أفريقيا تعاني من الاستعمار الغربي وتحتاج إلى الخلافة لتحريرها
أفريقيا تعاني من الاستعمار الغربي وتحتاج إلى الخلافة لتحريرها

الخبر: نيجيريا، أكبر اقتصاد في أفريقيا والدولة الأكثر اكتظاظا بالسكان، فقد فاقت الهند وتواجه حاليا أعلى مستوى من الفقر المدقع في العالم! كينيا التي تعتبر أكبر مركز للاقتصاد والتجارة في شرق ووسط أفريقيا يعيش ما يقدر بنحو 17.6 مليون شخص في فقر مدقع وما يقدر حالياً بنحو 1.2 مليون كيني معرضون لخطر الموت من جراء المجاعة. في المجموع، 14.7 مليون شخص بلا طعام بسبب ما تسبب به الجفاف من خسائر! وبشكل عام، فإن المجالات السياسية والاجتماعية والاقتصادية لأفريقيا في حالة فوضى نظامية كاملة!

0:00 0:00
Speed:
April 03, 2019

أفريقيا تعاني من الاستعمار الغربي وتحتاج إلى الخلافة لتحريرها

أفريقيا تعاني من الاستعمار الغربي وتحتاج إلى الخلافة لتحريرها

(مترجم)

الخبر:

نيجيريا، أكبر اقتصاد في أفريقيا والدولة الأكثر اكتظاظا بالسكان، فقد فاقت الهند وتواجه حاليا أعلى مستوى من الفقر المدقع في العالم! كينيا التي تعتبر أكبر مركز للاقتصاد والتجارة في شرق ووسط أفريقيا يعيش ما يقدر بنحو 17.6 مليون شخص في فقر مدقع وما يقدر حالياً بنحو 1.2 مليون كيني معرضون لخطر الموت من جراء المجاعة. في المجموع، 14.7 مليون شخص بلا طعام بسبب ما تسبب به الجفاف من خسائر! وبشكل عام، فإن المجالات السياسية والاجتماعية والاقتصادية لأفريقيا في حالة فوضى نظامية كاملة!

التعليق:

إن الدولتين المذكورتين أعلاه هما مجرد مثال على الحالة الراهنة لأفريقيا نتيجة للتطبيق المستمر للسياسات الرأسمالية العلمانية التي ورثتها القارة وقيادتها عن أسيادها الغربيين. إن المستعمرين الذين ارتكبوا أبشع الجرائم على الإطلاق بحق الإنسانية والذين كان لهم الدور في الاسترقاق العقلي للأفارقة كما ذكر هندريك ف. فرويرد "لا مكان له (للأفريقي) في المجتمع الأوروبي فوق مستوى معين في سوق العمل. وحتى الآن، يخضع (الأفريقي) لنظام مدرسي أبعده عن مجتمعه وضلله من خلال مظهرين له المراعي الخضراء للمجتمع الأوروبي حيث لا يُسمح له بالرعي". وجريمة أخرى كانت باستعباد مادي لسكان أفريقيا ونهب مواردها كما ذكر السير أندريس ستوكنستروم: "إن مسألة سرقة بلاد السكان الأصليين ليست متعلقة بما إذا كان صواباً أم خطأ نهب أراضيهم وارتكاب المذابح بحقهم وإبادة الهوتنتوتيين، الكفار.. لكن السؤال البسيط هو: هل سيدفعون الثمن؟ ولكن إذا ما كان الإنجيل والمبشر يقفان في طريق تحقيق هذا الربح البالغ ألفاً في المائة... وإذا ما كان الأمر بهذا الاختصار، فلن يستطيعوا الترويج للعمل العظيم المتمثل في تحويل شعب من أصحاب محال إلى شعب من أصحاب الملايين... سينتج مسحوق البنادق إنجيلاً أكثر نفعا لخدمة أغراض نظامنا الحضاري". علاوة على ذلك، كتب الفيلسوف البريطاني بيتران راسل عن بعض الفظائع الاستعمارية "أمرت السلطات القرية بأن تجمع كمية معينة من المطاط - أن يحضر الرجال كل ما يمكنهم إحضاره فيما يصب بصالح المشغل. وكانوا إذا ما أخفقوا في إحضار المقدار المطلوب، تؤخذ نساؤهم ويبقين عندهم كرهائن... في قسم نساء موظفي الحكومة الاستعمارية. وإذا ما فشلت هذه الطريقة... تُرسل القوات إلى القرية لنشر الرعب، وإذا لزم الأمر يقتل بعض الرجال... فقد أُمروا بإحضار يد يمنى بترت من ضحية أفريقية مقابل كل خرطوشة استخدمت".

ارتكبت هذه الفظائع من المستعمرين الأوروبيين بقيادة بريطانيا وفرنسا وحلفائهم عندما كانوا القوى العظمى في ذلك الوقت. وعندما برزت أمريكا قبل الحرب العالمية الثانية وأصبحت القوة العظمى، مضت إلى الأمام وتصارعت مع القوى الأوروبية من أجل حصتها من المستعمرات! لذلك، حرضت أمريكا عبر القادة من عملائها الأفارقة الموالين لها على تصعيد موجة من الاستياء في جميع أنحاء القارة بحجة السعي للحصول على الاستقلال من المستعمرين الأوروبيين! وكانت النتيجة أن القوى الأوروبية استطاعت الالتفاف على هذا الاستياء واستغلاله لصالحها من أجل الحفاظ على الوضع الراهن من خلال التنكر وإصدار استقلال كاذب عبر الإعلام في الوقت الذي احتفظت فيه بإدارة الدولة عبر حكام جدد عملاء للمستعمرين يخدمون مصالحهم! ومن هنا ذهبت أمريكا إلى أبعد من ذلك وأدخلت ما يسمى الانتخابات الديمقراطية لاستبدال حكامها العملاء بحكام الأوروبيين العملاء وإذا ما دعت الحاجة تنظم الانقلاب والانقلابات المضادة! هذه السياسة من الهرولة لأفريقيا بين أمريكا وأوروبا لا تزال حتى يومنا هذا! فنظرتهم لأفريقيا هي ذاتها وتقوم على إخضاع ونهب واستعباد شعبها كعمالة رخيصة! الفرق الوحيد هو أن أمريكا مع حلفائها يقودون حالياً هجوماً عالمياً ومفتوحاً على الإسلام والمسلمين من خلال ما يسمى بحربهم على (التطرف والإرهاب). الغرض الوحيد هو تشويه صورة الإسلام والمسلمين كمبدأ بديل لمبدئهم الرأسمالي العلماني الفاسد الذي تسبب في الخراب في جميع أنحاء العالم إلى حد أن العُمي يمكنهم رؤية الفساد المستشري في جميع مجالات الحياة! بالإضافة إلى خلق ضبابية في نهاية المطاف عند البشرية عامة والمسلمين بخاصة لصرف نظرهم عن الإسلام باعتباره مبدأ بديلا قادرا على حل المشاكل الحالية التي تواجههم في جميع أنحاء العالم.

إن الوضع الحالي في أفريقيا هو ذاته في جميع أنحاء العالم وبخاصة في الشرق الأوسط الذي شهد تقسيم دولة الخلافة العثمانية الواحدة إلى 54 دولة صغيرة يحكمها حكام عملاء أغبياء عيونهم تتطلع إلى واشنطن، ولندن وباريس لتدلهم على الطريق! انتهت قسمة بلاد المسلمين في 3 آذار/مارس 1924م عندما دمر صرح الخلافة! ويكمن الحل الوحيد في استبدال الحكام العملاء للمستعمر ومبدئهم وأنظمتهم الرأسمالية العلمانية. ولا يمكن تحقيق ذلك إلا من خلال احتضان الدعوة إلى الخلافة على منهاج النبوة التي يتردد صداها في جميع أنحاء العالم ويدافع عنها حزب التحرير. ففي ظل الخلافة فقط يوقف الرأسماليون العلمانيون وسياساتهم عن استغلال أفريقيا والشرق الأوسط وأخواتهما بسياساتهم وقوانينهم المقيتة. ستحقق الخلافة الطمأنينة الحقيقية والتنمية والازدهار عبر التطبيق الشامل للشريعة (القرآن والسنة). خلافة يحكمها حاكم عادل، خليفة يتوق إلى أعلى درجات الجنة عندما يكرس نفسه لنيل رضا الله سبحانه وتعالى.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

علي ناصورو علي

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في كينيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon