البحث عن القائد الحقيقي في خضم جنون الفساد السياسي
البحث عن القائد الحقيقي في خضم جنون الفساد السياسي

وجهت وكالة مكافحة الكسب غير المشروع الإندونيسية في 16 آذار/مارس تهمة لسياسي إسلامي بارز يدعم حملة إعادة انتخاب الرئيس جوكو ويدودو كمشتبه به في قضية رشوة. قام محمد رومورموزي (رومي) رئيس حزب التنمية المتحدة (PPI) بقبول الرشاوى لتعيين شخصين في وظائف رفيعة المستوى في وزارة الشؤون الدينية. ومن المفارقات أنه قبل ثلاثة أشهر من الاعتقال قام رومورموزي بتحميل مقطع فيديو خاص به يتعلق بحملة مكافحة الفساد على حسابه على تويتر. في هذا الفيديو، أشار إلى الظواهر في النظام والتي يمكن أن تجعل المسؤول مجرماً بسهولة، فقط فرق بسيط بين الاثنين، مسؤولو اليوم يمكن أن يصبحوا مجرمي الغد. كما أنه خلص إلى أن النظام السياسي الحالي يحتاج إلى أموال كبيرة للبقاء على قيد الحياة من التنافس الصعب، لأنه نظام سياسي مرتفع التكلفة.

0:00 0:00
Speed:
March 22, 2019

البحث عن القائد الحقيقي في خضم جنون الفساد السياسي

البحث عن القائد الحقيقي في خضم جنون الفساد السياسي

(مترجم)

الخبر:

وجهت وكالة مكافحة الكسب غير المشروع الإندونيسية في 16 آذار/مارس تهمة لسياسي إسلامي بارز يدعم حملة إعادة انتخاب الرئيس جوكو ويدودو كمشتبه به في قضية رشوة. قام محمد رومورموزي (رومي) رئيس حزب التنمية المتحدة (PPI) بقبول الرشاوى لتعيين شخصين في وظائف رفيعة المستوى في وزارة الشؤون الدينية. ومن المفارقات أنه قبل ثلاثة أشهر من الاعتقال قام رومورموزي بتحميل مقطع فيديو خاص به يتعلق بحملة مكافحة الفساد على حسابه على تويتر. في هذا الفيديو، أشار إلى الظواهر في النظام والتي يمكن أن تجعل المسؤول مجرماً بسهولة، فقط فرق بسيط بين الاثنين، مسؤولو اليوم يمكن أن يصبحوا مجرمي الغد. كما أنه خلص إلى أن النظام السياسي الحالي يحتاج إلى أموال كبيرة للبقاء على قيد الحياة من التنافس الصعب، لأنه نظام سياسي مرتفع التكلفة.

التعليق:

إن إلقاء القبض على رومي هو بالتأكيد علامة واضحة على فشل النظام السياسي العلماني الذي اعترف المدعى عليه بسخرية بأنه نظام سياسي قادر على تحويل المسؤول على الفور إلى مجرم. هذا السياسي البارز الذي يدعم نظام جوكوي أخيراً بوعي اختار أن يصبح مجرماً على الرغم من أنه صرخ سابقاً بشأن مكافحة الفساد. هذه الظاهرة تثير لنا بعض الأسئلة. أين يمكن أن نجد قائداً حقيقياً وصادقاً في تفشي الفساد النظامي؟ أين بالضبط موقع سياسة التوحيد التي قامت عليها حركة 212 - في خضم جنون الانتخابات هذا العام؟

أصبحت اليوم السياسة العلمانية للديمقراطية ووجهات النظر السياسية للأمة قصيرة النظر وسطحية للغاية. لقد فقد السياسيون المسلمون أخيراً هويتهم ونزاهتهم. إنهم لا يحجمون عن رهن بلادهم التي استعمرها الأجانب لإثراء أنفسهم أو أسرهم أو مجموعاتهم - كل ذلك من أجل البقاء والعيش في مرحلة سياسية باهظة الثمن. لا عجب على الفور أن أولئك الأشخاص الطيبين في البداية يمكن أن يتحولوا بسهولة إلى فاسدين ومجرمين. إنهم لا يتداولون فقط الفساد في منصبهم الوظيفي بل إن أخطر أشكال الفساد السياسي هو تبادل المواد في القوانين أو القرارات السياسية مثل إسكات صوت المخلصين. ليس من المستغرب أن يتحول العديد من مسؤولي الحزب والبرلمان الذين يجب أن يكونوا قدوة للشعب، إلى أداة للفساد وحتى للاستبداد السياسي.

هؤلاء السياسيون الفاسدون لديهم القلب أيضاً في السيطرة على أصوات الأمة ومعالجتها، من أجل دعم الجماعات ذات النفوذ الرأسمالي التي تبيع روايات الإسلاموفوبيا ومناهضة الخلافة. لا عجب في أن الانتخابات العامة لهذا العام مشوشة للغاية دون أي مجال لرؤية واضحة لسياسة التوحيد لمستقبل هذا البلد، لا يوجد سوى تنافس قوي بين المصالح على مستوى النخبة، على الرغم من أن الأمة لديها ثورة أيديولوجية على الأرض. تم إسكات صوت الأيديولوجية التوحيدية للشعب من خلال حل حزب التحرير في إندونيسيا باعتباره المنظمة الجماهيرية الرائدة في إندونيسيا والتي غالباً ما تعبر عن الأيديولوجية الإسلامية.

هؤلاء السياسيون الفاسدون ليسوا أكثر من عبيد للسياسة البراغماتية الذين يتحدثون باسم أسيادهم ولم يعودوا خائفين من ربهم. من الطبيعي لسياسي مثل رومي أن يرغب في المخاطرة بنزاهته، وإسكات منظمة إسلامية مخلصة، وتشويه فكرة الخلافة فقط من أجل مصلحة جماعته.


مصطلح السياسة في الإسلام يعني في الواقع رعاية شؤون الناس بالأحكام الإسلامية داخل البلاد وخارجها. من هذا التعريف يمكننا أن نفهم بالضبط معنى المصلحة السياسية بالنسبة للمسلمين؛ وهذا توحيد سياسي، وليس مجرد مصالح سياسية. السياسة التوحيدية تتضح من سيرة النبي والخلفاء الراشدين من بعده. تكون السياسة من الأمة والدولة. الدولة مؤسسة تنظم شؤون الناس عملياً. ثم الأمة تحاسبها على أداء واجباتها. ونتيجة لذلك، في هذا المفهوم للسياسة في الإسلام، لا يهتم المسلمون فقط بدولة يمكنها أن تزدهر وتروج لهم مادياً، بل أيضاً دولة ترغب في دعم وتنفيذ سياسة التوحيد والشريعة الإسلامية.

منذ فترة طويلة تم تزويد المسلمين بالفكر السياسي الإسلامي النبيل، بحيث الأمة لديها فهم عميق أن مصلحتهم السياسية لها بعد روحي، ذات بصيرة ومستدامة على المدى الطويل. وليست مصلحة لحظية سطحية وتهدد مهمة التوحيد وهي عبادة الله سبحانه وتعالى. تجدر الإشارة إلى أن الاهتمام السياسي الصحيح في نظر الإسلام، لا ينبغي أن يبرر أي وسيلة، ناهيك عن التجارة بأنفسهم ودينهم؛ لا يجب أن تتوقف فقط في سياق المصالح قصيرة الأجل واللحظية، بل يجب أن تلتزم بإطار الدعوة الإسلامية المرتبط بالتغيير الجوهري الطويل الأجل.

في الواقع، فإن الأمة تفتقد إلى حد كبير قيادتها الحقيقية التي جسدها النبي محمد صلى الله عليه وسلم، الذي أثبت نجاحه السياسي على مدى قرون. يجب أن يدرك المسلمون في إندونيسيا أن اهتماماتهم السياسية يجب أن تنصب على ما علمنا إياه رسول الله، ولذا فإن المسلمين في إندونيسيا ملزمون هذا العام بالسعي وانتخاب قادة لديهم الرغبة والقادرة على تطبيق الشريعة الإسلامية ككل، من أجل مستقبل الأمة والإسلام المستدام.

﴿أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ يَزْعُمُونَ أَنَّهُمْ آمَنُوا بِمَا أُنْزِلَ إِلَيْكَ وَمَا أُنْزِلَ مِنْ قَبْلِكَ يُرِيدُونَ أَنْ يَتَحَاكَمُوا إِلَى الطَّاغُوتِ وَقَدْ أُمِرُوا أَنْ يَكْفُرُوا بِهِ وَيُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَنْ يُضِلَّهُمْ ضَلَالاً بَعِيداً﴾ [النساء: 60]

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فيكا قمارة

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon