الدولة البوليسية في السودان: عوداً على بدء
الدولة البوليسية في السودان: عوداً على بدء

الخبر: كشفت صحيفة الكرامة، المقربة من الحكومة السودانية، أن أبرز التعديلات على قانون جهاز الأمن والمخابرات الجديد تتمثل في المادة 25 الخاصة بالاعتقال التحفظي، والمادتين 29 و37 الخاصتين بسلطات الأعضاء ومدير المخابرات، والمادة 33 الخاصة بحصانة عضو الجهاز، والمادة 46 المتعلقة بحصانة الأعضاء والمتعاونين.

0:00 0:00
Speed:
May 18, 2024

الدولة البوليسية في السودان: عوداً على بدء

الدولة البوليسية في السودان: عوداً على بدء

الخبر:

كشفت صحيفة الكرامة، المقربة من الحكومة السودانية، أن أبرز التعديلات على قانون جهاز الأمن والمخابرات الجديد تتمثل في المادة 25 الخاصة بالاعتقال التحفظي، والمادتين 29 و37 الخاصتين بسلطات الأعضاء ومدير المخابرات، والمادة 33 الخاصة بحصانة عضو الجهاز، والمادة 46 المتعلقة بحصانة الأعضاء والمتعاونين.

التعليق:

في الماضي القريب عشنا تفاصيل الدولة البوليسية في عهد نظام الإنقاذ، حيث لا تستطيع أشباه الدول أن تعطي مساحة لأي تعبير ولو بالرأي، فمجرد كلمة ربما زجت بقائلها في غياهب السجون، وربما ضاقوا بها ذرعا فتمت تصفيته جسديا، وهذا ما حدث فعليا بعد ثورات الربيع العربي، أيضا يبدو بكل وضوح أننا نعيش مرحلة تشهد وتشجع اتجاها محموما، للإشارة إلى أدوار معجزة، تمكنت الأجهزة الاستخباراتية من خلالها من قمع الحريات، وسجن الناس في دولة بوليسية، تكمم الأفواه، وتفرض حكمها بالحديد والنار، لدرجة تفوق النازية.

بعد سقوط نظام البشير جرت تعديلات دستورية، حيث سحبت بعض الصلاحيات من جهاز الأمن، ليصبح مختصا بجمع المعلومات، وتحليلها، وتقديمها إلى السلطات المختصة، وقد كان هذا تغييرا إيجابيا نوعا ما، يجعل الناس في متنفس من أمرهم، لكن سرعان ما "عادت حليمة لعادتها القديمة!"، وضاق القائمون على الأمر بآراء الناس وانتماءاتهم؛ لإجبارهم على الخضوع لكل ما تراه الدولة، وإلا فهو متهم، وتتم محاكمته قبل أن تثبت إدانة فعلية، ولو بتلفيق تهم من مناوئين له (تتم تسميتهم بالمتعاونين)، أو غيرهم من أفراد الجهاز.

جاء في تعريف المتعاون، "أنه شخص لا ينتسب رسميا إلى الجهاز، وهو مواطن عادي يقدم المعلومات إلى الجهاز مقابل مبلغ مالي"، وهذا المصطلح لم يكن موجودا في قانون جهاز المخابرات السابق في عهد البشير.

هذه التعديلات تجعل الكل يشكك في الكل، والجميع يتجسس على الجميع، وهذا من شأنه أن يهدد تماسك المجتمع المتفكك أصلا بعامل الحرب، وبعوامل أخرى، خاصة أن بعض المتعاونين يمكن أن يقدموا معلومات ضد غيرهم، من منطلق خلاف شخصي.

وليس أدل دليل على ذلك من الحادث الذي اتهم فيه حزب المؤتمر السوداني، الاستخبارات العسكرية، باعتقال رئيس فرعيته صلاح الطيب بمنطقة القرشي بولاية الجزيرة، وقتله تحت التعذيب، في حين لم يصدر أي تعليق رسمي من الجيش عن الحادثة، وهذا إشارة، ولا ندري ربما يحدث ما حدث في سنوات حكم الإنقاذ، حيث تحولت السجون لبيوت أشباح، لا لشيء إلا لكلمة قيلت أو رأي تم تبنيه.

نحن بالفعل قادمون للدولة البوليسية، أو الدولة الشرطيّة، وهي تلك الدولة التي تمارس فيها الحكومة إجراءات قمعية صارمة ضد المجتمع، تتحكم من خلالها في الحياة الاقتصادية، والاجتماعية، والسياسية. طبعا في وضع السودان الذريعة هي ظروف الحرب، والحاجة للأمن. وعادة تُظهر الدولة البوليسية عناصر من الشمولية، والسيطرة المقيتة، وعادة ما يكون هناك فرق صغير أو لا يوجد فرق بين القانون وممارسة السلطة السياسية من جانب السلطة التنفيذية، لحظة عودة الفراعنة والنازيين أمام صمت وتأييد الجميع.

 إن الحكم البوليسي يتولى فيه أشخاصٌ عسكريون، أو حزب واحد مقاليد الحكم والسيطرة، وهنا تتبع سياسات العنف والإقصاء والتهميش لبقية المكونات السياسية، وحتى المجتمعية المطالبة بالتغيير أو بالحقوق. ويمكننا ملاحظة هذه السياسات بوضوح في الأنظمة المنبثقة من انقلابات عسكرية خاصة في بلاد المسلمين على مر تاريخها الحديث.

فالنظام الأمني في تركيا بعد هدم الخلافة وما فعله المجرم مصطفى كمال، وفي العراق، وليبيا، ومصر، وسوريا، وغيرها، يتم استعمال جهاز الأمن للسيطرة على جميع مفاصل المجتمع، كذلك رسم توجهات المجتمع الدينية والسياسية والاقتصادية؛ ففي مصر على سبيل المثال يسيطر الجيش على المصانع، والمعامل، ويمتلك قوة اقتصادية هائلة، نستطيع أن نقول بأنها هي المسيطرة على سياسات الدولة الاقتصادية، وهذا يؤدي إلى تقسيم المجتمع إلى طبقات، أعلاها المتنفذون في الدولة، والعسكريون، وأصحاب رؤوس الأموال، وهذا يسبب أضراراً كبيرةً على فئاتٍ كثيرة وكبيرة من المجتمع، حيث إن البطالة تنخر المجتمع في مصر، وتسبب سخطاً وعدمَ رضا عام، فنجد عزوفا عن الزواج، والرغبة في الهجرة وترك البلاد، فإذا لم يكن هناك منفذ لضعاف الإيمان، فإنهم يتوجهون إلى الانتحار.

 وكذلك هناك دول بوليسية تنطلق من منطلقات دينية، وتتخذ من الدين ذريعة لفرض السيطرة، وتكميم الأفواه، فليس من المعقول أن يخالف أحدهم السلطة الدينية التي "تستمد شرعيتها من الله" كما تدعي هذه الأنظمة. وأفضل مثال على هذه الدول التي "تستمد شرعيتها من الله" هي إيران في وضعها الحالي عندما انتهجت هذا المنهج بعد الثورة المسماة (إسلامية)، وهيمنة نظام الولي الفقيه على مقاليد الحكم. وهذا النظام يستعمل النظام البوليسي والقمعي في تصفية معارضيه، حيث نجد أن إيران من أكثر الدول المنفذة لحكم الإعدام وخصوصا ضد الأكراد والعرب الإحوازيين والسنة. ومن أخطر التأثيرات على المجتمع الإيراني النفور من الدين وكذلك الشذوذ في كل مفاهيمه حتى باتت تشبه أوروبا في عصورها المظلمة.

 أما في كوريا الشمالية، فالاقتصاد هو السياسات التي تتبعها الدولة، فهذه السياسات تؤدي إلى أزمات مجتمعية متوالية ومتراكمة أهمها البطالة، الفقر، الخوف والانتحار.

إن الفراغ القيمي والمبدئي الذي يعيشه العالم، وتجاربه الفاشلة في إيجاد دولة نموذجية تقيم العدل، وتحفظ الأمن، دون تعسف ولا جور، يفرض حتمية وجود الدولة الإسلامية التي صهرت كل الاختلافات في بوتقتها، لأنها شغلت الناس بمعالي الأمور وأشرفها فانصرفوا يقيمون الحق ويوالونه، فأصبح الجميع في أمن وأمان.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

غادة عبد الجبار (أم أواب) – ولاية السودان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon