Jimbo la Pakistan: Toleo la 87 la Jarida la An-Nusra Latolewa
Toleo la 87 la Jarida la An-Nusra (kwa lugha ya Kiarabu) latolewa na Hizb ut-Tahrir / Jimbo la Pakistan.

Jumada al-Ula - Jumada al-Akhira 1447 Hijria | Novemba - Desemba 2025 Miladia
Ili kupakua toleo hili katika mfumo wa PDF bonyeza hapa
Ili kutembelea tovuti rasmi ya Jarida la An-Nusra bonyeza hapa
Ili kutembelea ukurasa wa jarida kwenye tovuti rasmi ya Hizb ut-Tahrir / Jimbo la Pakistan bonyeza hapa