الدعوة الصحيحة للإسلام هي الطريقة الوحيدة لإنقاذ البشرية من التجوّل في ظلام الأنظمة الوضعية
الدعوة الصحيحة للإسلام هي الطريقة الوحيدة لإنقاذ البشرية من التجوّل في ظلام الأنظمة الوضعية

توصلت دراسة حديثة إلى أن أقل كمية من الكحول سيئة ومضرة لصحتك. وتكشف دراسة "العبء العالمي للأمراض" أنه على الرغم من أن المشروبات المعتدلة قد تحمي من أمراض محددة - لا سيما أمراض القلب الإقفاري ومرض السكري - فإن التأثير الإيجابي يتم تعويضه بالكامل "بالمخاطر المصاحبة للسرطانات، التي تزداد بشكل رتيب مع الاستهلاك". هذه الدراسة التي نُشرت هذا الأسبوع في مجلة لانسيت، وهي واحدة من أهم الدراسات حتى الآن، وفقا للباحثين نظرا لاتساع نطاق بياناتها.

0:00 0:00
Speed:
August 30, 2018

الدعوة الصحيحة للإسلام هي الطريقة الوحيدة لإنقاذ البشرية من التجوّل في ظلام الأنظمة الوضعية

الدعوة الصحيحة للإسلام هي الطريقة الوحيدة لإنقاذ البشرية

من التجوّل في ظلام الأنظمة الوضعية

(مترجم)

الخبر:

توصلت دراسة حديثة إلى أن أقل كمية من الكحول سيئة ومضرة لصحتك.

وتكشف دراسة "العبء العالمي للأمراض" أنه على الرغم من أن المشروبات المعتدلة قد تحمي من أمراض محددة - لا سيما أمراض القلب الإقفاري ومرض السكري - فإن التأثير الإيجابي يتم تعويضه بالكامل "بالمخاطر المصاحبة للسرطانات، التي تزداد بشكل رتيب مع الاستهلاك".

هذه الدراسة التي نُشرت هذا الأسبوع في مجلة لانسيت، وهي واحدة من أهم الدراسات حتى الآن، وفقا للباحثين نظرا لاتساع نطاق بياناتها.

نظر الباحثون إلى بيانات من 195 دولة وإقليماً بين عامي 1990 و2016 من الأشخاص الذين تتراوح أعمارهم بين 15 و95 عامًا والذين لم يشربوا على الإطلاق أو تناولوا مشروبًا مرة واحدة فقط في اليوم.

وكتب الباحثون "مستوى الاستهلاك الذي يقلل من الخسائر الصحية بسبب تعاطي الكحول هو صفر".

وأضافوا "تشير النتائج بقوة إلى أن سياسات مكافحة الكحول ينبغي أن تهدف إلى خفض إجمالي الاستهلاك الكلي للسكان". المصدر: يورو نيوز

التعليق:

على مدى سنوات، سُردت لنا رواية بأن الكحول، خاصة النبيذ الأحمر، بجرعات صغيرة يحدث تأثيرًا إيجابيًا على صحة الإنسان.

جادل العلمانيون البعيدون عن الدين برأيهم فيما يسمى بالحقيقة بينما انتقدوا المسلمين للحظر الصريح لاستخدام الكحول في الإسلام. بعض المسلمين عندما يواجهون مثل هؤلاء المنتقدين يحاولون تكييف حججهم بحسب الآية التالية من القرآن الكريم: ﴿يَسْأَلُونَكَ عَنِ الْخَمْرِ وَالْمَيْسِرِ قُلْ فِيهِمَا إِثْمٌ كَبِيرٌ وَمَنَافِعُ لِلنَّاسِ وَإِثْمُهُمَا أَكْبَرُ مِنْ نَفْعِهِمَا﴾ ويجادلون بأن الله في هذه الآية يذكر صراحة فائدة الكحول.

