الانتقال من نفوذ مستعمر إلى آخر (مترجم)
الانتقال من نفوذ مستعمر إلى آخر (مترجم)

نقل موقع "تينجري نيوز" في 24 كانون الثاني/يناير عن وزير خارجية كازاخستان قوله: "إن المفاوضات التي بدأت بشأن القضية السورية في 23 كانون الثاني/يناير في أستانة قد انتهت. وقد تمت المحادثات في فندق ريكسوس أستانة وراء الأبواب المغلقة.

0:00 0:00
Speed:
February 23, 2017

الانتقال من نفوذ مستعمر إلى آخر (مترجم)

الانتقال من نفوذ مستعمر إلى آخر

(مترجم)

الخبر:

نقل موقع "تينجري نيوز" في 24 كانون الثاني/يناير عن وزير خارجية كازاخستان قوله: "إن المفاوضات التي بدأت بشأن القضية السورية في 23 كانون الثاني/يناير في أستانة قد انتهت. وقد تمت المحادثات في فندق ريكسوس أستانة وراء الأبواب المغلقة. وقد أيدت وفود من الجمهورية الإسلامية والاتحاد الروسي وجمهورية تركيا البيان المشترك لوزراء الخارجية في موسكو في كانون الأول/ديسمبر 2016 ومجلس الأمن الدولي لانطلاق المحادثات بين الحكومة السورية والمعارضة المسلحة. ونحن نقدر مشاركة المبعوث الخاص لمجلس الأمن التابع للأمم المتحدة في المحادثات السورية ونؤكد من جديد التزامنا بفكرة سيادة ووحدة الجمهورية السورية باعتبارها بلداً متعدد الأعراق والأديان، وهو ما كفله مجلس الأمن الدولي".

التعليق:

لقد مرت حوالي ست سنوات منذ أن بدأت الثورة في سوريا. وقد كانت هذه الثورة في البداية تشبه الثورات في مصر وتونس وليبيا وغيرها، ولكن مع مرور الوقت، اكتسبت شكلاً محدداً. فقد تحولت الدعوات إلى وقف الاستبداد إلى دعوات لقلب نظام الحكم المستبد وإقامة نظام الحكم الإسلامي؛ دولة الخلافة على منهاج النبوة.

وتبقى الحقيقة البارزة أنه منذ بداية الثورة في سوريا وحتى يومنا هذا، حاول الكافر المستعمر الذي تمثله أمريكا وعملاؤها في المنطقة مثل تركيا وإيران والسعودية، الذين يتبعون الأنظمة العلمانية، حل الصراع بين المسلمين ونظام أسد الإجرامي. كم هو محزن أن نستعين بالكافر المستعمر لحل مشاكلنا، غارقين في الكفر والظلام، بينما يقول الله سبحانه وتعالى: ﴿وَلَن يَجْعَلَ اللّهُ لِلْكَافِرِينَ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ سَبِيلاً﴾ [النساء: 141]

ونحن نرى أنه حتى يومنا هذا قد فشلت كل المحاولات الأمريكية ومحاولات عملائها ليضللوا أهل سوريا المسلمين عن مطالبهم بإسقاط نظام أسد الاستبدادي، بل وقد فشلوا حتى في دفعهم للتخلي عنها. وهكذا، فإن أمريكا تستخدم أخبث الطرق وأقبحها لخلط الباطل بالحق من أجل أن تضلل الناس بأن هذا السم الزعاف هو البديل الوحيد الصحيح لإنهاء الثورة.

وعن طريق عملائها في المنطقة مثل تركيا والسعودية وغيرها، تحاول أمريكا رشوة الفصائل المتحاربة بالمال السياسي القذر وتستقطبهم أيضاً بالسلاح والمساعدات والذخيرة. وهكذا، فإن أمريكا تربط بقوة الفصائل الموقعة وتطلب منهم الالتزام بتعهداتهم مقابل مدهم بالمساعدات العسكرية وغيرها. والنتيجة هي أن بعض الفصائل بدأت تصرح أنهم يتصورون مستقبل سوريا كدولة علمانية. وخلال المحادثات في كازاخستان اتفقوا على كل شيء، ولكن ليس على المطالبة بإسقاط نظام أسد المستبد وإقامة الخلافة على منهاج النبوة. فهل قادة الفصائل المتناحرة جاهلون وعميان لدرجة أنهم لا يبصرون مستقبلهم في كازاخستان؟! وكازاخستان هي في الأصل أرض إسلامية، وقد كانت تحكم بأحكام الله سبحانه وتعالى. ولكن في أواخر القرن التاسع عشر، احتلت روسيا القيصرية هذه البلاد ومن ثم صارت في يد النظام الشيوعي في بداية القرن الماضي. وقد حصلت كازاخستان على ما يسمى الاستقلال بعد انهيار الاتحاد السوفياتي. وجاء إلى السلطة نور سلطان نزارباييف، الممثل السابق للحزب الشيوعي، ونظامه لا يختلف كثيراً عن نظام بشار أسد.

وقد عاش الناس الذين تقيدهم هذه الحدود التي وضعها الكفار المستعمرون وفق أحكام الإسلام منذ قرون. وممثل أهل هذه السهول هو السلطان المميز بيبرس. ولكن، على الرغم من تاريخ الإسلام الطويل، فإن البلاد ما تزال تحت نير الطغيان والحكومة العلمانية. وما يسمى "استقلال" كازاخستان المزعوم، يعتبر استقلالاً شكلياً زائفاً، فما زالت البلاد، في الواقع، ترزح تحت ضغط روسيا ومطالبها خدمة للغرب.

ألا يدرك قادة الفصائل العسكرية أن أي اتفاق يقوم من خلاله الكافر المستعمر بتقديم المساعدة في إقامة دولة أو تحقيق الاستقلال هو اتفاق مصيره الفشل التام. يمكنهم الاعتبار من الأمثلة الكثيرة في تاريخ بلادنا. ولكن لن نذهب بعيداً، فيكفي النظر إلى ما حصل في تونس وليبيا ومصر. ما الذي تغير في هذه البلاد؟! فالنظام العلماني ما زال قائماً وقد ذهب طاغية وخلفه طاغية آخر.

هل تعتقدون أن الكفار المستعمرين الذين كبلوكم عن طريق الاتفاقيات والاستقلال الموهوم، سيخلون سبيلكم ولا يلزمونكم بما اتفقتم عليه وأنهم سيتركون المسلمين يعيشون في سلام؟! انظروا إلى مكان الرئيس المصري مرسي الآن! هل تعتقدون أن الكفار المستعمرين سيمنحونه حرية الإرادة؟! أو سيسمحون بانتخابات حرة مستقلة؟! بالطبع، كلا! فالكفار المستعمرون يسمحون بالانتخابات فقط لأنهم يسيطرون على أفكارهم العلمانية. وهل تعتقدون أن الكفار المستعمرين يفاوضونكم لأنهم لا يملكون أي خيار؟ كلا!!! إنهم يفاوضونكم لأنكم وافقتم على شروطهم التفاوضية وقبلتم بما يريدونه! ألا يقول الله سبحانه وتعالى في كتابه العزيز: ﴿لَقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ لِّمَن كَانَ يَرْجُو اللَّهَ وَالْيَوْمَ الْآخِرَ وَذَكَرَ اللَّهَ كَثِيراً﴾ [الأحزاب: 21]

وإذا نظرنا إلى سيرة نبينا الحبيب محمد صلى الله عليه وسلم، سنلاحظ أنه حتى في أصعب لحظات حياته، عندما توفي عمه أبو طالب وزوجته خديجة رضي الله عنها، فعندما طلب النبي محمد صلى الله عليه وسلم النصرة من القبائل العربية لم يساوم ولم يقدم التنازلات؛ فقد اتبع صلى الله عليه وسلم أمر الله ولم يحد عنه قيد شعرة.

ولذلك، يجب على الثوار في سوريا لنيل حريتهم، وخاصة قادة الفصائل العسكرية، الاقتداء بالنبي محمد صلى الله عليه وسلم. ولنصرة الإسلام والمسلمين ليس هناك سبيل آخر. ونسأل الله الثبات والعون والنصر.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

إلدر خمزين

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon