الغرض من زيارة رحمون لإيران
الغرض من زيارة رحمون لإيران

الخبر: في 16 أيار/مايو، عقد اجتماع لرؤساء أعضاء منظمة معاهدة الأمن الجماعي في موسكو. وقبل ذلك التقى الرئيس الروسي بوتين برحمون رئيس طاجيكستان. وكان الأمر يتعلق بتحديث الجيش الطاجيكي. حتى أثناء حديثه إلى الرؤساء الآخرين، ركز رحمون على مشاكله.

0:00 0:00
Speed:
June 23, 2022

الغرض من زيارة رحمون لإيران

الغرض من زيارة رحمون لإيران

(مترجم)

الخبر:

في 16 أيار/مايو، عقد اجتماع لرؤساء أعضاء منظمة معاهدة الأمن الجماعي في موسكو. وقبل ذلك التقى الرئيس الروسي بوتين برحمون رئيس طاجيكستان. وكان الأمر يتعلق بتحديث الجيش الطاجيكي. حتى أثناء حديثه إلى الرؤساء الآخرين، ركز رحمون على مشاكله.

بعد هذا الاجتماع، في 30 أيار/مايو، استقبل الرئيس الإيراني إبراهيم رئيسي، رئيس طاجيكستان، إمام علي رحمون، كما ذكرت وكالة إيرنا الإيرانية.

التعليق:

بالفعل لمدة 9 سنوات، قطع إمام علي رحمون العلاقات مع إيران واتّهمها بشدّة بدعم المنظمة (الإرهابية) حزب النهضة الإسلامية في طاجيكستان. إذن ما الذي دفعه للذهاب إلى إيران في تلك اللحظة بالذات؟

من أجل فهم أوضح لهذا الموضوع، نحتاج إلى معرفة أن أساس الصّراع بين إيران وطاجيكستان كان بسبب حزب النهضة الإسلامية في طاجيكستان. على الرّغم من أن ذلك الحزب يلتزم بالأساليب الديمقراطية للوصول إلى السلطة، ولكن له من يدعمه، كيف أخافت إيران حكومة رحمون؟ من أجل القضاء على هذا الحزب المعارض، قرر رحمون أن يتقدم عليهم قبل أن يحصلوا على موطئ قدم في جميع هياكل السلطة، وخاصة في الجيش. وحكم على العديد من أعضاء هذا الحزب بأحكام طويلة، وانتقل زعيم الحزب وآخرون إلى دول مختلفة، وحصل عدد كبير، بمن فيهم زعيم هذا الحزب، على حق اللجوء في دول أوروبية.

من هناك، واصلوا أنشطتهم بالعمل من خلال مواقع التواصل، وحاولوا إيجاد رأي عام ضد الرئيس وعائلته وجعل الناس يجرؤون على الوقوف ضد النظام، لكن عملهم لم يؤدّ إلى النتائج التي توقعوها.

لذلك، في 9 أيار/مايو أجرى زعيم هذا الحزب محيي الدين الكبيري مقابلة مع راديو ليبرتي وقال إن نشاطهم الأيديولوجي والسياسي لم يؤدّ إلى نتائج وأن النظام لا يفهم إلا لغة قتاله بالقوة والأسلحة. وأضاف بشأن فتح جناح عسكري وأنهم في المستقبل لن يمنعوا الناس من حمل السلاح.

أخبر كبيرى أيضاً منشورات قريبة من المعارضة أنه "قبل بضع سنوات، تمّ رفض استخدام القوة والأسلحة من قبل غالبية القوى السياسية الطاجيكية، بما في ذلك حزب النهضة الإسلامية في طاجيكستان، ولكن بعد الأحداث في أوكرانيا، تغير العالم".

كان التهديد لنظام رحمون داخلياً وخارجياً. فمن ناحية، كان نظامه خائفاً من طالبان التي وصلت إلى السلطة في أفغانستان، وبعد كلام كبيري، حتى في الداخل بعد أحداث غورنو بدخشان.

لذلك، في اجتماع منظمة معاهدة الأمن الجماعي، اعتمد رحمون على حقيقة أن هذه المنظمة ستساعده في حالة طالبان، وفي حالة وجود أي شيء، مع الأعداء الداخليين.

لسنوات عديدة لم ترغب طاجيكستان في الانضمام إلى منظمة معاهدة الأمن الجماعي في إيران. على ما يبدو، بعد هذه الأحداث، أخبر بوتين خادمه رحمون أن الوقت قد حان لكي يجتمع مع إيران.

وفي هذا الصدد، استقبل رئيس طاجيكستان إمام علي رحمون في 18 أيار/مايو رئيس أركان القوات المسلحة الإيرانية محمد بوكيري.

يذكر أن محمد بوكيري شارك في حفل افتتاح مصنع أبابيل 2 لإنتاج الطائرات بدون طيار.

وقال بوكيري: "اليوم، نحن في وضع يمكننا من خلاله تصدير المعدات العسكرية لتلبية الاحتياجات المحلية للدول الحليفة والصديقة من أجل تحسين الأمن وتعزيز السلام"، واصفاً افتتاح المصنع في طاجيكستان بأنه "نقطة تحول في التعاون العسكري بين البلدين".

تم تصميم الطائرات بدون طيار أبابيل-2 في المقام الأول للمراقبة وجمع المعلومات الاستخبارية. لكن يمكن أيضاً تجهيزها بالمتفجرات واستخدامها كطائرات كاميكازي قتالية بدون طيار، وتحويلها إلى صاروخ موجه. مدة رحلة "أبابيل 2" تصل إلى 1.5 ساعة، وتصل أقصى سرعة تحليق إلى 220 كم / ساعة. ويمكن أن يكون التحكم فيها عن بعد أو تلقائياً.

كما عقد رئيس أركان القوات المسلحة الإيرانية اجتماعات مع وزير الدفاع الطاجيكي شيرالي ميرزو ورئيس لجنة الدولة للأمن القومي في البلاد سايمن ياتيموف.

على ما يبدو، من المربح أكثر لإيران أن تتعاون مع نظام رحمون بدلاً من الخلاف حول حزب النهضة الإسلامية في طاجيكستان، علاوة على ذلك، في إحدى محادثاته عبر الإنترنت مع مجموعة من الطلاب والأساتذة من إحدى الجامعات الإيرانية، أوضح محيي الدين كبيري، زعيم التحالف الوطني في طاجيكستان وزعيم حزب النهضة الإسلامية في طاجيكستان، العديد من القضايا المتعلقة بعلاقات حزب النهضة الإسلامية في طاجيكستان مع إيران. لم ينكر كبيري فقط بشكل قاطع أن إيران تقدم الدعم والمساعدة لحزب النهضة الإسلامية في طاجيكستان، بل علاوة على ذلك، تعتمد على إيران، لكنه اتهم أيضاً جمهورية إيران الإسلامية بالفشل في الوفاء بالتزاماتها كضامن للسلام بين الطاجيكيين.

للأسف فإن الأحزاب الإسلامية تدرك خطأها بعد فوات الأوان. إنهم لا يؤسسون أنشطتهم على أساس مبدأ الإسلام، فيعانون في النهاية.

لطالما حذر حزبُ التحرير حزبَ النهضة الإسلامية في طاجيكستان من العمل مع النظام في البرلمان، ويذكره اليوم بترك الآراء القومية والعمل لاستئناف الحياة الإسلامية بإقامة الخلافة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

مبين أبو داود

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon