November 17, 2025 412 views

Jimbo la Sudan: Wito kwa watu wa Sudan kufeli mpango wa kuitenga Darfur!

Jimbo la Sudan:Wito kwa watu wa Sudan kufeli mpango wa kuitenga Darfur!

Hotuba ya Ustadhi Abdallah Hussein, mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika Jimbo la Sudan, yenye kichwa "Wito kwa watu wa Sudan kufeli mpango wa kuitenga Darfur!" aliyoitoa wakati wa msimamo uliyoandaliwa na Hizb ut-Tahrir / Jimbo la Sudan katika mji wa Al-Dukhainat.

Jumapili, 04 Jumada al-Ula 1447 AH, sawia na 26 Oktoba 2025 BK

sudan

Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea tovuti za Hizb ut-Tahrir / Jimbo la Sudan:

Tovuti rasmi ya Hizb ut-Tahrir / Jimbo la Sudan

Kituo cha Daily Motion cha Hizb ut-Tahrir / Jimbo la Sudan

sudan

More from null

Jimbo la Sudan: Kongamano la Kisiasa "Mikataba ya Abraham ni usaliti kwa Umma na uwezeshaji wa taasisi ya Kiyahudi!"

Jimbo la Sudan: Kongamano la Kisiasa "Mikataba ya Abraham ni usaliti kwa Umma na uwezeshaji wa taasisi ya Kiyahudi!"

Neno la Wakili Mwalimu Hatem Jaafar

Mjumbe wa Baraza la Chama cha Ukombozi katika Jimbo la Sudan

Jumamosi, 29 Safar Al-Khair 1447 Hijria, inayoambatana na 23 Agosti 2025 Miladia

sudan

Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea tovuti za Chama cha Ukombozi / Jimbo la Sudan:

Tovuti rasmi ya Chama cha Ukombozi / Jimbo la Sudan

Ukurasa wa Facebook wa Chama cha Ukombozi / Jimbo la Sudan

Kituo cha YouTube cha Chama cha Ukombozi / Jimbo la Sudan

sudan