العاملون في جميع أنحاء العالم يشككون في مدى قدرة الرأسمالية على توفير المعنى الحقيقي لوجودهم في المجتمع
العاملون في جميع أنحاء العالم يشككون في مدى قدرة الرأسمالية على توفير المعنى الحقيقي لوجودهم في المجتمع

الخبر:   ذكرت صحيفة الجارديان أن العمال يتركون وظائفهم بهدوء في جميع أنحاء العالم في عالم ما بعد فيروس كورونا، والسبب الرئيسي وراء هذه الظاهرة هو أن فيروس كورونا دفع الناس إلى البحث عن معنى وجودهم في هذه الحياة. وعادة ما تتبع الاستقالات الهادئة الاستقالات الجماعية أو التعديلات الوزارية الكبيرة، وهي الظاهرة التي لوحظت في استقالة العمال طواعية بشكل جماعي في بداية عام 2021. ويكمُن سبب الاستقالات الجماعية في عوامل عدة، مثل ارتفاع تكاليف المعيشة وعدم الرضا الوظيفي، وتوفر فرص عمل أفضل من المنزل، وما إلى ذلك. وتثير ظاهرة الاستقالات الهادئة والاستقالات الجماعية أسئلة غير مريحة حول تخلي العمال عن الرأسمالية. (الجارديان)

0:00 0:00
Speed:
August 12, 2022

العاملون في جميع أنحاء العالم يشككون في مدى قدرة الرأسمالية على توفير المعنى الحقيقي لوجودهم في المجتمع

العاملون في جميع أنحاء العالم يشككون في مدى قدرة الرأسمالية على توفير المعنى الحقيقي لوجودهم في المجتمع

الخبر:

ذكرت صحيفة الجارديان أن العمال يتركون وظائفهم بهدوء في جميع أنحاء العالم في عالم ما بعد فيروس كورونا، والسبب الرئيسي وراء هذه الظاهرة هو أن فيروس كورونا دفع الناس إلى البحث عن معنى وجودهم في هذه الحياة. وعادة ما تتبع الاستقالات الهادئة الاستقالات الجماعية أو التعديلات الوزارية الكبيرة، وهي الظاهرة التي لوحظت في استقالة العمال طواعية بشكل جماعي في بداية عام 2021. ويكمُن سبب الاستقالات الجماعية في عوامل عدة، مثل ارتفاع تكاليف المعيشة وعدم الرضا الوظيفي، وتوفر فرص عمل أفضل من المنزل، وما إلى ذلك. وتثير ظاهرة الاستقالات الهادئة والاستقالات الجماعية أسئلة غير مريحة حول تخلي العمال عن الرأسمالية. (الجارديان)

التعليق:

ينقسم الخبراء الغربيون بشدة حول دور الرأسمالية في تأجيج أزمة العمال، ومثلا يصر البروفيسور روبرت رايش وزير العمل الأمريكي الأسبق، على أن الطبيعة الوحشية للرأسمالية هي التي تحفّز ظاهرة الاستقالات الجماعية. ووفقاً لرايش، فقد قال "نحن لا نعمل من أجل الاقتصاد، من المفترض أن يعمل الاقتصاد لصالحنا"، وترى ماريا كوردوفيتش الأستاذة المساعدة في جامعة نوتنغهام في بريطانيا، أن العمال سئموا من الرأسمالية ويتركون وظائفهم للبحث عن فرص أخرى في أماكن أخرى. ويعتقد كوردووسك أن العمال يتطلعون إلى إعادة تعريف علاقتهم بالرأسمالية من خلال طرح أسئلة مثل "ماذا يجب أن يعني العمل بالنسبة لي؟ وكيف يمكنني القيام بدور أكثر انسجاماً مع قيمي؟"

وهناك عوامل عدة وراء تراجع جاذبية الرأسمالية بين العمال، ففي الغرب، يتغذى العمال على أفكار يومية عن الرأسمالية تؤكد على الحرية والفردية والديمقراطية والثروة المادية. ولكن في مكان العمل، يكتشف العديد من العمال أن هذه القيم لا يمكن تحقيقها على الإطلاق، فقد تم استبدال العبودية بالحرية، حيث يتعين على العمال العمل لساعات طويلة من أجل البقاء على قيد الحياة بشق الأنفس. ويتم التغلب على الفردية من خلال تعلم العمال بسرعة أنه يتعين عليهم العمل في فرق لتحقيق النجاح. كما تفسح الديمقراطية الطريق أمام دكتاتورية الشركات، حيث يجد العمال أن رأيهم لا وزن له في مسائل الأجور وظروف العمل والأدوار الوظيفية والترقيات ومجموعة من القضايا التي تؤثر عليهم. وأخيراً وليس آخراً، أغلبية ضئيلة فقط منهم هي التي تصل إلى قمة هرم الثروة، في حين يظل الغالبية العظمى يضحون بحياتهم من أجل الرأسمالية، فقط للتقاعد في حالة فقر، والأسوأ من ذلك أن العديد من العمال ينظرون إلى الشركات التي يعملون فيها على أنها شركات لتقويض الديمقراطية وعدم تقاسم الأرباح مع المجتمع. فعلى سبيل المثال، تحقق شركات الطاقة أرباحاً ضخمة بينما يعاني الناس من أزمة تكاليف المعيشة، في الوقت الذي تموّل فيه السياسيين ليظلوا هادئين.

إن السبب الرئيسي وراء استياء العمال من الرأسمالية هو الأيديولوجية المادية التي تحركها، ففي المجتمعات الغربية، جرّدت هيمنة المادية الإنسانية من روحانيتها ومن دورها في الحياة ومن قيمها الاجتماعية. ومنذ زمن بعيد، تم تكييف العمال في الغرب لإيجاد معنى لوجودهم في الأشكال المادية فقط، ومع ذلك، فقد وفّر عصر فيروس كورونا للعمال وقتاً كافياً لإعادة تقييم علاقتهم بالرأسمالية بشكل نقدي، والبحث عن معنى في القيم غير المادية وفي المعتقدات.

بينما في البلاد الإسلامية، يزداد استياء العمال حدة، لأنهم يكافحون من أجل التوفيق بين القيم الرأسمالية الجامحة في بيئة العمل وقيمهم الإسلامية. ويؤدي هذا إلى صراع دائم من أجل الهوية في مكان العمل، حيث يختار العديد منهم الحد من مشاركتهم في العمل خوفاً من فقدان الهوية الإسلامية، وأصبح التقدم الوظيفي يتحقق على حساب تقديم الشخصية الرأسمالية على الشخصية الإسلامية.

إن قيمة العمل في الإسلام هي على خلاف الغرب، فهي في الإسلام تعني الوفاء بالحقوق والواجبات التي تشمل قيماً مختلفة. لذلك يكسب العاملون في الإسلام المال لإطعام أسرهم وكسوتهم وتعليمهم، ورعاية الفقراء والمحتاجين في مجتمعهم، وبناء المساجد والمشاركة في الأعمال الخيرية، والإعداد للجهاد وما إلى ذلك. ولا يستخف الإسلام بالقيم غير المادية ولكنه يوفّر الجو المناسب والدافع الصحيح للوفاء بجميع الالتزامات عبر مختلف أشكال القيم. وبالتالي فإنه في ظل الدولة الإسلامية، يكون لكل رعاياها المسلمين وغير المسلمين على حد سواء معنى في الحياة، ويتم تشجيعهم على تحقيق جميع أشكال القيم، وبالتالي تحقيق التوازن الصحيح بين العمل والحياة في المجتمع ﴿وَمَنْ أَعْرَضَ عَنْ ذِكْرِي فَإِنَّ لَهُ مَعِيشَةً ضَنْكاً وَنَحْشُرُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ أَعْمَى﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد المجيد بهاتي – ولاية باكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon