أفغانستان، واحدة من الأراضي المستعصية على أمريكا وتريدها بشدة!
أفغانستان، واحدة من الأراضي المستعصية على أمريكا وتريدها بشدة!

الخبر: في تقرير صدر مؤخرًا، قال الصندوق الدولي للطفولة التابع للأمم المتحدة (اليونيسف) إن ما يقرب من نصف الأطفال الذين تتراوح أعمارهم بين 7 و17 سنة - وهم 3.7 مليون - في أفغانستان لا يرتادون المدرسة بسبب الصراع المستمر. ووفقاً لأحدث تقرير صادر عن اليونيسف، فإن النزاع المستمر وتفاقم الوضع الأمني ​​في جميع أنحاء البلاد، بالإضافة إلى الفقر المتأصل والتمييز ضد الفتيات، أدى إلى ارتفاع معدل الأطفال خارج المدرسة للمرة الأولى منذ عام 2002. (بي بي سي)

0:00 0:00
Speed:
June 07, 2018

أفغانستان، واحدة من الأراضي المستعصية على أمريكا وتريدها بشدة!

أفغانستان، واحدة من الأراضي المستعصية على أمريكا وتريدها بشدة!

(مترجم)

الخبر:

في تقرير صدر مؤخرًا، قال الصندوق الدولي للطفولة التابع للأمم المتحدة (اليونيسف) إن ما يقرب من نصف الأطفال الذين تتراوح أعمارهم بين 7 و17 سنة - وهم 3.7 مليون - في أفغانستان لا يرتادون المدرسة بسبب الصراع المستمر. ووفقاً لأحدث تقرير صادر عن اليونيسف، فإن النزاع المستمر وتفاقم الوضع الأمني ​​في جميع أنحاء البلاد، بالإضافة إلى الفقر المتأصل والتمييز ضد الفتيات، أدى إلى ارتفاع معدل الأطفال خارج المدرسة للمرة الأولى منذ عام 2002. (بي بي سي)

التعليق:

على الرغم من أن عددًا من المؤسسات والصحفيين الغربيين، بما في ذلك بعض العسكريين الأمريكيين، قد كتبوا بشكل حاسم حول الحرب بين أمريكا والناتو في أفغانستان، كما أوصوا بإيجاد حلول مختلفة للمعضلات الحالية، إلا أن أمريكا واستراتيجياتها هي التي تسببت عن عمد في إيصال أفغانستان لمثل هذه الحالة الرهيبة. في الواقع، يرجع ذلك إلى النكسة المتأصلة للديمقراطية التي تسمح لكل فرد وكل مؤسسة بالتعبير عن تطلعاتها، والكتابة بشكل نقدي والتوصية بالحلول. وحيث إن الحكومة الأمريكية وقادتها، دون النظر المتعمق في تناقضاتها الواسعة، يقودون الوضع الراهن في أجزاء مختلفة من العالم على أساس استراتيجيات طويلة الأجل طورتها مؤسساتها المختلفة.

علاوة على ذلك، لم يكن الشعب الأفغاني يعاني من مشكلة التعليم فحسب، بل واجه أيضًا أزمات مروعة منذ احتلال أمريكا وحلف شمال الأطلسي لأفغانستان، لأنهم ربما لم يكونوا قد تصوروا هذا الوضع حتى في أحلام اليقظة. في الآونة الأخيرة، أصدرت هيومن رايتس ووتش تقريرها المؤلف من 49 صفحة بعنوان "لا مكان آمنا". في الواقع في الوقت الحاضر لا توجد أماكن آمنة في أي مكان في أفغانستان باستثناء قواعد القوات الأمريكية وحلف شمال الأطلسي.

إذا لم يتم الوفاء بالاحتياجات الأساسية للناس مثل "الأمن"، سيواجه الناس بلا شك أزمات ضخمة في جميع مجالات حياتهم. ومن ناحية أخرى، تشير النتائج الجديدة الصادرة عن وزارة مكافحة المخدرات الأفغانية إلى إنتاج 9000 طن من المخدرات في البلد، في حين لم يتجاوز الإنتاج السنوي للأدوية 180 طنا قبل عام 2001.

علاوة على ذلك، فقد وصل إنتاج المخدرات إلى هذا المستوى الحرج؛ وستساعد عملية الزراعة والتجهيز والتهريب على تشكيل اقتصاد للجريمة في البلاد. وفي وقت لاحق، فتح السفير الأمريكي في أفغانستان (جون ر. باس) فمه بصرامة - فقد كان يلطخ لسانه وأسنانه بدماء الناس - واصفا أفغانستان بأنها قاعدة المنشأ وممر العبور للاتجار بالأشخاص ويؤكد هذه الظاهرة باعتبارها تحدياً كبيراً للبلاد.

