البيتكوين: أمُّ جميع الفقاعات (مترجم)
البيتكوين: أمُّ جميع الفقاعات (مترجم)

الخبر:   نشرت بلومبيرغ عنواناً مختلفاً لافتاً للنظر اليوم، 13 كانون الأول/ديسمبر 2017: "انخفاض سعر صرف بيتكوين بنسبة 8.7٪ مسجلاً بذلك رقماً قياسياً"، وأشارت إلى أن بيتكوين الآن يتوجه "نحو التيار الرئيسي من خلال إدخال العقود الآجلة". في نفس اليوم، كانت العناوين الرئيسية تركز إما على مخاطر بيتكوين: "قال نائب رئيس الوزراء التركي بأن بيتكوين هو أكبر وهم في التاريخ"، أو على إمكانات استثمارية ضخمة: "سعر البيتكوين سيصل لمليون دولار، كما يقول مؤسس رأس المال الاجتماعي". إذن ما كل هذا الضجيج، وماذا يعني للبنوك والاقتصاد العالمي؟

0:00 0:00
Speed:
December 16, 2017

البيتكوين: أمُّ جميع الفقاعات (مترجم)

البيتكوين: أمُّ جميع الفقاعات

(مترجم)

الخبر:

نشرت بلومبيرغ عنواناً مختلفاً لافتاً للنظر اليوم، 13 كانون الأول/ديسمبر 2017: "انخفاض سعر صرف بيتكوين بنسبة 8.7٪ مسجلاً بذلك رقماً قياسياً"، وأشارت إلى أن بيتكوين الآن يتوجه "نحو التيار الرئيسي من خلال إدخال العقود الآجلة". في نفس اليوم، كانت العناوين الرئيسية تركز إما على مخاطر بيتكوين: "قال نائب رئيس الوزراء التركي بأن بيتكوين هو أكبر وهم في التاريخ"، أو على إمكانات استثمارية ضخمة: "سعر البيتكوين سيصل لمليون دولار، كما يقول مؤسس رأس المال الاجتماعي". إذن ما كل هذا الضجيج، وماذا يعني للبنوك والاقتصاد العالمي؟

التعليق:

بيتكوين هو العملة الرقمية، وتسمى أيضا العملة المشفرة، وقد تم إنشاؤها بشكل خاص في عام 2009 كنظام نظير للصرف استنادا إلى خوارزمية "بلوكشين" والتي وضعها شخص مجهول أو مجموعة تحت اسم ساتوشي ناكاموتو. في ذلك الوقت، تم شراء وبيع البيتزا مقابل 2 بيتكوين، في حين إن هذه العملة اليوم تبلغ قيمتها 33.000 دولار مع أن سعر الدولار لا يزال يرتفع. في الواقع، فإن خسارة 8.7٪ والتي ذكرت في وقت سابق من اليوم من قبل بلومبيرغ قد تم استردادها! وقد تضاعف السعر ثلاثة أضعاف تقريبا في 3 أشهر، وكان الشغف للشراء كبيراً لدرجة أن التبادلات على الإنترنت التي يتم فيها التبادل التجاري قد انهارت بشكل متتال. الناس يعيدون تمويل منازلهم، ويصرفون مدخرات حياتهم واليوم طريقة جديدة للتجارة من خلال بيتكوين مع العقود الآجلة فذلك يعطي حجما إضافيا إلى السوق. العقود الآجلة هي في الأساس الرهان على ما ستكون عليه في وقت لاحق.

بيتكوين هو وسيلة للتبادل ويمكن استخدامها لشراء بعض السلع والخدمات. ويأمل الليبرتاريون أن يتسبب بيتكوين في انهيار النظام المصرفي الفاسد وتقديم انعتاق من قبضة العملات الأجنبية التي يتلاعب بها السياسيون بشكل مباشر أو غير مباشر عن طريق البنوك المركزية "المستقلة". في حين إن العملات الخفية، التي بيتكوين حاليا الأكثر قيمة منها، لديها القدرة على تقويض النظم المصرفية الرأسمالية الفاسدة، الحكومات لديها طرق قوية لتأكيد السيطرة. وقد أجبر البنك الاحتياطي الفدرالي الأمريكي من يتبادلون بيتكوين الرئيسي (سوينباس) للكشف عن أسماء جميع البائعين للبيتكوين لأغراض الضرائب ويفكر في اختراع العملة الخاصة به للتنافس مع الآخرين. فبالنسبة لجميع عيوب العملات الورقية، تملك الحكومات وسائل ضخمة تحت تصرفها للحفاظ على القيمة مقابل عملاتها الوطنية، ولكن لا يمكن أن يقال ذلك عن العملات الخفية الخاصة. هوية مؤسس بيتكوين، ساتوشي ناكاموتو، هي سر وليس هناك سوى الأمل في دخول الأغنياء بسرعة مما يقود الارتفاع المتزايد في قيمة بيتكوين. وقد دعا الكثيرون البيتكوين "بالفقاعة" في انتظار أن تنفجر بشكل مؤلم جدا لأولئك الذين لا يحصلون على أموالهم في الوقت المناسب.

معظم الناس الذين يشترون بيتكوين يشترونها لبيعها بربح ضخم، وهذا بمثابة سائق صاعد قوي، فلا يوجد شيء لدعم قيمتها عندما يكون هناك تحدي ثقة أو عندما لا يكون هناك ما يكفي من المشترين للحفاظ على تأجيج مشتريات جديدة. فالعملات الورقية معرضة دائما لخطر الانهيار بسبب الدين الوطني، ولكن البنوك المركزية لديها احتياطيات يمكن أن تغطي على الأقل جزئيا من قيمة العملة. وليس ذلك منطبقاً على بيتكوين. شهد الذهب جنون الشراء الذي دفع سعره إلى 1900 دولار في عام 2011 ووصف بأنه فقاعة، التي انفجرت في عام 2012، ولكن الثمن بقي فوق 1000 دولار مع تداول على نطاق ضيق نسبيا منذ ذلك الحين. يتم تقدير الذهب كمجوهرات في جميع أنحاء العالم ويتم دعمه أيضا بأسعار أقل كسلعة صناعية. أما بيتكوين، فلم يكن له قيمة من هذا القبيل، ويمكن أن يرتفع سعره إلى أي رقم، حتى مليون دولار، أو يمكن أن ينخفض ​​بسهولة إلى بضعة سنتات. هذا التقلب الضخم يجعلها عملة سيئة جدا واستثمارا خطيرا جدا.

بالنسبة لأولئك الذين يسعون للهروب من سيطرة البنوك الرأسمالية المرخصة لطباعة المال، الجواب ليس بيتكوين هو الحل، ولكن نظام العملة الإسلامية التي تقوم على الذهب والفضة. أولئك الذين يعتقدون أن بيتكوين يمكن أن تكون السبب في تقويض نظام العملة الورقية الحالي قد يكون ذلك صحيحا، ولكن ليس من خلال نجاح بيتكوين، بل فشلها. كما المزيد والمزيد من الناس تصبح مخمورة بـ 100٪ من الأرباح على أساس شهري، وينتقلون إلى بيتكوين، حيث يمكن أن يتضخم السعر أكثر بكثير من أي فقاعة في تاريخ الرأسمالية، وعندما تنفجر هذه الفقاعة، فإن الآثار على الاقتصاد العالمي ستكون كبيرة. وقد انفجرت فقاعات سوق الأسهم والإسكان والفقاعات العقارية وفقاعات السلع من قبل وتسبب ذلك في جلب الخراب والانهيار في جميع أنحاء العالم، ولكن في تلك الحالات كانت هناك أرضية، حيث تمثل الأسهم الشركات الحقيقية التي لها قيمة وإمكانية توليد الدخل، والعقارات لديها دخل وإمكانات توليد الطاقة، والسلع لديها فائدة صناعية اجتماعية؛ حتى في حين كانت قيمة هذه الأشياء تضخم بشكل جسيم حتى انفجرت فقاعة، بقيت بعض القيمة، ولكن ليس للبيتكوين قيمة. إذا استمرت فقاعة بيتكوين في النمو ومن ثم انفجرت، فلا شيء سيبقى!

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د.عبد الله روبين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon