الأمم المتحدة والمجتمع الدولي يكافئان النظام النصيري الإجرامي في الشام
الأمم المتحدة والمجتمع الدولي يكافئان النظام النصيري الإجرامي في الشام

الأمم المتحدة والمجتمع الدولي يكافئان النظام النصيري الإجرامي في الشام

0:00 0:00
Speed:
February 25, 2021

الأمم المتحدة والمجتمع الدولي يكافئان النظام النصيري الإجرامي في الشام

الأمم المتحدة والمجتمع الدولي يكافئان النظام النصيري الإجرامي في الشام


الخبر:


كشفت (UN Watch) وهي منظمة غير حكومية مقرها جنيف، عن انتخاب سوريا لمنصب رفيع في لجنة "إنهاء الاستعمار" المكلفة بدعم حقوق الإنسان، بما في ذلك "مواجهة استعباد الشعوب وسيطرتها"، وأوضحت المنظمة أنه تم الإعلان عن نية انتخاب مبعوث سوريا السفير بسام الصباغ، المعين حديثا لدى الأمم المتحدة في 18 من شباط/فبراير الماضي، خلال الجلسة الافتتاحية للجنة الخاصة التابعة للأمم المتحدة حول إنهاء الاستعمار لعام 2021م، وقالت ممثلة غرينادا لدى الأمم المتحدة كيشا ماكغواير: "ستتناول اللجنة الخاصة في وقت لاحق انتخاب المقرر الخاص للجنة، بانتظار وصول سعادة السفير بسام الصباغ إلى نيويورك الذي رشحته الجمهورية العربية السورية"، وأشارت المندوبة السورية في الاجتماع إلى أن انتخاب السفير الصباغ سيكون في حزيران/يونيو المقبل، وأضافت: "كنا نتمنى أن يكون بيننا اليوم، ولكن لأسباب خارجة عن إرادتنا لم يتمكن من الانضمام إلينا، نشكر اللجنة على تأجيلها الانتخابات". (آر تي عربي).

التّعليق:


يخيّل للقارئ للوهلة الأولى وهو يقرأ هذا الخبر أنه كذبة نيسان لما فيه من سخرية ومفارقة تامة بين ما هو عليه النظام النصيري الإجرامي وترشيحه للمنصب الأممي "الرفيع"؛ لكن سرعان ما يتبدد التخيل لواقع أن المجتمع الدولي ومنظماته لا تقل إجراما عن نظام بشار الأسد، ولعلمنا يقينا أن دور منظمة الأمم المتحدة والدول الأعضاء فيها هو إقرار ومساندة كل مجرم كذاب أشر في العالم، خصوصا إن كان مجرما بحق الإسلام والمسلمين، ولعلمنا يقينا - بشهادة الواقع وتاريخ منظمة الأمم المتحدة - بمساندتها كل مارق دكتاتور عالمي، من أمثال بشار والسيسي وابن سلمان... وحكام المسلمين جميعا المتسترين من الذين لا يقلون إجراما بحق شعوبهم الإسلامية.


على الرغم من توثيق لجان حقوق الإنسان التابعة للأمم المتحدة نفسها جرائم النظام النصيري في سوريا، وعلى الرغم من التنديد اللفظي من كثير من أعضاء المنظمة بجرائم بشار، وعلى الرغم من استمرار المجرم في جرائمه لغاية يومنا هذا، التي لا تقل عن جرائم المغول إبان اجتياحهم دمشق، وهجوم التتار لبغداد، وهجوم الصليبيين إبان حملاتهم على الأرض المباركة فلسطين... على الرغم من كل هذا وغيره، إلا أن الأمم المجرمة تتجرأ وتقوم بترشيح النظام الإجرامي، في موقف لا يوصف إلا بأنه مكافأة للنظام على جرائمه بحق الشعب الذي خرج ضد الظلم والطغيان وطالب بالحرية من العبودية التي رزح تحتها منذ هدم دولة الخلافة قبل مئة عام، وتعاقبت على حكمه أنظمة جبرية بالنيابة عن الدول الغربية الاستعمارية، وما زاد من شد الأمم المتحدة على أيدي النظام المجرم هو مطالبة الثورة السورية بتحكيم شرع الله، فهو الخط الأحمر الذي لا تسمح بتخطيه دول الكفر قاطبة ومنها الدول القائمة في البلاد الإسلامية، وخصوصا الأنظمة التي تلبس لباس الإسلام وهو منها براء، من مثل النظام التركي، الذي يلاحق ويعتقل هذه الأيام شباب حزب التحرير في سوريا، ويعتقل الحرائر التركيات في عمورية، بسبب تذكيرهم الأمة بفاجعة هدم الخلافة العثمانية قبل مئة عام في تركيا نفسها، ما يؤكد على علمانية نظام أردوغان ونفاقه، ويذكرنا بالرومي الذي أسر المرأة المسلمة في عمورية فأرسلت صرخة وا معتصماه.


إنّ موقف منظمة الأمم المتحدة تتحمل وزره جميع الدول الأعضاء، ومنها دول الضرار القائمة في البلاد الإسلامية، وإن لم يُسمع لكثير منها ركز، فالساكت عن الحق شيطان أخرس، ودول العالم تشهد الظلم الكبير الواقع على أهل سوريا ولا تحرك ساكنا، وحتى أولئك الذين استنكروا طلب ترشيح النظام السوري لهذا المنصب، فهو كاستنكارهم جرائم بشار الذي لم يتعد الكلام، فهم لم يسقطوا الشرعية عن النظام ولم يقطعوا علاقاتهم الدبلوماسية ويطردوا سفراءه وغيرهم، زيادة على عدم نصرتهم لأهل سوريا بالمال والسلاح وهم أكثر من قادرين على ذلك، لذلك استحقت هذه الدول بجدارة مرتبة الشيطان الأخرس، قاتلهم الله وتبت أيديهم!


إنّ دولة الخلافة على منهاج النبوة القائمة قريبا بإذن الله، ستلقي بالشرعية الدولية ومنظماتها في مزبلة التاريخ، ولن تعترف بها أو تلتزم بأي من أعرافها وقوانينها، بل ستلاحق وتحاسب كل منتسب لها ومطالب بتطبيقها، وستعلن أن هذه المنظمة منظمة غير شرعية مارقة خارجة عن العدل، وستضع الإسلامَ العظيم قانونا دوليا تلزم به دول العالم قاطبة، بعز عزيز أو بذل ذليل. رحم الله الخليفة العثماني سليمان، الذي أطلق عليه الغرب "القانوني"؛ لأن كلمته كانت قانونا ملزمون به ولا يحيدون عنه، وبمناسبة ذكرى هدم الخلافة ندعو الأمة لإعادة هذا المجد التليد، حتى ننتصر لأمتنا المكلومة وننتصر لكل مظلوم من منظمة الأمم المتحدة في العالم.


#أقيموا_الخلافة
#ReturnTheKhilafah
#YenidenHilafet
#خلافت_کو_قائم_کرو

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
بلال المهاجر – ولاية باكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon