الاحتجاجات على حفلة سيلينا غوميز ليست سوى غيض من فيض (مترجم)
الاحتجاجات على حفلة سيلينا غوميز ليست سوى غيض من فيض (مترجم)

الخبر:   أثار وصول سيلينا غوميز، وهي مغنية أمريكية شهيرة، ستقام لها حفلة في كوالا لمبور بتاريخ 25 تموز/يوليو، أثار جدلاً في ماليزيا خلال الأيام الماضية. وحدث ضجيج هائل جراء هذا الحدث عندما استمر الحزب الإسلامي الماليزي (PAS) وحركات إسلامية أخرى في معارضة هذا الحفل، معلنين أن حفل نجمة تلفزيون ديزني السابقة من شأنه أن يدنّس شهر شوال وأن المغنية مرادفة لـ"الصور المثيرة" وظهورها يشوه قدسية شهر شوال،

0:00 0:00
Speed:
August 01, 2016

الاحتجاجات على حفلة سيلينا غوميز ليست سوى غيض من فيض (مترجم)

الاحتجاجات على حفلة سيلينا غوميز ليست سوى غيض من فيض

(مترجم)

الخبر:

أثار وصول سيلينا غوميز، وهي مغنية أمريكية شهيرة، ستقام لها حفلة في كوالا لمبور بتاريخ 25 تموز/يوليو، أثار جدلاً في ماليزيا خلال الأيام الماضية. وحدث ضجيج هائل جراء هذا الحدث عندما استمر الحزب الإسلامي الماليزي (PAS) وحركات إسلامية أخرى في معارضة هذا الحفل، معلنين أن حفل نجمة تلفزيون ديزني السابقة من شأنه أن يدنّس شهر شوال وأن المغنية مرادفة لـ"الصور المثيرة" وظهورها يشوه قدسية شهر شوال، الذي يتبع صيام شهر رمضان. من ناحية أخرى، تم انتقاد من يعارضون الحفل، خصوصا الحزب الماليزي الإسلامي، من قبل أطراف أخرى. وعلق رئيس وزراء ولاية سيلانجور أن الإثارة هي هبة من الله ولا شيء يمكن القيام به حيال ذلك. وقال جناح الشباب (Dapsy) لحزب العمل الديمقراطي (DAP) إن شباب الحزب الإسلامي الماليزي يستخدمون الدين وحفل سيلينا غوميز القادم الأسبوع المقبل لـ "دعاية رخيصة". وادعى شباب Dapsy أن المنظمين حصلوا على إذن لها لإقامة الحفل ولم يعترض الحزب الإسلامي الماليزي إلا آخر لحظة، بعد إنفاق آلاف الرنجيتات لأغراض ترويجية. ودعت العديد من المنظمات الإسلامية أيضا المسلمين إلى الاعتصام في مكان الحفل لإظهار معارضتهم لهذا الحدث.

التعليق:

بصرف النظر عن حقيقة أن هذا الحفل هو محرم شرعاً وأنه بالتأكيد مدمر للمجتمع، فإن وجود المغنية التكساسية يظهر قضايا أكثر بكثير من تلك المرتبطة بالحفل. ومن بين تلك المظاهر ما يلي:

  • إن جواب رئيس وزراء ولاية سيلانجور بأن "الإثارة هي من خلق الله. فماذا يمكننا أن نفعل؟ إنها خلق الله، وينبغي ألا تكون قضية" أمر غير مقبول على الإطلاق. وكان هذا الجواب "الرائع" الذي قدمه الوزير الذي تم تعيينه بدعم كامل من الحزب الإسلامي الماليزي بشكل مثير للجدل! وبلا شك أن شكل الجسم وهيئته من خلق الله، ولكن الله تعالى حرم إظهاره على الأجانب وبالتأكيد ليس كائن متعة! إن العلماء الذين أيدوا تعيين الوزير يجب عليهم نصحه بقوة ونقده لأنه يملك السلطة لوقف هذا الحفل غير الأخلاقي.
  • أكد نائب وزير السياحة والثقافة داتوك ماس "إرمياتي شمس الدين" أن تنظيم هذا الحدث قد تم فحصه وإعطاؤه الضوء الأخضر وأنه تم اتباع مبادئ إدارة التنمية الإسلامية بماليزيا التوجيهية. يا للعجب! على من يملكون السلطة أن يدركوا بأن الحرام يبقى حراماً، حتى بعد آلاف من الأضواء الخضراء!! الويل لماليزيا، أرض تبيح كل ما ترخصه السلطات! تماما مثل جميع أوكار القمار، ومصانع الخمور والنوادي الليلية وغيرها، كل شيء يصبح مباحاً عندما يتم ترخيصه وإعطاؤه الضوء الأخضر من قبل السلطات. وويل لإدارة التنمية الإسلامية في ماليزيا كهيئة أذن لها برعاية الشؤون الإسلامية تتجرأ على إصدار التوجيهات لمن يريدون نشر الفساد في ماليزيا!
  • على الرغم من أن هناك من ممثلي الدولة من اعترض على الحفل، لكن يبدو أنهم فشلوا في تقديم المشورة وتقييد حلفائهم السياسيين. ومن السخرية أنه غالباً ما يستخدم الحزب الإسلامي مفهوم "المحاسبة والوقاية من الحرام" كذريعة للانضمام إلى حكومة ديمقراطية علمانية. وعلى الرغم من أنهم غير راضين عن هذه المعصية، إلا أنهم لا يمكنهم الهروب من الخطيئة حيث إنهم يشكلون جزءا لا يتجزأ من آلية الحكومة التي تسمح بحدوث مثل هذا الحرام.
  • إن حفلات الفنانين الترفيهية، سواء أكانت من الغرب أم الشرق، وحتى الفنانين المحليين، ليست سوى مظهر صغير من التجاوزات الشرعية والمعاصي التي تحدث في ماليزيا. وبالتالي، يجب على المسلمين أن ينظروا إلى هذه المسألة في سياق أوسع. إن تطبيق النظام العلماني في هذا البلد، هو أعظم شر ويجلب العديد من المخالفات الشرعية الأخرى. وبالمثل، فإن النظام الرأسمالي الاقتصادي المتجذر في الربا والمضاربة (الأسهم) والضرائب وكل أشكال القهر الأخرى، هو الشجرة التي تنتج فروع الدمار للبلاد والمسلمين.

إن المعارضة والاحتجاج وحده على حفل سيلينا غوميز لن يساعدنا في إحداث التغيير في المجتمع، وهو ليس سوى غيض من فيض، وجهد صغير في التصدي للمعاصي في الحياة، وعلى المسلم أن لا يرضى بهذا المجهود وحده. فما دام النظام الذي نعيش فيه متجذراً بعمق في سبل الكفر، وما دام القادة الذين يحافظون على معصية الله يحكموننا، فسيبقى الشر والإثم في ازدهار.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد – ماليزيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon