أحداث السلط والفحيص
أحداث السلط والفحيص

الخبر:   عمان – "القدس العربي": تطورت عملية تفجير سيارة أمنية أردنية عصر الجمعة إلى مواجهات مفتوحة بين الأمن الأردني وسلسلة من خلايا وصفت بـ(الإرهاب) في مدينة السلط بمحاذاة غربي العاصمة عمان. وتم الإعلان رسميا عن وقوع أربعة قتلى ونحو 21 مصابا بينهم رجال أمن ومدنيون وفقا لغنيمات التي تحدثت فجر الأحد عن دخول العمليات الأمنية في مدينة السلط لـ"مرحلة ثانية" دقيقة وحساسة واحترافية وتوقعت الاستماع إلى أصوات انفجار بسبب التمشيط الأمني. ...

0:00 0:00
Speed:
August 13, 2018

أحداث السلط والفحيص

أحداث السلط والفحيص

الخبر:

عمان – "القدس العربي": تطورت عملية تفجير سيارة أمنية أردنية عصر الجمعة إلى مواجهات مفتوحة بين الأمن الأردني وسلسلة من خلايا وصفت بـ(الإرهاب) في مدينة السلط بمحاذاة غربي العاصمة عمان.

وتم الإعلان رسميا عن وقوع أربعة قتلى ونحو 21 مصابا بينهم رجال أمن ومدنيون وفقا لغنيمات التي تحدثت فجر الأحد عن دخول العمليات الأمنية في مدينة السلط لـ"مرحلة ثانية" دقيقة وحساسة واحترافية وتوقعت الاستماع إلى أصوات انفجار بسبب التمشيط الأمني.

وبين القتلى ضابط برتبة رائد من قوات مكافحة الإرهاب، وعدد رجال الأمن القتلى وصل لأربعة بعد مقتل دركي في انفجار الفحيص مساء الجمعة.

والتحقيقات الأمنية وبعدها المداهمات تطال خلايا معروفة بانتمائها لتيار "تكفيري" دون توفر معلومات موثوقة عن وجود صلة بينها وبين أي تنظيمات إرهابية معروفة مثل داعش أو غيرها.

وتشك السلطات بأن خلية "ذئاب منفردة" قررت تنفيذ عملية الفحيص قبل التطور في المداهمات.

التعليق:

باستقراء الأحداث التي توصف بأنها (إرهابية) وتنسب للتيار الجهادي التكفيري يجد المتتبع لها أنها تعود إلى استغلال الدول وأجهزتها الأمنية للناحية الروحية الموجودة عند المسلمين خاصة حب الجهاد والاستشهاد، والتي تم استغلال الوهابية على إثرها للقيام بعمليات استشهادية ضد أهل الفسق والفجور، بعد تكفيرهم لاستباحة دمائهم وأموالهم، وتم إقناعهم أن الأجهزة الأمنية كافرة لأنها تقوم بحماية الأنظمة الطاغوتية الكافرة، وهذا ما يفسر سرعتهم في إطلاق النار على رجال الأمن والدرك وغيرهم، أما قتلهم للمدنيين فقد تم إقناعهم بجواز التحصن بهم وقتلهم إذا دعت الحاجة لذلك.

إن هذه الأفكار الوهابية التي عملت الدول الغربية الكافرة على تكليف السعودية بنشرها لدى المتدينين للاستفادة منهم في تهديد الدول التي تخرج عن خط السير المرسوم لها، فكانوا مجاهدين تحت الطلب، يستجيبون لمن يجندونهم لتحقيق غايات سياسية، وغالبا ما تقودهم المخابرات بشكل مباشر أو غير مباشر.

وقد سبق للمخابرات الأردنية أن استخدمتهم في سوريا والعراق ومن قبل في أفغانستان، وما جرى في صويلح ليس ببعيد، فقد كان أئمة المساجد ينشطون بتجنيد من يريد الذهاب إلى سوريا، وكانت هناك مساجد مخصصة لجبهة لنصرة وأخرى لتنظيم الدولة، وكان ذلك يجري تحت سمع وبصر المخابرات الأردنية. وجاء الدور على الأردن لتركيعها لتقبل بصفقة القرن، وما تفجير باص الدرك في الفحيص الذي يقوم بمهام الحراسة لمهرجان الفحيص إلا طُعمٌ قُدّم لخلية "الذئاب المنفردة" لتقوم بإثارة الفوضى على غرار عملية الكرك التي نفذت قبل عامين.

إنه من الظلم أن أبناء العشائر بيد بعضهم البعض سواء أكانوا من المسلحين أم من الدرك والأمن العام أم من الرعايا العاديين.

ومن الظلم أن تبقى فئة فاسدة تحكم البلاد والعباد بالحديد والنار، وتنهب أموالهم وتلقي برجالهم في الزنازين المنفردة والسجون.

ومن الظلم أن يتحكم في البلاد والعباد تجار المخدرات الذين إذا تم تفكيك مافياتهم أثاروا الفوضى بتحريك البعض للقتل والتدمير.

يجب أن ندرك تماما أن الذي جعل من أبناء الأمة الواحدة أعداء لبعضهم يسعى كل طرف لقتل الآخر هو تطبيق النظم الرأسمالية والعلمانية الكافرة وإبعاد شريعة الإسلام عن الحياة.

هذا المسلم الذي يوجه سلاحه للأمن لأنهم يدافعون عن نظام طاغوتي لا يحكم بشريعة الإسلام مظلوم لأنه تم تعليمه الإسلام الوهابي التكفيري.

وهذا المسلم الموظف في صفوف الأمن والدرك والذي تدفعه قيادته للدفاع عن أهل الفسق والفجور في مهرجان الفحيص وجرش وغيرها، كما تدفعه قيادته للدفاع عن السفارات الأجنبية التي تحارب دولها المسلمين في العراق والشام واليمن وليبيا وغيرها، وتدفعه قيادته لاعتقال شرفاء الأمة والزج بهم في المعتقلات والسجون لأنهم حاسبوا الدولة التي تقنن للفساد، مثل هؤلاء الموظفين في الأجهزة الأمنية مظلومون لأنهم لم يجدوا فرصة عمل حلال بعيدا عن هذه الأجهزة، وظالمون لأنهم يحمون بأرواحهم أنظمة طاغوتية تقودهم إلى جهنم إذا ماتوا وهم على ذلك والعياذ بالله.

كيف الخروج من هذا المأزق؟

لا بد أن يكف رجال الأمن والجيش عن حماية النظام الطاغوتي الذي أبعد شريعة الله عن الحياة وطبق بدلا منها قوانين بشرية قاصرة ظالمة أحالت حياة الناس إلى ضنك وشدة ومعاناة وفقر ومرض... الخ

حزب التحرير يناديكم لنصرته فهو الوحيد الذي يملك مشروعا إسلاميا يقود الدولة العصرية إلى بر الأمان ويضع الروح الجهادية عند شباب الأمة في مكانها الصحيح لتوجه بنادقها نحو كيان يهود ومن خلفه من دول الكفر والطغيان.

بهذا يحدث الوئام بين أبناء المسلمين في الأردن فلا يقتل أحدهم الآخر، ويكون الجميع على بينة ووضوح من أمرهم، فيكون القتال قتالاً في سبيل الله حقا ويكون القتل شهادة في سبيل الله لا في سبيل ما دون ذلك من خزعبلات ما أنزل الله بها من سلطان.

رحم الله القتلى وعجل بشفاء الجرحى، آمين...

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أميمة حمدان – ولاية الأردن

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon