على رأس المئة وعلى رأس السنة
على رأس المئة وعلى رأس السنة

صدور العدد 200 من جريدة الراية التي يصدرها حزب التحرير، وبداية العام الهجري الجديد 1440هـ.

0:00 0:00
Speed:
September 20, 2018

على رأس المئة وعلى رأس السنة

على رأس المئة وعلى رأس السنة

الخبر:

صدور العدد 200 من جريدة الراية التي يصدرها حزب التحرير، وبداية العام الهجري الجديد 1440هـ.

التعليق:

في هذه الأيام أتمت الجريدة السياسية الأسبوعية - جريدة الراية - التي يصدرها حزب التحرير عددها المئتين، الجريدة التي تكاد تكون الوحيدة في العالم العربي والإسلامي، الحريصة على نشر الوعي السياسي بين أبناء الأمة الإسلامية وشعوب المنطقة، تنقل الأحداث والأخبار السياسية والاقتصادية والاجتماعية ثم تعلق عليها من وجهة نظر الإسلام ومن زاوية العقيدة الإسلامية، بدأت وما تزال قوية في فكرها وجريئة في طرحها وصادقة فيما تنشره، تخلو مقالاتها من المهادنة والتملق لأشخاص أو لجهة معينة، توثق ما تنشره بكل ما يحتاجه المقال، من مصادر نقل الأخبار والأحداث والأقوال، وتدعم مقالاتها بما يلزم من أدلة شرعية لازمة من الكتاب والسنة، جزى الله خيرا كل من ساهم في إنجاحها وفي توصيلها لأيادي قارئيها، ونسأل الله أن تبقى منارة شامخة بفكرها على كل الصحف، وأن تتصدر صفحتها الأولى نبأ إعلان تحقق وعد الله سبحانه وتعالى وبشرى نبيه صلى الله عليه وسلم، الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، القائمة قريبا بإذن الله.

وفي هذه الأيام أيضا بدأ عام هجري جديد عام 1440هـ والأمة الإسلامية لا زالت تعيش في تخبط وضياع وضنك في العيش، تجمعت عليها دول الكفر قاطبة، كلٌّ يريد أن ينهش من لحمها ويقطع أوصالها وينهب ثرواتها المادية والفكرية، ويستولي على أرزاق وممتلكات أبنائها ويعتدي على أعراضهم، كل ذلك خوفا من أن تقوم للمسلمين قائمة وتعود لهم عزتهم وقوتهم بعودة دولتهم؛ سندهم وجُنتهم، فحينها ستتهاوى عروشهم وعروش عملائهم - العقبة الكئود أمام وحدة الأمة، الذين مارسوا كل أشكال الطغيان والجبروت والظلم على كل من خالفهم الفكر والرأي والتبعية، بعد أن ألصقوا بهم صفة (الإرهاب) و(التطرف).

الأمة اليوم على وشك توديع مرحلة الحكم الجبري وتعد العدة لاستقبال مرحلة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة التي طالما عمل لأجلها قادة الفكر الإسلامي السياسي - رجال الدولة - حملة الدعوة لاستئناف الحياة الإسلامية، وتحملوا في سبيلها المشاق والصعاب بكل أنواعها وألوانها، فما وهنوا ولا استكانوا، عرفوا أن الهجرة النبوية هي إحدى مراحل الدعوة وليست مجرد مادة تُذْكر في الدروس والاحتفالات، فهموا السيرة النبوية بتفاصيلها واتخذوها طريقة واجبة للسير بحسبها اقتداء بالرسول صلى الله عليه وسلم، وإن شاء الله لن يأتي العام القادم إلا وراية العقاب مرفوعة ترفرف في أيادي قادة الجيوش الفاتحين.

وإلى أن يأتي هذا اليوم الموعود، ما هو واجب المسلمين تجاه ما يحدث للأمة الإسلامية؟

بداية علينا أن نؤكد على أن ذكرى الهجرة النبوية هي تذكير وتكليف لكل مسلم بالعمل كما عمل الرسول صلى الله عليه وسلم والصحابة، لإيجاد الدولة الإسلامية والحفاظ عليها، فأي معنى للهجرة وأحكام الله معطلة؟! فقد استُبدلت بها شرائع الكفر ومبادئه وأفكاره، أهذا ما يرضي الله عز وجل؟! لا والله لا يرضيه أبدا، فإن أردنا أن نكون من المهاجرين فما علينا إلا أن نهجر كل ما نهانا الله عنه، وأن نتمسك بكتاب الله وسنة نبيه، بائعين دنيانا، باحثين عن رضا الله وثوابه، مشمرين عن سواعدنا للعمل لتحقيق بشرى رسوله الكريم صلوات الله وسلامه عليه.

وأنتم يا جيوش المسلمين! أنتم منا ونحن منكم، ما يجري عليكم يجري علينا، ألا يكفي ما ترونه من أحداث مروعة تقع على المسلمين لتكون دافعا لكم للتحرك؟! لقد دعوناكم مرارا ولا زلنا ندعوكم أن تسارعوا من فوركم وقبل فوات الأوان للعمل للتغيير وإعطاء النصرة لحزب التحرير، فبالخلافة وحدها يقضى على يهود والصليبيين وسائر الكفار المستعمرين، وتعود الأمة الإسلامية مهابة الجانب يحسب لها ألف حساب.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

راضية عبد الله

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon