Rada: Hakuna Utulivu Isipokuwa Chini ya Dola ya Khilafa. Imeandikwa na Mwalimu/Ibrahim Othman (Abukhalil)
Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan na Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi, Luteni Jenerali Abdel Fattah Al-Burhan, alisisitiza kuwa Sudan imeanza hatua muhimu kuelekea utulivu wa kiraia na kidemokrasia, kupitia uteuzi wa waziri mkuu wa kiraia kwa serikali ya mpito, akizingatia hatua hii kama usemi wazi wa nia ya kitaifa ya kujenga upya taasisi za serikali kwa misingi ya kina ya kiraia. (Habari za Sudan, 1/7/2025)