إظهار تلك المنفعة والإصرار على الضرر المطلق للكحول يؤكد مرة أخرى الحقيقة الواضحة لنقطتين:

1. ليست هذه هي المرة الأولى التي يتغير فيها الموقف تجاه شيء ما أو ظاهرة في ظل نظام يجعل الإنسان يتغير جذريا إلى أنظمة معاكسة: من إيجابي إلى سلبي أو من سلبي إلى إيجابي. إن عدم وجود توجيه واضح يجبر أتباع المبدأ الرأسمالي على التنقل المستمر أثناء البحث عن حلول صحيحة لمشاكل المجتمع والأفراد.

واسمحوا لي أن أذكر مثالا واحدا فقط. ففي عام 1952، اتُّهم عالم الرياضيات وتحليل الشيفرات الشهير آلان تورينج، مخترع "آلة تورينج"، اتهم بالمثلية الجنسية، ولأنها كانت جريمة جنائية في بريطانيا فقد أجبر على الخضوع للإخصاء الكيميائي. ما أسفر عن استقالته من مكاتب الاتصالات الحكومية البريطانية، وربما أدى لاحقا إلى انتحاره.

ومع ذلك، وفي عام 2009، في أعقاب حملة على الإنترنت، قدم رئيس الوزراء البريطاني غوردن براون اعتذارًا رسميًا نيابة عن الحكومة البريطانية عن "الطريقة المروعة التي عومل بها". ومنحته الملكة إليزابيث الثانية عفوًا بعد وفاته في عام 2013.

اليوم كونها جزءاً مما يسمى الأقليات الجنسية، تعتبر حماية حقوق الأقليات في الغرب علامة على التقدم. إن حماية حقوق المثليين هي حجر الأساس لجميع الإصلاحات التي يروج لها الغرب في البلدان النامية، وخاصة في العالم الإسلامي.

هذا هو جوهر الأنظمة التي وضعها الإنسان، حيث أصبح ما حُرّم بالأمس مسموحًا به اليوم، بل وحتى إلزاميًا، مما أجبر البشرية على التنقل في الظلمات والافتراضات الخاصة.

2. يثبت هذا الاكتشاف مرة أخرى للمسلمين التلاعب في الأوامر والمحظورات من خلال ما يسمى بالاكتشافات والحقائق العلمية. لقد شهدنا جميعاً حالات عندما تحولت الدعوة للإسلام إلى دعوة للتأثير الإيجابي للصحة 5 مرات في الصلاة والصوم وغيرها من أحكام الشريعة.

إن محاولات بعض حملة الدعوة جعل الإسلام جذابا للناس تؤدي في كثير من الأحيان إلى التواء النصوص الشرعية.

على سبيل المثال، في الآية حول تحريم القمار والخمور، لا تعني المنافع المذكورة فيها فائدة للصحة.

يقول الطبري المفسر الشهير في تفسيره لهذه الآية إن المنفعة المذكورة تعني المنفعة المادية التي يكسبها الناس من القمار وبيع الخمور.

يؤدي خطاب المنفعة من أجل الصحة في تطبيق أحكام الشريعة إلى تغيير النقاش إلى الطريقة الخاطئة، والتي تحوّل الدعوة إلى الإسلام بمثل هذه الشروط، وبالتالي فإن هذه الدعوة لا علاقة لها بدعوة النبي محمد صلى الله عليه وسلم. إن الرسول محمداً صلى الله عليه وسلم هو أفضل حامل دعوة وأفضل مثال في الدعوة، وهو لم يناقش أبدا صحة الإسلام من خلال الاكتشافات العلمية.

ونتيجة لذلك، إذا أردنا أن نوجد في الأمة الإخلاص وجيلاً يخشى الله، مثل جيل المسلمين الأوائل، وإذا أردنا أن ينتشر الإسلام بنفس طريقة القرون الأولى من الإسلام عندما يُقبل الناس أفواجا على الإسلام، فإننا ملزمون باتباع طريق النبي صلى الله عليه وسلم دون الحيد خطوة عنه.

الإسلام ليس بحاجة إلى إثبات صوابه من خلال الاكتشافات العلمية المتغيرة. الإسلام لديه أدلة عقلانية خاصة به على وجود الخالق، ورسالة النبي محمد صلى الله عليه وسلم وقدسية القرآن الكريم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فضل أمزاييف

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في أوكرانيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon