الاقتصاد الرأسمالي ما زال يعاني أزمته  والشعوب تصطلي بناره
الاقتصاد الرأسمالي ما زال يعاني أزمته  والشعوب تصطلي بناره

الخبر:   في قمة السبع التي عقدت يوم 2016/5/26 وسط اليابان شبه رئيس وزراء اليابان آبي الوضع الاقتصادي العالمي بوضع عام 2008 عندما تفجرت الأزمة المالية بعد انهيار بنك ليمان براذرز حيث أعلن إفلاسه يوم 2008/9/15 فاضطر الرئيس الأمريكي جورج بوش الابن على إثر ذلك يوم 2008/9/19 إلى الاعتراف بوجود أزمة مالية حقيقية أثرت على الاقتصاد الأمريكي برمته وأثرت على الاقتصاد العالمي كله، حيث وصلت شظايا الانفجار المالي الأمريكي إلى كافة أصقاع الأرض بسبب ارتباط العالم بالاقتصاد الأمريكي، وقال رئيس الوزراء الياباني آبي بعد انقضاء اليوم الأول من القمة: "عبر قادة مجموعة السبع عن رؤيتهم بأن الاقتصادات الناشئة في وضع حرج".

0:00 0:00
Speed:
May 28, 2016

الاقتصاد الرأسمالي ما زال يعاني أزمته والشعوب تصطلي بناره

الاقتصاد الرأسمالي ما زال يعاني أزمته

والشعوب تصطلي بناره

الخبر:

في قمة السبع التي عقدت يوم 2016/5/26 وسط اليابان شبه رئيس وزراء اليابان آبي الوضع الاقتصادي العالمي بوضع عام 2008 عندما تفجرت الأزمة المالية بعد انهيار بنك ليمان براذرز حيث أعلن إفلاسه يوم 2008/9/15 فاضطر الرئيس الأمريكي جورج بوش الابن على إثر ذلك يوم 2008/9/19 إلى الاعتراف بوجود أزمة مالية حقيقية أثرت على الاقتصاد الأمريكي برمته وأثرت على الاقتصاد العالمي كله، حيث وصلت شظايا الانفجار المالي الأمريكي إلى كافة أصقاع الأرض بسبب ارتباط العالم بالاقتصاد الأمريكي، وقال رئيس الوزراء الياباني آبي بعد انقضاء اليوم الأول من القمة: "عبر قادة مجموعة السبع عن رؤيتهم بأن الاقتصادات الناشئة في وضع حرج".

التعليق:

هذه الدول السبع وهي أمريكا وبريطانيا وفرنسا وألمانيا واليابان وإيطاليا وكندا هي دول رأسمالية تعتبر نفسها رائدة النظام الرأسمالي حيث يرتكز عليها وجوده لتبنيها المبدأ الرأسمالي، فقد أسست على أساس أنها الدول الرأسمالية التي تحرص على تطبيق هذا النظام وأنها أقوى الاقتصادات الرأسمالية والعالمية، فإذا سقطت يسقط معها النظام الرأسمالي، وأية أزمة تنشأ فيها تؤثر على الاقتصاد العالمي، وقد أسست قمتها أيضا لضمان استمرارية هيمنة النظام الرأسمالي على العالم. ولذلك هي تبحث المسائل السياسية أيضا حيث تربط الاقتصاد بالسياسة أحيانا والسياسة بالاقتصاد أحيانا أخرى، وقد أدخلت روسيا في قمتها فأصبحت قمة الثماني بعدما تخلت روسيا عن المبدأ الشيوعي وبدأت تطبق المبدأ الرأسمالي وتسير مع الغرب، ومن ثم أخرجتها من هذه القمة عندما احتلت روسيا القرم وأعلنت ضمها إليها عام 2014. وتبحث المسائل السياسية بشكل مجرد عن الاقتصاد أحيانا أخرى حيث بحثت في قمتها مسألة سوريا والعراق والإرهاب، لأنه يوجد دول رئيسة أعضاء في القمة وهي أمريكا وبريطانيا وفرنسا، حيث تتصارع على الاستعمار والنفوذ والهيمنة على نطاق العالم، فهي دول كبرى تؤثر في السياسة العالمية وتستخدم الاقتصاد لمآرب سياسية. وهي التي تتحكم في القمة وتعمل على التأثير على الدول الأعضاء الآخرين وعلى اتخاذ القرارات فيها.

فإذا حصلت فيها أزمة فإنها تؤثر على العالم كله، وخاصة أمريكا كما حدث عام 2008 حيث تفجرت الأزمة المالية، بسبب عملتها الدولار المفروضة على العالم للتداول المالي على نطاق العالم وتحديد سعر الصرف وتحديد أسعار النفط والذهب وغيرها من المعادن والسلع، وكذلك اختراق شركاتها عابرة القارات كافة الدول خاصة بعد تطبيق سياسة السوق وهي فتح الأسواق في كل دول العالم أمام شركاتها، وارتباط الأسواق المالية العالمية (البورصات) بسوقها المالي، بالإضافة إلى سيطرتها على المؤسسات المالية العالمية كالبنك الدولي وصندوق النقد الدولي ومنظمة التجارة الدولية.

وتصريحات رئيس وزراء اليابان تعكس حقيقة الاقتصاد الرأسمالي المسيطر على العالم وأن الأزمة ما زالت مستمرة ولم يتمكن النظام الرأسمالي من معالجتها، وأمريكا كبيرتهم تزداد مديونيتها حيث أعلن أنها وصلت إلى 19,6 ترليون دولار. وعندما وصل أوباما إلى الحكم عام 2009 كانت مديونية أمريكا 10,6 ترليون، ففي خلال أقل من ثمانية أعوام تضاعفت المديونية، علما أنها أتت به ليعالج هذا الأمر وليمنع تدهور الاقتصاد وزيادة المديونية والعجز في الميزانية حيث تلجأ للاستدانة باستصدار سندات الخزينة فتتضاعف المديونية. ولولا سيطرة أمريكا على المؤسسات المالية وسيطرة عملتها الدولار لسقطت منذ سنين، ولعدم وجود منافس قوي لها بين أقرانها ولعدم وجود دولة تحمل مبدأ آخر تستمر أمريكا في التربع على عرش العالم وهي عليلة مصابة بكافة الأمراض المعضلة التي ليس من المنظور أن تتشافى منها كالإمبراطور العجوز. فهي بحكم الساقطة ولكن تنتظر وضعاً داخلياً قوياً يهزها فيعلن انهيارها أو تنتظر دولة مبدئية تحمل مبدأ آخر فتسقطها.

ولا يوجد غير دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة الموعودة بديلا عنها، حيث إن هذه الدولة ستصبح دولة عالمية كبرى تطبق المبدأ الإسلامي الحق، ومنه النظام الاقتصادي الصحيح الذي سينقذ العالم من براثن النظام الرأسمالي الفاسد الذي أذاق شعوب الأرض الويلات وأدى إلى استئثار فئة قليلة بالمال والثروة، حيث استحوذت على أكثرية المال والأملاك من ثروات الشعب في كل بلد وتركت عامة الناس يعانون الأمرّين فسببت لهم ضيق العيش، وسينقذه من مخالب دوله الاستعمارية التي مصت دماء الشعوب ونهبت خيراته وثرواته وتركتها تتضور جوعا وفقرا وحرمانا وتعاني الأمراض والإهمال وعدم الاكتراث وسوء تقديم الخدمات وتعيش في دوامة الفوضى والحروب والصراعات والاضطرابات الداخلية.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أسعد منصور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon