الأزمة السياسية وقمع الإعلام في إندونيسيا
الأزمة السياسية وقمع الإعلام في إندونيسيا

أعربت منظمات الصحفيين الإندونيسية عن قلقها إزاء التعديلات المقترحة على قانون البث في البلاد، مشيرة إلى أن هذه التغييرات تهدد حرية الصحافة والصحافة الاستقصائية. وقد أبرز مجلس الصحافة مخاوفه من أن مشروع القانون المعدل، الذي نوقش منذ تشرين الأول/أكتوبر 2023، يتناقض مع قانون الصحافة من خلال حظر الصحافة الاستقصائية، وهي ضرورية للتقارير المهنية. وأكدت رئيسة مجلس الصحافة نينيك راهايو أن هذا التقييد يقوض حماية قانون الصحافة لعام 1999 ضد الرقابة. ...

0:00 0:00
Speed:
May 18, 2024

الأزمة السياسية وقمع الإعلام في إندونيسيا

الأزمة السياسية وقمع الإعلام في إندونيسيا

الخبر:

أعربت منظمات الصحفيين الإندونيسية عن قلقها إزاء التعديلات المقترحة على قانون البث في البلاد، مشيرة إلى أن هذه التغييرات تهدد حرية الصحافة والصحافة الاستقصائية. وقد أبرز مجلس الصحافة مخاوفه من أن مشروع القانون المعدل، الذي نوقش منذ تشرين الأول/أكتوبر 2023، يتناقض مع قانون الصحافة من خلال حظر الصحافة الاستقصائية، وهي ضرورية للتقارير المهنية. وأكدت رئيسة مجلس الصحافة نينيك راهايو أن هذا التقييد يقوض حماية قانون الصحافة لعام 1999 ضد الرقابة. ويهدف مشروع القانون، الذي يسعى إلى تعديل قانون البث لعام 2002 لمعالجة التحديات التي تفرضها منصات الإعلام الجديدة، إلى توسيع سلطة هيئة البث الإندونيسية (KPI) في النزاعات الصحفية، وهو دور تقليدي يقوم به مجلس الصحافة. ويجادل النقاد بأن هذا التحول يمكن أن يخلق تداخلاً في الاختصاصات ويضعف سلطة مجلس الصحافة. كما تعرضت عملية صياغة القانون لانتقادات بسبب افتقارها لمشاركة الجمهور، متجاهلةً قرار المحكمة الدستورية لعام 2020 الذي يفرض مشاركة المجتمع في العمليات التشريعية. وتساءل وزير الاتصالات والمعلومات بودي أري ستيادي عن مبرر حظر الصحافة الاستقصائية، مؤكداً ضرورتها للمجتمع المتطور. واستجابةً للانتقادات، صرح أعضاء الهيئة التشريعية، بما في ذلك رئيسها سوبراتمان أندي أغطاس وعضو اللجنة الأولى تي بي حسن الدين، بأن مشروع القانون لم يتم الانتهاء منه بعد وأنه لا يزال مفتوحاً لمشاركة الجمهور والصحفيين. وأكدوا أنه سيتم معالجة القضايا المثيرة للجدل وشددوا على ضرورة أن تخدم حرية الصحافة المصلحة العامة بمسؤولية. (المصدر)

التعليق:

تشير قضية تقييد وسائل الإعلام في إندونيسيا إلى استمرار عملية تقويض الديمقراطية تحت إدارة الرئيس جوكو ويدودو خلال فترتي ولايته من 2014 إلى 2024. وقد صنفت منظمات مثل فريدوم هاوس ووحدة الاستخبارات الاقتصادية، إندونيسيا كدولة تتراجع فيها جودة الديمقراطية، ويرجع ذلك أساساً إلى تصرفات الحكومة التي تسهل تجريم الجماعات المعارضة الناقدة. يشمل ذلك حل المنظمات الإسلامية مثل حزب التحرير في إندونيسيا في عام 2017 وجبهة المدافعين عن الإسلام في عام 2020.

هناك أضرار محتملة أكبر تلوح في الأفق مع احتمال تغيير النظام، الذي يبدو أنه تم التخطيط له من قبل الإدارة الحالية من خلال الترويج ودعم برابوو سوبيانتو ونجل الرئيس جوكو ويدودو، جبراكاكا بومي ركا، لمنصب نائب الرئيس. جاء ذلك بعد التغييرات الدستورية في المحكمة الدستورية، حيث إن رئيس المحكمة هو شقيق زوجة الرئيس.

إن رداءة الجودة السياسية تؤثر في النهاية على جودة حياة الناس، ما يؤدي إلى زيادة الفقر والبطالة والانحلال الأخلاقي والجريمة وغيرها من الأضرار الواسعة النطاق التي ابتليت بها إندونيسيا لسنوات. في الوقت نفسه، تنشغل النخب السياسية بالصراعات على السلطة وتقاسم المناصب واستنزاف ثروات البلاد من خلال مشاريع التنمية الحكومية والفساد.

في خضم الأزمة السياسية المتفاقمة في إندونيسيا، من المحتمل أن يزداد استياء الجمهور من النظام والنظام السياسي، ما يؤدي إلى تغيير سياسي. ومع ذلك، فإن النقطة الأساسية هنا هي أن التغيير السياسي وحده ليس كافياً، كما شهدت إندونيسيا في عامي 1965 و1988 دون تحسينات نوعية كبيرة. حيث إن النخب السياسية هي فقط التي تغيرت، لكن النهج العلماني والبراغماتي للدولة ظل دون تغيير.

لذلك، من المناسب للشعب الإندونيسي، كدولة ذات أغلبية مسلمة، أن تنظر في التحول نحو الإسلام. جنباً إلى جنب مع العلماء والمنظمات الإسلامية والشخصيات الإسلامية الأخرى، يجب أن تسعى الأمة إلى تطبيق الشريعة ضمن إطار الدولة. بإذن الله، سيسهم ذلك في إيجاد إندونيسيا أكثر صحة من حيث السياسة والأخلاق والاقتصاد والأبعاد الأخرى، ما يفيد كل من حكامها ورعاياها.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد الله أسوار

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon