الأسلحة والأموال الغربية تدفقت على أوكرانيا، بينما فلسطين تغرق في رثاء الغرب
الأسلحة والأموال الغربية تدفقت على أوكرانيا، بينما فلسطين تغرق في رثاء الغرب

الخبر:   بعد مقتل الصحفية شيرين أبو عاقلة بنيران كيان يهود في جنين، صدر بيان صحفي لرئيس مجلس الأمن الدّولي في 13 أيار/مايو 2022 على النحوّ التالي: استنكر أعضاء مجلس الأمن بشدّة مقتل الصحفية الفلسطينية الأمريكية شيرين أبو عاقلة وإصابة صحفي آخر في مدينة جنين الفلسطينية بتاريخ 11 أيار/مايو 2022. ...

0:00 0:00
Speed:
May 17, 2022

الأسلحة والأموال الغربية تدفقت على أوكرانيا، بينما فلسطين تغرق في رثاء الغرب

الأسلحة والأموال الغربية تدفقت على أوكرانيا، بينما فلسطين تغرق في رثاء الغرب

(مترجم)

الخبر:

بعد مقتل الصحفية شيرين أبو عاقلة بنيران كيان يهود في جنين، صدر بيان صحفي لرئيس مجلس الأمن الدّولي في 13 أيار/مايو 2022 على النحوّ التالي:

استنكر أعضاء مجلس الأمن بشدّة مقتل الصحفية الفلسطينية الأمريكية شيرين أبو عاقلة وإصابة صحفي آخر في مدينة جنين الفلسطينية بتاريخ 11 أيار/مايو 2022.

ونقل أعضاء مجلس الأمن تعازيهم وخالص مواساتهم لأسرة الضحية.

ودعا أعضاء مجلس الأمن إلى إجراء تحقيق فوري وشامل وشفّاف وعادل ونزيه في مقتلها، وشدّدوا على ضرورة ضمان المساءلة.

وكرّر أعضاء مجلس الأمن التأكيد على وجوب حماية الصحفيين بصفتهم مدنيين.

وأكدّ أعضاء مجلس الأمن أنهم مستمرون في مراقبة الوضع عن كثب.

التعليق:

اتّفق أعضاء مجلس الأمن بالإجماع على هذا البيان غير المجدي الذي يحذف الكثير. فلم يذكر البيان اسم كيان يهود، على الرّغم من أنّه من غير المعقول أبدا أن يكون أي طرف آخر مذنباً. كان العنوان الرئيسي لصحيفة نيويورك تايمز حول مقتل أبو عاقلة أكثر افتقاراً، حيث ذكرت ببساطة في نسختها الأولى أنها "... ماتت في سن 51"، وهي طريقة غريبة لوصف وفاة مراسلة ترتدي أوراق اعتماد صحفية ويمكن التعرّف عليها بوضوح والتي أصيبت برصاصة في وجهها فيما أصيب صحفي آخر بالرّصاص وأصيب من حاول إنقاذ أبو عاقلة بإطلاق النار لعدّة دقائق. في وقت لاحق غيّرت صحيفة نيويورك تايمز عنوانها الرئيسي للاعتراف بأنها "قُتلت بالرّصاص"، على الرّغم من أنها اعتذرت أيضاً عن تحميل قناة الجزيرة اللّوم على كيان يهود.

ربما كانت وسائل الإعلام الغربية حريصة على عدم اتهام قوات كيان يهود بإطلاق النّار قبل أن يكون هناك دليل قاطع، لكنها لم تكن حذرة أبدا عندما يتعلق الأمر بالاتهامات ضد القوات الروسية في أوكرانيا. حيث سارعوا إلى إصدار عناوين الأخبار وهم يلومون الروس على كل تفجير ومقتل لمدنيين. عندما انتقدت روسيا لنشرها ما لم يتمّ إثباته بعد في المحكمة الجنائية الدولية على أنه حقيقة، هناك رد مشترك. فقد ردّت وسائل الإعلام والسياسيون بأن هذه حرب بوتين وبالتعريف كل شيء سيئ يحدث هو خطأ بوتين، لأنّه لو لم يغزُ أوكرانيا فإن الجرائم التي اتُهم جنوده بارتكابها ما كانت لتحدث أبداً. يمكن تطبيق هذا المنطق نفسه على فلسطين أيضاً، لكنه لا يطبق هناك.

كيان يهود يُعاقب كل جنين حيث قُتلت شيرين، لأن جنين مصدر هجمات على يهود داخل كيانهم، مثلما قتل الروس المدنيين في بوتشا بدم بارد لخسائرهم العسكرية في تلك المنطقة. علاوةً على ذلك، جنين هي مدينة محتلة، لا تقل عن بوتشا في أوكرانيا! لكي نكون منصفين وغير متحيزين، إذن، يجب على الصحافة الغربية أن تقول إن أبو عاقلة قُتلت بالرّصاص خلال عملية عسكرية على يد كيان يهود، خاصةً في الضفة الغربية المحتلة. مثل هذا البيان لا يذهب إلى حدّ القول من أطلق النار عليها، لكن هذا سيكون أكثر توافقاً مع لغة حرب بوتين التي تستخدمها الصحافة لوصف غزو أوكرانيا.

مع ذلك، تلقّى كيان يهود بعض الإدانات على الأقل لوحشية الشرطة في جنازة أبو عاقلة. قال وزير الخارجية أنتوني بلينكن: "لقد انزعجنا بشدّة من صور الشرطة (الإسرائيلية) تتدخل في موكب جنازة الأمريكية الفلسطينية شيرين أبو عاقلة"، وصرّح منسّق السياسة الخارجية بالاتحاد الأوروبي، جوزيب بوريل، أن: "الاتحاد الأوروبي مرعوب من المشاهد التي عُرضت ذلك اليوم الجمعة خلال تشييع جنازة الصحفية الأمريكية الفلسطينية شيرين أبو عاقلة في القدس الشرقية المحتلة. يدين الاتحاد الأوروبي الاستخدام غير الضروري للقّوة والسلوك غير المحترم على يد شرطة كيان يهود ضدّ المشاركين في موكب الحداد... ويكرّر الاتحاد الأوروبي دعوته لإجراء تحقيق شامل ومستقل يوضّح جميع ملابسات وفاة شيرين أبو عاقلة والذي يقدم المسؤولين عن ذلك للعدالة".

كانت التحقيقات والإدانات على مدى عقود ردود فعل الحكومات الغربية على الإجراءات التي اتخذتها قوات كيان يهود في الضفة الغربية، والتي تتناقض مع الرّد على احتلال روسيا لأجزاء من أوكرانيا. تتدفق المساعدات العسكرية التي تقدر قيمتها بمليارات الدولارات إلى أوكرانيا: مثل جفلين، وستينجر، وNLAW، ومدافع الهاوتزر، والدّبابات، وصواريخ نبتون المضّادة للسفن، وأكثر من ذلك بكثير. بالإضافة إلى ذلك، تمّ فرض عقوبات غير مسبوقة على روسيا، لدرجة أن الأوروبيين والأمريكيين يعانون من ارتفاع الأسعار ومن المتوّقع أن يكون أسوأ بكثير بالنسبة لأسعار الوقود مع اقتراب فصل الشتاء. تمّت مصادرة الأصول الروسية وبيعها لدفع ثمن الأضرار التي تلحقها روسيا بأوكرانيا.

هل يتمّ الاستيلاء على أصول كيان يهود لدفع ثمن الأضرار التي لحقت بالضفة الغربية أو غزة؟ هل يخضع كيان يهود لعقوبات بسبب احتلاله لفلسطين؟ هل يرسل الغرب عتاداً عسكرياً لمساعدة الفلسطينيين للدّفاع عن أنفسهم؟ الجواب بالطبع لا في كل مرة، والأسوأ من ذلك أن المقاومين يوسمون بالإرهابيين، والأسلحة والدعم المالي يُمنح بوفرة للمحتل. حتى المساعدة الضئيلة التي قدمتها الأونروا لمساعدة اللاجئين الفلسطينيين الذين شردهم كيان يهود آخذة في الجفاف. ربّما، عندما كان بوتين يفكّر في غزو أوكرانيا، نظر إلى حروب الغرب الجائرة واحتلاله ودعمه للمحتلين واعتقد أنه لن يتمّ تطبيق سوى عقوبات رمزية خفيفة على روسيا بسبب غزوها. إذا كان الأمر كذلك، فقد استخفّ بالنفاق الغربي بقدر ما قلّل وأخطأ في تقدير أشياء أخرى.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. عبد الله روبين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon