الاصطياد العرقي هو أداة قبيحة أخرى للسياسة العلمانية الانتهازية (مترجم)
الاصطياد العرقي هو أداة قبيحة أخرى للسياسة العلمانية الانتهازية (مترجم)

الخبر:   في الأسابيع الأخيرة، سلطت الصحافة البريطانية الضوء على استخدام الاصطياد العرقي من قبل العديد من الوزراء في حكومة المملكة المتحدة لحشد الدعم من العناصر اليمينية والمعادية للأجانب من الناخبين. ويأتي ذلك في أعقاب سلسلة من التصريحات الحارقة من وزيرة الداخلية البريطانية، سويلا برافرمان، التي خصت الرجال الباكستانيين البريطانيين باعتبارهم أكثر ميلا ليكونوا جزءا من عصابات الاستمالة المتورطة في الاعتداء الجنسي على الفتيات البيضاوات الضعيفات في البلاد، ...

0:00 0:00
Speed:
May 12, 2023

الاصطياد العرقي هو أداة قبيحة أخرى للسياسة العلمانية الانتهازية (مترجم)

الاصطياد العرقي هو أداة قبيحة أخرى للسياسة العلمانية الانتهازية

(مترجم)

الخبر:

في الأسابيع الأخيرة، سلطت الصحافة البريطانية الضوء على استخدام الاصطياد العرقي من قبل العديد من الوزراء في حكومة المملكة المتحدة لحشد الدعم من العناصر اليمينية والمعادية للأجانب من الناخبين. ويأتي ذلك في أعقاب سلسلة من التصريحات الحارقة من وزيرة الداخلية البريطانية، سويلا برافرمان، التي خصت الرجال الباكستانيين البريطانيين باعتبارهم أكثر ميلا ليكونوا جزءا من عصابات الاستمالة المتورطة في الاعتداء الجنسي على الفتيات البيضاوات الضعيفات في البلاد، واصفة هذا السلوك الشنيع بأنه مرتبط بطريقة ما بعرقهم أو ثقافتهم. وركزت على سلسلة من القضايا البارزة التي تورط فيها رجال من أصل باكستاني بدلا من الاعتراف بأن الاعتداء الجنسي على الأطفال مشكلة واسعة الانتشار في البلاد، تشمل جميع القطاعات والأعراق. وقالت إن مرتكبي الجرائم الجنسية التي تنطوي على عصابات الاستمالة هم "مجموعات من الرجال، جميعهم تقريبا بريطانيون باكستانيون". هذا على الرغم من حقيقة أن تقرير عام 2020 الصادر عن وزارة الداخلية الخاصة بها ذكر أنه وجد صعوبة بالغة في العثور على علاقة سببية بين العرق والاستغلال الجنسي للأطفال، وخلص إلى أن معظم أعضاء عصابة استمالة الأطفال كانوا من الرجال البيض الذين تقل أعمارهم عن 30 عاما. هذا ليس أمرا مفاجئا لأن غالبية السكان من البيض. كما ذكر برافرمان في مقابلة مع سكاي نيوز أن الرجال الباكستانيين البريطانيين "ينظرون إلى النساء بطريقة مهينة وغير شرعية ويتبعون نهجا عفا عليه الزمن وشنيعا بصراحة فيما يتعلق بالطريقة التي يتصرفون بها". كما أدلى وزير الداخلية بعدد من التعليقات المهينة ضد المهاجرين، واصفا المهاجرين وطالبي اللجوء الذين يعبرون في قوارب صغيرة إلى البلاد بأنهم "غزو" وربط الهجرة بمستويات عالية من الإجرام وتجارة المخدرات والدعارة والاستغلال. كما صرح روبرت جينريك، وزير الهجرة، بأن "الهجرة المفرطة وغير المنضبطة تهدد بأكل التعاطف الذي يميز المجتمع البريطاني" وأن أولئك الذين يعبرون إلى البلاد يتألفون من "أنماط حياة وقيم مختلفة عن تلك الموجودة في المملكة المتحدة ما يؤدي إلى تقويض التماسك الثقافي الذي يربط المجتمعات المتنوعة معا".

التعليق:

يُعرف الاصطياد العرقي بأنه استخدام بيانات استفزازية أو أكاذيب حول العرق أو التحريض على الكراهية العنصرية أو الغضب تجاه مجموعات عرقية معينة، غالبا للحصول على ميزة سياسية. لقد أصبحت هذه الأداة جزءا لا يتجزأ من السياسة العلمانية وتكتيكا انتخابيا في الدول العلمانية في جميع أنحاء العالم. وليس من المستغرب أن تصريحات برافرمان وجينريك جاءت على خلفية الانتخابات المحلية هذا الشهر والانتخابات العامة التي تلوح في الأفق العام المقبل في البلاد. لطالما كان الخطاب المناهض للهجرة والمعادي للمسلمين وكذلك سياسات الهوية التي تستهدف مجموعات عرقية معينة ضجيجا خلفيا للانتخابات الرئاسية الفرنسية حيث يتنافس المرشحون ضد بعضهم بعضاً ليظهروا لناخبيهم من لديه مؤهلات أكبر كراهية للأجانب. لقد جادل السياسيون من جميع الأطياف في فرنسا - اليسار واليمين والوسط - بأن الأعداد المتزايدة من الرعايا الأجانب في البلاد قد حطت من القيم الفرنسية التقليدية. وصرح الرئيس الفرنسي إيمانويل ماكرون خلال انتخابات العام الماضي خلال تجمع حاشد لأنصاره: "أعتقد أنه يجب علينا أيضا الدفاع عن حمضنا النووي، لذلك نحن نقلق بشأن ظواهر الهجرة". وفي السياسة الأمريكية، لطالما استخدمت الاستراتيجيات المصممة لجعل البيض متشككين وخائفين من الأمريكيين من أصل أفريقي والمهاجرين للفوز بالانتخابات. حيث استخدم دونالد ترامب خطابا معاديا للمهاجرين وكراهية الأجانب لمناشدة قاعدة معينة في البلاد في كل من الانتخابات الرئاسية لعامي 2016 و2020.

كل هذا يدل مرة أخرى على المخاطر الكامنة والانقسام في النظام العلماني الرأسمالي الذي لا يتورع فيه السياسيون عن ترويج الأكاذيب والعنصرية والكراهية تجاه الجماعات العرقية من أجل الفوز في الانتخابات. إنه نظام يسمح للسياسيين بتأليب المجتمعات بعضها ضد بعض، وإثارة الكراهية العنصرية وتشجيع المتطرفين اليمينيين لتحقيق مكاسب سياسية بغض النظر عن العواقب الوخيمة على حياة الأفراد والمجتمعات. في العام الماضي، زادت الجرائم المعادية للمسلمين بنسبة 28٪ في المملكة المتحدة. ويعزى ذلك إلى حد كبير إلى نمو جماعات الكراهية اليمينية التي استغلت المفاهيم الخاطئة عن المسلمين، بما في ذلك تلك التي يروج لها السياسيون. كما ارتبطت الهجمات الأخيرة على مركز المهاجرين في دوفر واللاجئين الذين يعيشون في فندق في نوزلي في المملكة المتحدة باللغة التحريضية المعادية للمهاجرين التي استخدمها وزير الداخلية البريطاني. وفي عام 2019، كتب الإرهابي اليميني المتطرف، برينتون تارانت، الذي قتل 51 مسلما في مسجدين في كرايس تشيرش، في نيوزيلندا، "من أجل روثرهام" على ذخيرته قبل إطلاق النار. روثرهام هي مدينة في المملكة المتحدة غالبا ما يستغلها السياسيون اليمينيون كمثال لترويج كذبتهم حول المشاركة غير المتناسبة للرجال الباكستانيين في عصابات الاستمالة بسبب قضية بارزة أدين فيها عدد من الرجال الباكستانيين بإساءة معاملة الفتيات البيضاوات الصغيرات.

كيف يمكن لمثل هذا النظام الذي يستخدم هذا الأسلوب السياسي بحيث يطلق صافرة الكلاب واللحوم الحمراء وأسلوب ميكافيلي في السياسة حيث الغاية تبرر الوسيلة وحيث لا شيء يتجاوز الشاحب طالما أنه يحصل على عدد قليل من الأصوات الرخيصة، أن ينظر إليه على أنه أفضل طريقة لحكم الدولة؟ كيف يمكن لمثل هذا النظام الذي يلعب على وتر الآراء العنصرية والمعادية للأجانب والذي يؤجج التحيز والتوترات العرقية أن يسعى بدلا من ذلك إلى إزالتها، وأن يخلق مجتمعات متماسكة وآمنة؟ كيف يمكن لمثل هذا النظام الذي يسمح للسياسيين بمحاولة تعزيز شعبيتهم باستخدام الأقليات للفوز في الانتخابات، أن ينظر إليه على أنه متقدم ومتحضر؟ وكيف يمكن لمثل هذا النظام الذي يولد الانقسام بين الناس ويستقطب المجتمعات أن ينظر إليه على أنه نموذج سياسي صحي؟

كمسلمين، بالتأكيد حان الوقت لرفض هذا النظام العلماني الوضعي من أراضينا الذي زرع بالمثل الانقسام بين المسلمين وسمح للسياسيين بتأجيج شعلة العنصرية في مجتمعاتنا من أجل ميزة سياسية! بالتأكيد، لقد حان الوقت للعودة إلى نظام الله سبحانه وتعالى، الخلافة القائمة على منهاج النبوة، التي لديها نهج تم اختباره عبر الزمن لاقتلاع العنصرية من الناس وصهر أولئك من مختلف الأعراق والجنسيات في دولة واحدة حيث يشعر الجميع بالاحترام والحماية على قدم المساواة من خلال أحكام الإسلام العادلة. بلا شك، لقد حان الوقت لإعادة هذا النظام المتحضر حقا والذي بموجبه تدور السياسة حول الاهتمام الحقيقي باحتياجات الناس بدلا من توليد مباراة قذف الطين بين السياسيين المتعطشين للسلطة الذين يخدمون أنفسهم والمستعدين أكثر لإشعال النيران العنصرية داخل مجتمعاتهم لتحقيق مكاسب سياسية خاصة بهم!

﴿ثُمَّ جَعَلْنَاكَ عَلَى شَرِيعَةٍ مِّنَ الْأَمْرِ فَاتَّبِعْهَا وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاء الَّذِينَ لَا يَعْلَمُونَ

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

الدكتورة نسرين نواز

مديرة القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon