الاتحاد الأوروبي والمستعمرات الروسية في آسيا الوسطى
الاتحاد الأوروبي والمستعمرات الروسية في آسيا الوسطى

الخبر:   في 11 تشرين الثاني/نوفمبر، ذكرت IA UzDaily.uz: "في 10 تشرين الثاني/نوفمبر، 2017 عقد اجتماع بين وزراء خارجية بلدان الاتحاد الأوروبي وآسيا الوسطى في سمرقند. وهم وزراء خارجية أوزبيكستان، عبد العزيز كاملوف، وكازاخستان خيرات عبد الرحمنوف، وقرغيزستان إيرلان عبدياداييف، وطاجيكستان سيرودجيدين اسلوف، وتركمانستان رشيد مريدوف، والممثل السامي للاتحاد الأوروبي، نائب رئيس مفوضية الاتحاد الأوروبي، وشارك في الاجتماع فيديريكا موغيريني، ومفوضة الاتحاد الأوروبي للتعاون والتنمية الدوليين نيفين ميميتسا".

0:00 0:00
Speed:
November 25, 2017

الاتحاد الأوروبي والمستعمرات الروسية في آسيا الوسطى

الاتحاد الأوروبي والمستعمرات الروسية في آسيا الوسطى

(مترجم)

الخبر:

في 11 تشرين الثاني/نوفمبر، ذكرت IA UzDaily.uz: "في 10 تشرين الثاني/نوفمبر، 2017 عقد اجتماع بين وزراء خارجية بلدان الاتحاد الأوروبي وآسيا الوسطى في سمرقند. وهم وزراء خارجية أوزبيكستان، عبد العزيز كاملوف، وكازاخستان خيرات عبد الرحمنوف، وقرغيزستان إيرلان عبدياداييف، وطاجيكستان سيرودجيدين اسلوف، وتركمانستان رشيد مريدوف، والممثل السامي للاتحاد الأوروبي، نائب رئيس مفوضية الاتحاد الأوروبي، وشارك في الاجتماع فيديريكا موغيريني، ومفوضة الاتحاد الأوروبي للتعاون والتنمية الدوليين نيفين ميميتسا".

وقد تم التعبير عن فكرة وضع استراتيجية جديدة للاتحاد الأوروبي لآسيا الوسطى خلال الاجتماع. وعلى وجه الخصوص، قالت فيديريكا موغيريني "لقد قررنا أن نقوم بتحديث موقفنا إزاء الشراكة مع المنطقة، وتبادلنا وجهات النظر حول أولويات التعاون لاستراتيجية الاتحاد الأوروبي القادمة لآسيا الوسطى التي سيتم تبنيها واعتمادها في غضون 18 شهرا". و"ينظر الاتحاد الأوروبي بصورة متزايدة إلى آسيا الوسطى ليس في نوعية المستفيد، ولكن باعتباره شريكا اقتصاديا، تصبح المنطقة نفسها مكانا جذابا للاستثمارات الأوروبية في الوقت الحالي أكثر من أي وقت مضى، وتبدي بلدان المنطقة رغبتها في العمل معا. ولم يكن لدينا أبدا مثل هذا الحوار الإيجابي والبناء. وأود أن أقول إننا في قمة تعاوننا، ولكننا لا نريد استخدامه كهدف نهائي بل كنقطه انطلاق جديدة".

التعليق:

لقد شكلت دول آسيا الوسطى بوصفها "دولا مستقلة" بحدودها الحالية بعد انهيار الاتحاد السوفياتي، وبقيت حتما تعتمد - بدرجات متفاوتة - على حاكمهم السابق، والآن في مواجهة روسيا. قد تجلى ذلك في انضمام بلدان آسيا الوسطى إلى رابطة الدول المستقلة ومنظمة شنغهاي للتعاون ومنظمة معاهدات الأمن الجماعي وغيرها من المؤسسات والمنظمات التي شكلتها روسيا والتي لا تريد أن تخسر أراضيها المستعمرة، وترصد باستمرار العمليات الجارية في هذه المنطقة.

وبدأت علاقات الاتحاد الأوروبي مع بلدان آسيا الوسطى تتطور بسرعة في مطلع التسعينات، وبمرور الوقت، مرت هذه العلاقات بتغيرات عديدة. وبالنظر إلى علاقات كازاخستان في شخص الرئيس نزارباييف الذي حافظ على علاقات حميمة وودية مع الاتحاد الأوروبي لسنوات عديدة، قامت أوزبيكستان في شخص الرئيس كريموف بعد أحداث أنديجان عام 2005 بتجميد علاقاتها مع الاتحاد الأوروبي عمليا، وحتى المصرف الأوروبي للإنشاء والتعمير قد أغلق آخر مشروع له بالفعل في عام 2007 وغادر أوزبيكستان.

إن تغيير القيادة في أوزبيكستان، بعد وفاة الدكتاتور الأول كريموف، قد غير السياسة الخارجية للبلد تغييرا جذريا، وحاول الطاغية كريموف، بسبب عجزه عن انتهاج سياسة مستقلة، أن ينأى بنفسه عن التبعية الكاملة لمستعمر أو آخر، وظل معزولا تقريبا، وهذا ما أكدته السنوات الأخيرة من حكمه.

قرر الرئيس الجديد لأوزبيكستان ميرزياييف، على عكس الطاغية الأول كريموف أن يلقي نفسه تماما تحت رحمة راعيه في مواجهة روسيا. ولذلك، فإن السياسة الخارجية الأخيرة لأوزبيكستان، ممثلة بالرئيس الجديد للدولة ميرزياييف، ينبغي أن ينظر فيها انطلاقا من المصالح الخاصة بمالكها روسيا، لأنه من غير الممكن أن هذه الأخيرة بمثل هذا الوقت القصير قد جعلت أوزبيكستان دولة مستقلة بأنها ستقوم بمثل هذه الحالات بصورة مستقلة.

إن العلاقات بين الاتحاد الأوروبي ودول آسيا الوسطى، ولا سيما أوزبيكستان، لا تتعارض مع مصالح روسيا. بل على العكس من ذلك، فإن روسيا نفسها تضغط على هذه الجمهوريات لوضع جميع أنواع الاتفاقات الاقتصادية مع الاتحاد الأوروبي، لأنها واثقة من أن لها سيطرة جيدة على الوضع في هذه المنطقة. وتحتاج روسيا إلى سوق لبيع الموارد من مستعمراتها، والاتحاد الأوروبي هو أحد هذه الأسواق.

وكالعادة فإن استثمارات الاتحاد الأوروبي في هذه المنطقة، لن تعود بالنفع على شعوب هذه البلاد. بل على العكس من ذلك، فإنها ستكون بمثابة أداة لنهب الموارد الطبيعية وتعقيد المجالات الاقتصادية والاجتماعية وغيرها من مجالات ومناحي حياة المسلمين في وسط آسيا.

وينبغي على المسلمين في آسيا الوسطى التخلي عن الخضوع للحكام المستبدين الفاسدين، الذين يعملون لإرضاء أسيادهم في وجه روسيا والبلدان الاستعمارية الأخرى. وعلى كل حال فإنه من الواضح بالفعل للجميع أن سياستها الخارجية لا تقوم إلا على اكتساب الثروة المادية وليس أكثر من ذلك.

ولن يتحقق الازدهار والرفاهية في هذه البلاد إلا بإقامة الخلافة. والدليل على ذلك هو تاريخنا. وبمجيء الإسلام، فقد اكتسب سكان هذه البلاد ثقافة أكبر والتي وحدت هذه الأمم وتفاخرت بهم أمام الشعوب الأخرى لقرون عديدة.

وبناء على ذلك، فإنه لا يوجد مفر للخروج من هذا الوضع المرفوض من المسلمين في آسيا الوسطى، إلا من خلال العمل مع حزب التحرير لإقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة. ونسأل الله العون.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

إلدر خمزين

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon