Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Abu Wadaha News: Chini ya kichwa: Hatari ya kuangalia mamlaka kama keki inayogawanywa Hizb ut-Tahrir huandaa kongamano lake la kila mwezi

Abu Wadaha News: Chini ya kichwa: Hatari ya kuangalia mamlaka kama keki inayogawanywa Hizb ut-Tahrir huandaa kongamano lake la kila mwezi

Chini ya kichwa hiki, Hizb ut-Tahrir / Jimbo la Sudan, liliandaa kongamano lake la kila mwezi (Kongamano la Masuala ya Umma), katika ofisi ya chama katika mji wa Port Sudan siku ya Jumamosi, 10 Muharram 1447 AH, sawa na 2025/07/05 AD. Katika kongamano hilo, ambalo lilihudhuriwa na kundi la waandishi wa habari na wengineo, alizungumza Al-Ustadh Muhammad Jami Abu Ayman, msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Jimbo la Sudan, na Al-Ustadh Al-Nadhir Mukhtar, mwanachama wa Hizb ut-Tahrir.

238 / 10603