah]
- Jibu la swali kutoka kwa Hizb ut-Tahrir -
Mkakati wa Marekani na Suluhisho la Nchi Mbili!
Muhtasari wa jibu la swali lililotolewa na Amir wa Hizb ut-Tahrir, msomi mkuu Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi, kuhusu Mkakati wa Marekani na Suluhisho la Nchi Mbili.
Kutoka kwa uzalishaji wa kituo cha Al-Waqiyah
Kusoma jibu bonyeza hapa
Jumanne, 10 Rabi' al-Awal 1447 Hijria, sawia na 02 Septemba 2025 BK
Kwa zaidi bonyeza hapa