جون باس، المعروف باسم العقل المدبر لتنظيم الدولة، يعبر عن هذه الظاهرة على أنها "كارثة" خلال كلمته في حفل إطلاق شبكة أفغانستان لمكافحة الاتجار بالأشخاص (ANTCIP) في كابول. وقد تم تناوله بمشقة شديدة، حيث قال: "في بلد لا يتم فيه إنفاذ القانون، يصبح شعبه ضحية لهذه الظاهرة". وشدد أيضاً على أن اللاجئين الأفغانيين والنازحين داخلياً في البلد هم أكثر عرضة للمعاناة من هذا التهديد ويتعين اتخاذ إجراءات لحماية حياتهم. ومع ذلك، فقد بلغت أفغانستان عامها الثامن عشر لاستضافة هذه الجهود المهانة التي فرضت قانونا من صنع الإنسان على الأفغان يناقض معتقدات ومطالب الشعب الأفغاني.

حاول الاحتلال الاستعماري أن يفعل أكثر من المتوقع لخداع الرأي العام والعالم من خلال الكشف عن تقارير غريبة تتفوق على شر الشيطان. ومن بين هؤلاء، اقترحت هيئات المراقبة العامة لدوائر الولايات والدفاع والوكالة الأمريكية للتنمية الدولية (USAID) تقريرا إلى الكونجرس الأمريكي ينص على أن مؤشرات التقدم تبدو محدودة في أفغانستان - تعديل لإقناع الغرب دافعي الضرائب للحفاظ على تمويل البرامج الأمريكية في أفغانستان لسنوات قادمة.

ولتعزيز مشروعهم الحربي في المنطقة، عرّضوا حياة الأفغان للخطر بفقر لم يسبق له مثيل، مما سهل على جميع خطوط الحرب تجنيد الجنود. ووفقًا للإحصاءات الأخيرة الصادرة عن مكتب الإحصاءات المركزي لأفغانستان، فإن أكثر من 54 بالمائة من سكان أفغانستان كانوا تحت خط الفقر في عام 2016، مما يشير إلى زيادة بنسبة 16 بالمائة مقارنة بالسنة السابقة 2015. في حين تشير هذه الأرقام إلى حقيقة أفغانستان من سنتين إلى الآن، ولكن الوضع الحالي هو بلا شك أسوأ بكثير مما تشير إليه الأرقام.

ضمت أمريكا وحلف الناتو إلى جانب احتلال أفغانستان كميات كبيرة من الأموال في أسواق أفغانستان مما تسبب في إفلاس معظم الأفغان. ونتيجة لذلك، ساعدوا في جلب العصابات الرأسمالية الفاسدة والعملاء الخاضعين في أفغانستان لتنفيذ جميع خططهم الاستعمارية بدعمهم. الوضع الاقتصادي للناس يزداد سوءًا من أي وقت مضى.

قال المفتش العام الخاص لإعادة إعمار أفغانستان بأن أمريكا هي السلطة المشرفة على الحكومة في أفغانستان، وفي تقريره الأخير حول أفغانستان: إن عدد قوات الأمن الأفغانية، بما في ذلك الشرطة الوطنية الأفغانية والجيش الوطني الأفغاني قد انخفض بنسبة 10٪ خلال العام الماضي، حيث وصل هذا الرقم إلى 296409 جندي بحلول 31 كانون الثاني/يناير 2018. تسيطر الحكومة الأفغانية على 56.3٪ فقط من المناطق، وتندرج المناطق الباقية تحت فئة "المعرضين للخطر".

بالنظر إلى ما سبق، فإن الوضع الحقيقي أسوأ بكثير. بعد الفقر، تعرض الناس للبغاء والفساد والخطف وتهريب المخدرات والتمييز والانقسام والصراع الداخلي. لقد تجاوز القصف الجوي الأمريكي على مراكز المعارضة المسلحة حدوده مما تسبب في مقتل معظم المدنيين. وقد بلغت عمليات الاغتيال والمذابح والتفجيرات الانتحارية والتفجيرات ذروتها في المدن، وتتنافس وكالات الاستخبارات والشركات المتعاقدة المشاركة في حالة أفغانستان مع بعضها البعض في هذه المنطقة. الكل في الكل، حتى إن علامات النمو البسيطة في كل منحى من حياة الناس قد واجهت إفقارا مطلقا، وأعضاء من داخل القصر - يسكنون خلف الجدران الخرسانية - يعطون آمالا كاذبة للشعب بينما هم في الحقيقة يدعمون قوات الاحتلال.

وبالتالي، فإن الأمر يستحق التفكير والتفكير بعمق! لدينا فقط خياران. يجب علينا إما أن نعمل بجد ونقاتل ضد كل ما تسبب في الاحتلال والاستعمار لهذه الأرض الإسلامية من أجل إنقاذ شعبنا من حالة الحصار هذه أو يجب علينا الاستسلام لأوامر السيد الغربي والمساعدة في دعم التغيير الفعلي للأجيال والتي بدأت في مجتمعنا، ولا نتحدث أبدا عن قيمنا على الإطلاق. ونتيجة لذلك، قد نجعل مصيرنا وما سيحصل لنا بأيدي عدونا مثل مصير الأندلس المنسي (إسبانيا).

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سيف الله مستنير

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية أفغانستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon