أجندي أمريكي غير مسلم؛ أغْيَرُ على أهل فلسطين من الجنود المسلمين؟!
أجندي أمريكي غير مسلم؛ أغْيَرُ على أهل فلسطين من الجنود المسلمين؟!

الخبر:   قام الجندي الأمريكي آرون بوشنل بحرق نفسه يوم 25/2/2024 أمام سفارة كيان يهود بأمريكا احتجاجا على دعم بلاده لكيان يهود الذي يواصل أعمال الإبادة الجماعية بحق أهل غزة من قتل وجرح وتشريد وتجويع وإهانة وتعذيب وتدمير للبيوت والمستشفيات والمدارس والحقول. ...

0:00 0:00
Speed:
March 02, 2024

أجندي أمريكي غير مسلم؛ أغْيَرُ على أهل فلسطين من الجنود المسلمين؟!

أجندي أمريكي غير مسلم؛ أغْيَرُ على أهل فلسطين من الجنود المسلمين؟!

الخبر:

قام الجندي الأمريكي آرون بوشنل بحرق نفسه يوم 25/2/2024 أمام سفارة كيان يهود بأمريكا احتجاجا على دعم بلاده لكيان يهود الذي يواصل أعمال الإبادة الجماعية بحق أهل غزة من قتل وجرح وتشريد وتجويع وإهانة وتعذيب وتدمير للبيوت والمستشفيات والمدارس والحقول.

 فقد بث شريطا مصورا عبر الإنترنت وهو يقول "لن أكون متواطئا بعد الآن في الإبادة الجماعية" وسكب على نفسه سائلا حارقا وهو يرتدي زيه العسكري وأشعل النار في نفسه وهو يردد "فلسطين حرة"، ومات متأثرا بحروقه بعد ساعات.

التعليق:

لقد لفتت عملية احتجاج هذا الجندي أنظار العالم، خاصة الداخل الأمريكي، الذي عادة ما يتعاطف مع اليهود بسبب التضليل، لفتت أنظارهم إلى جرائم يهود في غزة بصورة أقوى، وإلى مدى تواطؤ أمريكا مع كيان يهود في ارتكاب الإبادة الجماعية. وإن تأييدها لكيان يهود ومدّه بكل أنواع الأسلحة علني رسمي وليس سريا. لأنها تعتبر هذا الكيان جزءا منها وقاعدتها في الشرق الأوسط، فهي التي دعمته في كل ناحية على مدى 75 عاما. وبذلك قال بايدن يوم 18/10/2023 عند وصوله إلى تل أبيب في زيارة تضامنية مع كيان يهود "لو لم تكن هناك (إسرائيل) لعملنا على إقامتها".

وقد تناقلت وسائل الإعلام يوم 28/2/2024 عن صحيفة نيويورك بوست تفاصيل جديدة عن العسكري الأمريكي بالقوات الجوية آرون بوشنل الذي أحرق نفسه. فذكرت أن صديقا له أخبره باطلاعه على معلومات سرية تفيد بوجود "قوات أمريكية على الأرض تقتل أعدادا كبيرة من الفلسطينيين"، وذكر أن "بوشنل أبلغه أن لديه تصريحا يخوله الاطلاع على بيانات للاستخبارات العسكرية الأمريكية من فئة سري للغاية" وقال صديقه "إن وظيفته الفعلية تنطوي على معالجة بيانات استخباراتية، وبعضها كان متعلقا بالصراع (الإسرائيلي) في غزة".

وقال "إن بوشنل اتصل به ليلة السبت 24 شباط - أي قبل ساعات من إحراق نفسه ظهر الأحد 25 شباط - وأخبره أنه "اطلع على معلومات تفيد بأن الجيش الأمريكي متورط في عمليات الإبادة الجماعية الجارية في فلسطين". وأخبرني أن "لدينا قوات على الأرض وأنها تقتل أعدادا كبيرة من الفلسطينيين"، وذكر أن "بوشنل تحدث عن جنود أمريكيين يقاتلون في الأنفاق التي تستخدمها الفصائل الفلسطينية في قطاع غزة".

وهذه شهادة من أهل أمريكا عليها أنها بجانب دعمها الظاهر سياسيا واقتصاديا وعسكريا وإعلاميا لكيان يهود فإنها تدعمه بالجنود المقاتلين على الأرض. إذ إن الجنود اليهود جبناء فلا يستبعد أن ترسل أمريكا جنودا إلى الأنفاق التي يخاف جنود يهود النزول إليها حيث قذف الله في قلوبهم الرعب بعملية طوفان الأقصى يوم 7 تشرين الأول/أكتوبر الماضي التي وصفها بايدن أثناء زيارته لكيان يهود بأنها: "تركت جرحا غائرا لدى (الإسرائيليين)، وأنها تعد 15 ضعفا لهجمات 11 أيلول/سبتمبر عام 2001 في نيويورك". فلدى أمريكا قتلة مجرمون محترفون عندهم تجارب في قتل الملايين من الأبرياء في أفغانستان والعراق ومن قبل في فيتنام وتعذيبهم وتشريد الناس وتدمير البلاد، حيث تشهد سجونها التي أقامتها في أبو غريب بالعراق وفي باغرام بأفغانستان وفي غوانتنامو بكوبا، على كل ذلك.

لم يتحمل هذا الجندي الأمريكي تلك الإبادة الجماعية التي ترتكبها بلاده مع كيان يهود ولم يرد تحمل المسؤولية عن ذلك، فقد بث شريطا مصورا عبر الإنترنت وهو يقول "لن أكون متواطئا بعد الآن في الإبادة الجماعية" وسكب على نفسه سائلا حارقا وهو يرتدي زيه العسكري وأشعل النار في نفسه وهو يردد "فلسطين حرة" كشعار لدعم أهل فلسطين.

فلديه شعور وإحساس قوي دفعه للقيام بهذا العمل للاحتجاج على جرائم يهود والداعمين لهم وخاصة قادة أمريكا وعلى رأسهم بايدن الذي وصف نفسه بأنه صهيوني ولو أنه غير يهودي. فهل كان إحساس هذا الجندي غير المسلم البعيد دينا وديارا عن فلسطين أقوى من إحساس الجنود المسلمين وضباطهم المرابطين في ثكناتهم على حدود فلسطين أو بمقربة منها وتمنعهم الأنظمة من التحرك؟! فهلا كسروا القيود المكبلين بها وقاموا بإشعال النيران في أنظمتهم الفاسدة وأطاحوا بحكامهم الخونة الذين تبلد لديهم الإحساس وصارت قلوبهم أقسى من الحجارة كقلوب أقرانهم اليهود؟ فهلا كسروا القيود وزمجروا وانطلقوا كالأسود نحو فلسطين درة ديارهم فحرروها وأنقذوا إخوانهم فيها من ظلم وبطش يهود وداعميهم من غربيين وأمريكان؟! فهلا انطلقوا كانطلاقة إخوانهم من أهل غزة يوم 7 تشرين الأول/أكتوبر 2023 فأدخلوا الرعب في قلوب يهود، وجعلوهم هذه المرة يفرون إلى نيويورك أو إلى برلين ولندن وباريس إن تمكنوا من ذلك؟!

فليعلم جنود الأمة وضباطها المخلصون، أنه لا أمل في حكامهم، فلا ينتظروا أن يعطوهم الأوامر للانطلاق نحو فلسطين، ولو كان فيهم أدنى إحساس وشعور لتحركوا وأعطوكم الأوامر منذ شهور! فقد حركت مجازر يهود وأفعالهم الشنيعة إحساس جندي أمريكي غير مسلم، وكل المسلمين، وكثير من غير المسلمين في أنحاء العالم! فأقصى ما يمكن أن يفعله حكامكم هو التوسل لأمريكا التي يبتغون عندها العزة، أن توقف هذه الحرب التي فضحتهم وعرتهم أكثر، فجعلتهم قلقين على مستقبلهم، إذ إن شعوبهم باتت تلعنهم ليل نهار، وتتحين الفرص لتنقض عليهم، وتمزقهم إربا إربا. ولم يتعظ هؤلاء الحكام من مصير أسلافهم من رؤساء وملوك وأمراء، ﴿نَسُوا اللهَ فَأَنسَاهُمْ أَنفُسَهُمْ أُوْلَئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ﴾، ونسوا أنهم سيهلكون ويقبرون، ومن ثم يبعثون ويحاسبون أمام رب العالمين على خذلانهم لإخوانهم في غزة وعموم فلسطين، وعلى ولائهم للكافرين وتركهم الحكم بالدين. ﴿إِنَّ اللهَ جَامِعُ الْمُنَافِقِينَ وَالْكَافِرِينَ فِي جَهَنَّمَ جَمِيعاً﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أسعد منصور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon