الاستثمارات السعودية لن تنهي فشل الاقتصاد الباكستاني
الاستثمارات السعودية لن تنهي فشل الاقتصاد الباكستاني

الخبر:   خلال زيارته لباكستان، أعلن ولي العهد السعودي، محمد بن سلمان، في 17 شباط/فبراير 2019 أنّ المرحلة الأولى من استثمار بقيمة 20 مليار دولار في باكستان قد اكتملت، وسيتم القيام بالمزيد من الاستثمارات في المستقبل. وقال مستشار رئيس الوزراء للشؤون التجارية، عبد الرزاق داود، في 18 شباط/فبراير "إن الاستثمارات السعودية في باكستان أمر حيوي ومهمة للغاية للتطور الإيجابي للاقتصاد الباكستاني".

0:00 0:00
Speed:
February 20, 2019

الاستثمارات السعودية لن تنهي فشل الاقتصاد الباكستاني

الاستثمارات السعودية لن تنهي فشل الاقتصاد الباكستاني

الخبر:

خلال زيارته لباكستان، أعلن ولي العهد السعودي، محمد بن سلمان، في 17 شباط/فبراير 2019 أنّ المرحلة الأولى من استثمار بقيمة 20 مليار دولار في باكستان قد اكتملت، وسيتم القيام بالمزيد من الاستثمارات في المستقبل. وقال مستشار رئيس الوزراء للشؤون التجارية، عبد الرزاق داود، في 18 شباط/فبراير "إن الاستثمارات السعودية في باكستان أمر حيوي ومهمة للغاية للتطور الإيجابي للاقتصاد الباكستاني".

التعليق:

لطالما ادّعت الحكومات المتعاقبة في باكستان أن باكستان لا يمكن أن تتقدم بدون مساعدة أغنى الدول. لذلك تتلقى باكستان كل أنواع المساعدات الاقتصادية والاستثمارات والقروض، ولكنها لا تزال تواجه مشاكل اقتصادية حادة، حيث يغرق شعبها في حالة من الفقر. وكانت حكومة راحيل-نواز السابقة قد قدّمت ادعاءات مشابهة حول الممر الاقتصادي الباكستاني الصيني (CPEC)، حيث ادعت أن استثمار أكثر من 50 مليار دولار لن يكون مجرد تغيير في اللعبة بالنسبة لباكستان وحدها، بل وفي المنطقة بأسرها. وعلى الرغم من أن حوالي 30 مليار دولار تم إنفاقها على مشروع الممر CPEC حتى الآن، إلا أنّ باكستان ما زالت تواجه أزمة اقتصادية حادة. وتستخدم ثلث ميزانيتها السنوية تقريبا لخدمة الديون الخارجية، ثلاثة أرباعها تتعلق بمدفوعات الفوائد الربوية. وسبب النقص في الصناعة المحلية، هو أن باكستان لا تزال تعتمد بشكل كبير على استيراد المعدات الضرورية مثل الآلات الزراعية والمحركات. وبسبب عضويتها في صندوق النقد الدولي، فإن باكستان ملزمة بالحفاظ على احتياطيات كبيرة من الدولار، مما يضاعف من مشاكلها الاقتصادية، من خلال الضغط عليها لخفض قيمة عملتها المحلية، والقبول بالقروض الخارجية بالدولار، وفتح اقتصادها أمام مستثمري القطاع الخاص من الشرق والغرب.

والآن يدّعي نظام باجوا-عمران أن الاستثمارات السعودية ستغير اللعبة، وللمرء أن يتساءل ما إن كان مشروع الممر CPEC قد أوجد الرخاء، وهو مشروع أكبر بكثير من الاستثمارات السعودية، فكيف بالاستثمارات السعودية؟! وبصورة أعم، كانت المليارات تأتي إلى باكستان كاستثمارات أجنبية مباشرة على مدى العقود الثلاثة الماضية، ولكن حال الاقتصاد الباكستاني تردى من سيئ إلى أسوأ. وما شاهدناه هو أن الاستثمارات الأجنبية المباشرة قد استفاد منها الرأسماليون الكبار فقط، من الذين يحتكرون ملكية المصادر الكبيرة من الإيرادات، مثل النقل والبناء والمعادن والطاقة. فهم يجلبون الدولارات على المدى القصير، ولكن يتم على المدى البعيد إفراغ خزينة الدولة، لأن الحكومات لا تستطيع الحصول على أموال كافية من الصناعة والطاقة والمعادن على نطاق واسع لتلبية احتياجات الناس، لذلك تلجأ إلى المزيد من الاستثمارات الأجنبية المباشرة والقروض القائمة على الربا التي تزيد من التدهور الاقتصادي.

إنّ إقامة الخلافة على منهاج النبوة هو التغير الحقيقي التي يحتاجه المسلمون. فالإسلام يقسّم الملكية إلى ملكية فردية وإلى ملكية دولة وملكية عامة. وتُعتبر موارد الطاقة مثل النفط والغاز والكهرباء من الملكية العامة. ولا يجوز خصخصة الملكية العامة أو تأميمها، ويجب أن تُنفق إيراداتها الهائلة على رعاية شؤون الناس، تحت إشراف الدولة. كما يحد الحكم بالإسلام من قدرة الشركات الخاصة على السيطرة على قطاعات الاقتصاد التي تعتمد على رأس مال ضخم، مثل النقل والبناء على نطاق واسع. وعليه فإن الدولة تلعب دوراً مهماً بشكل طبيعي في هذه القطاعات، حيث تجلب إيرادات كبيرة لخزينة الدولة. وعلاوة على ذلك، فقد أوجب الإسلام أن تكون العملة مدعومة بالذهب والفضة، والتي لها قيمة ذاتية خاصة بها، وتوفر الاستقرار التجاري الدولي واستقرار في الأسعار المحلية. إنّ الخلافة وحدها هي التي ستكسر وعاء التسول والمذلة التي تصاحبه، ويجب على المسلمين الإطاحة بالرأسمالية وإقامة الخلافة. قال الله U: ﴿وَمَنْ أَعْرَضَ عَن ذِكْرِي فَإِنَّ لَهُ مَعِيشَةً ضَنكاً﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

شاهزاد شيخ

نائب الناطق الرسمي لحزب التحرير في ولاية باكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon