اعتاد المسلمون من حكامهم على أقوال لا تترجم أفعالاً يرتعد لها كل مستعمر وغاصب ومحتل!!
اعتاد المسلمون من حكامهم على أقوال لا تترجم أفعالاً يرتعد لها كل مستعمر وغاصب ومحتل!!

الخبر:   أعلن الاحتلال أن إغلاق المسجد الأقصى سيستمر حتى يوم الأحد، وفرض إجراءات أمن مشددة بعد العملية التي قتل فيها شرطيان من شرطة كيان يهود واستشهد منفذوها الثلاثة. وسارعت قوات الاحتلال إلى إغلاق مداخل المسجد الأقصى، ومنعت أهل فلسطين من إقامة صلاة الجمعة فيه، وهي المرة الأولى التي تمنع فيها صلاة الجمعة في أولى القبلتين وثالث الحرمين الشريفين منذ حرق المسجد عام 1969.

0:00 0:00
Speed:
July 17, 2017

اعتاد المسلمون من حكامهم على أقوال لا تترجم أفعالاً يرتعد لها كل مستعمر وغاصب ومحتل!!

اعتاد المسلمون من حكامهم على أقوال

لا تترجم أفعالاً يرتعد لها كل مستعمر وغاصب ومحتل!!

الخبر:

أعلن الاحتلال أن إغلاق المسجد الأقصى سيستمر حتى يوم الأحد، وفرض إجراءات أمن مشددة بعد العملية التي قتل فيها شرطيان من شرطة كيان يهود واستشهد منفذوها الثلاثة.

وسارعت قوات الاحتلال إلى إغلاق مداخل المسجد الأقصى، ومنعت أهل فلسطين من إقامة صلاة الجمعة فيه، وهي المرة الأولى التي تمنع فيها صلاة الجمعة في أولى القبلتين وثالث الحرمين الشريفين منذ حرق المسجد عام 1969.

التعليق:

 يحاول الجميع استغلال إغلاق المسجد الأقصى الشريف ليجدد إحياء هذه القضية المنسية في تصريحاتهم ولا سيما في الآونة الأخيرة مع تزايد الأزمات الداخلية في معظم البلاد الإسلامية، فعادوا ولكن باستحياء إلى خطاباتهم المشاعرية والتي دائما ما تأتي محاكاة لرغبة شعوبهم بضرورة تحرير الأقصى وامتصاصاً لشدة نقمتهم لهذا المحتل الغاصب الذي زاد من عنجهيته ليتجرأ ويقفل الأقصى فيتوقف رفع الآذان من مآذنه، وتدفق المصلين والزائرين له، والذي ما تجرأ لو كان للمسلمين قائد كصلاح الدين الأيوبي أو خلافة كخلافة أبي بكر وعمر وعثمان وعلي رضي الله عنهم جميعا وأرضاهم.

وإليكم بعض ما جاء على لسان المنددين والمستنكرين والشاجبين خلال الأيام المنصرمة لنضع بين أيديكم مجموعة من الأسئلة التي تفرض نفسها جراء ما يصيب الأمة الإسلامية عامة وما يصيب أهلنا في فلسطين خاصة.

وأول ما نبدأ به مع ما يُسمى بالسلطة الفلسطينية التي خافت وفق المتحدث باسمها على أن يُعطِّل هذا التصعيد المساعي الأمريكية والدولية لإحياء عملية السلام وفق مبدأ "حل الدولتين"... عن أي عملية ما زالوا يتحدثون!! وأي عملية هم عليها خائفون!! تلك العملية المقيتة التي ترسخ وجود هذا الكيان الغاصب بتقسيم فلسطين بين أهلها وبين محتل أراضيها!! تلك العملية التي لن تنتهي إلا بتهويد الأقصى وما تبقى من فلسطين!! خسئ مأربهم وخاب مسعاهم فأرض فلسطين سيحررها جيش الخلافة الراشدة على منهاج النبوة بقائد كصلاح الدين الأيوبي ليعيد العزة والنصر والتمكين وليدحر كل من دنّس مقدساتها ونكّل بشبابها ونسائها وأطفالها.

أما تركيا فقد طلبت وباسم رئيس وزرائها بأن لا يستمر إغلاق المسجد الأقصى المبارك، كما دعت وباسم وزير خارجيتها إلى احترام الأماكن المقدسة ومكانتها التاريخية باعتبارها ضرورة إنسانية وقانونية! عن أي إنسانية يتحدثون وهم يشاهدون يوميا انتهاكات يهود للأقصى وتدنيسهم له عند كل فرصة سانحة؟! أي قانون هذا الذي يسمح بفتح قنصلية لهذا الكيان الغاصب في أنقرة ويتم التعامل معه دبلوماسيا وسياسيا وأمنيا في أريحية كاملة!! نعم إذ لا ضير عند حكم علماني بهكذا قوانين تخالف الشرع والدين الإسلامي وتتحالف مع أعداء هذا الدين الحنيف ما دامت تحقق مصالحهم وتُبقي على كراسيهم التي لم تَدُمْ لمن قبلهم لتدوم لهم، فما بُني على باطل فهو باطل وزائل أمام الحق وأهله ولو بعد حين.

وما حكام الخليج بمنأى عن هذه الجوقة الاستعراضية، ينددون ويستنكرون كحكام قطر والكويت وغيرهم ممن اعتبر ما حصل استفزازا لمشاعر المسلمين عامة وانتهاكاً لحرية ممارسة الشعائر الدينية... على أي مشاعرٍ هم خائفون؟! أهي نفسها التي يتم استغلالها على منابرهم السياسية وتصريحاتهم التي تدغدغ تلك المشاعر لإيهام الناس أنهم هم أولياء الأمور الذين يديرون قضاياهم ويحمون مقدساتهم؟!!

أما السعودية ومن لفّ لفيفها باستعراض العضلات وعقد القمم والمؤتمرات تحت عنوان محاربة (الإرهاب) أينما كان وحيثما وُجد ولو كلّف ذلك القطيعة مع الجيران "قطر" أو خوض حرب دامية مباشرة "اليمن"، أنَفْهَمُ من صمتها المخزي أن الشلل أصابها تجاه الأقصى وحرماته المقدسة وأن ما يحدث مع أهلنا في فلسطين بعيد كل البعد عن (الإرهاب)!! نعم فـ(الإرهاب) المقصود في العرف الدولي هو كل ما له علاقة بالإسلام والمسلمين وليس بمن يحتل أراضي المسلمين وينهب ثروات الأمة الإسلامية وينتهك أعراضها ويعتقل شبابها وأطفالها!!

ولا يسعنا أن نبعد ملك الأردن وسيسي مصر، هذين العميلين اللذين ما انفكا عن التطبيع مع هذا الكيان الغاصب وإقفال الحدود المصطنعة لحمايته ولمنع الجيوش التي لا تفصلها عن مؤازرة المسلمين وتحرير الأقصى كما فعل القائد صلاح الدين الأيوبي إلا حكاماً زرعوا الرابطة الوطنية في النفوس بدل الرابطة العقائدية. حكام نشاهد بأسهم وضراوتهم بل وأنيابهم على شعوبهم الفقيرة والمضطهدة، فيلاحقون شبابها ويزجون بهم في السجون ويقفلون المعابر بوجه الحالات الإنسانية بحجة ضبط الحدود ومراقبتها لأن بلادهم تمر بأزمة أمنية!! فأين الأزمات الإنسانية والاقتصادية التي ضعضعت بنيان العائلات والأسر المحتاجة جراء إهمالهم المستمر وسوء رعايتهم!!

بعد تلك الاستهجانات المدروسة والمحدودة بالقول دون الفعل والتي تضع الإصبع على الجرح الأليم، ذلك الجرح الغائر في جسد الأمة المنهكة والمتعبة بعد أن هدمت خلافتها فأصبحت لقمة سائغة في أفواه الذئاب الخبيثة المسعورة، لا يسعنا إلا دعوة هؤلاء المنددين والتي لا تترجم أقوالهم إلى أفعال يرتعد لها كل مجرم وكل غاصب وكل مستعمر، ندعوهم أن يخلوا الساحة للرجال المخلصين والقادة الميامين الواعين على قضايا الأمة المصيرية، ندعوهم لمعرفة قدر أنفسهم ومكانتهم عند شعوبهم التي وبأكثريتها كفرت بهم ونبذتهم وكشفت عوارهم، والتي لا ينقصها سوى أن تضع يدها بيد العاملين شباب حزب التحرير لإحداث التغيير المنشود وإقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة بعد ملكهم الجبري هذا والذي جاء في حديث الرسول rحيث قال «... ثُمَّ تَكُونُ مُلْكًا جَبْرِيّاً، فَتَكُونُ مَا شَاءَ اللَّهُ أَنْ تَكُونَ، ثُمَّ يَرْفَعُهَا إِذَا شَاءَ أَنْ يَرْفَعَهَا، ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةٌ عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ، ثمَّ سَكَتَ».

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

رنا مصطفى

#الأقصى_يستصرخ_الجيوش

#Aqsa_calls_armie

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon