الحفيد الذي سوف يخجل أجداده منه (مترجم)
الحفيد الذي سوف يخجل أجداده منه (مترجم)

بعد شهور من عرقلة مفاوضات تركيا للانضمام إلى الاتحاد الأوروبي وأزمة الهجرة المتنامية، زارت المستشارة الألمانية أنجيلا ميركل أنقرة الأسبوع الماضي.

0:00 0:00
Speed:
November 01, 2015

الحفيد الذي سوف يخجل أجداده منه (مترجم)

الخبر:

بعد شهور من عرقلة مفاوضات تركيا للانضمام إلى الاتحاد الأوروبي وأزمة الهجرة المتنامية، زارت المستشارة الألمانية أنجيلا ميركل أنقرة الأسبوع الماضي. وقد عرضت المساعدة في إحياء المحادثات المتوقفة لعضوية تركيا في الاتحاد الأوروبي، إذا تعاونت تركيا في إيقاف تدفق المهاجرين إلى أوروبا.

وقال الرئيس التركي أردوغان: "إن أمن واستقرار الغرب وأوروبا يتوقف على أمننا واستقرارنا. لقد قبلوا بهذا الآن. في المفاوضات التي أجريتها في بروكسل الأسبوع الماضي قبلوا بكل هذا. لا يمكن أن يتم هذا بدون تركيا. لذلك فإن كان حدوثه بدون تركيا غير ممكن فلم لا تضمون تركيا للاتحاد الأوروبي؟ (المصدر: يورونيوز)

التعليق:

إن من المحزن للغاية أن نرى، سليل الخلفاء العثمانيين من أرض الخلافة العثمانية السابقة يتاجر برعاية اللاجئين من أجل الحصول على إذن من الاتحاد الأوروبي للمشاركة في هذه الوحدة، والذي ليس لديه أية علاقة مشتركة مع قيم شعب تركيا المسلم.

ومن المحزن للغاية أن نرى، حكام تركيا الذين استقرت سلطتهم على العاصمة السابقة للخلافة في اسطنبول يستخدمون قضية رعاية اللاجئين كأداة في حملاتهم الانتخابية للبرلمان، والذي سوف يقر قوانين غير إسلامية سينفذها هؤلاء الحكام على المسلمين في تركيا.

ومن المحزن للغاية أن نرى، هؤلاء الحكام فيما هم مطالبون بإنقاذ الشعب التركي المسلم من الذل نراهم يطأطئون رؤوسهم لعقود طالبين الإذن للانضمام إلى الاتحاد الأوروبي. وبرغبتهم الانضمام إلى الاتحاد الأوروبي فإنهم يهددون أوروبا بأن تركيا ستنضم إلى منظمة شنغهاي للتعاون إذا رفضت أوروبا قبولها، في حين أن منظمة شنغهاي للتعاون هي منظمة تقودها روسيا، المعروفة بجرائمها ضد المسلمين داخل وخارج حدودها.

ومن المحزن للغاية أن نرى، كيف أن تركيا الحديثة، حاضرة الخلافة سابقا، أصبحت أداة في الصراع الأمريكي الأوروبي وتستخدم من قبل أمريكا لخلق مشاكل اقتصادية وعرقية داخل أوروبا عن طريق تدفق اللاجئين. ومن المعروف أنه في الأشهر الأخيرة سمحت تركيا للاجئين بالتسلل إلى حدودها الغربية، في حين أنها خلقت العقبات أمام لاجئي سوريا للحصول على تصاريح الإقامة، التي تمنحهم الحق في العمل بشكل قانوني واستخدام الرعاية الطبية. من ناحية أخرى، ومن أجل توسيع الانقسام في الاتحاد الأوروبي فإن أمريكا تريد انضمام تركيا إلى الاتحاد الأوروبي، حيث إن تركيا شريك موثوق ومنقاد لأمريكا.

ومن المحزن للغاية أن نرى، رئيس دولة سكانها مسلمون يريدها أن تكون مخفرا لحماية أمن دول الكفر. فضد أي عدو سيستخدم هذا المخفر وفقا لأردوغان؟ هل ضد المسلمين؟ إن على أردوغان أن يخجل من نفسه لتحيره على أي جانب من الحاجز يقف. ألا ينبغي لتركيا أن تكون مخفرا لحماية أمن الأمة الإسلامية من الهجمات والجرائم التي تسببت فيها الدول الغربية في العالم الإسلامي، كما كانت على مدى قرون من الزمن في ظل الخلافة العثمانية؟

إن دعم الأسد من قبل الدول الغربية بقيادة أمريكا ضد المسلمين في سوريا هو السبب الحقيقي لما يقوم به الأسد من تهجير المسلمين من سوريا بكل الوسائل، بينما يتم إزاحة جميع الخطوط الحمراء عندما ينتهكها هذا المجرم. إن هذا الدعم هو الذي أوجد تدفق موجات الملايين من اللاجئين إلى تركيا ولبنان والأردن وغيرها من البلدان.

فهل أردوغان وأنصاره ليس لديهم أي وعي سياسي لكي يدركوا أن الاتحاد الأوروبي سوف لن يسمح بانضمام تركيا إليه في أي ظرف من الظروف؟ ألا يدركون أن الاتحاد الأوروبي لا يريد سوى تقويض استقرار تركيا اقتصاديا وسياسيا بسجن اللاجئين داخل الحدود التركية؟ وقد ثبت ذلك من خلال الإهانة السافرة التي تلقتها القيادة التركية في 25 تشرين الأول/أكتوبر في بروكسل، عندما لم يُدع الوفد التركي إلى قمة الاتحاد الأوروبي حول اللاجئين.

بدلا من التسول وراء أبواب هذه الاتحادات كالاتحاد الأوروبي، ومنظمة شنغهاي للتعاون لعقود للمساومة في قضية اللاجئين، يجب على أردوغان العودة إلى تطبيق الإسلام في القضايا الخارجية بتوحيد كافة البلاد الإسلامية وإعلان الوحدة الإسلامية الحقيقية التي هي الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة. إن نصوص القرآن والسنة تطلب منه كحاكم يمتلك آلة الجيش والدولة تعبئتها من أجل إنقاذ المسلمين في سوريا. إن الإسلام يطالبه بحشد الجيش التركي الشجاع، لدخول سوريا والقضاء على النظام السوري، والذي هو السبب الحقيقي لأزمة اللجوء، ونتيجة لذلك ستنتهي الثورة السورية النبيلة بإقامة دولة إسلامية حقيقية على منهاج النبوة. أزمة اللجوء السورية تحتاج إلى حل جذري وليس إلى تخدير آخر يخدم مصالح أجنبية للقوى العظمى العدائية.

في الختام، أود أن أناشد بعض المسلمين الذين تغرهم خطابات أردوغان الإسلامية.

أيها الإخوة الأعزاء،

لا ينبغي لنا أن ننخدع بتحركات وتصريحات أردوغان كمبادرته تلك في دافوس، ووعده بوقف حدوث أية مجزرة، كتلك التي حدثت في حماة، وبكلماته "لو كانت تركيا في أوائل التسعينات بقوة اليوم، فإن نزاع ناغورني كاراباخ لم يكن ليحدث".

هذه التصريحات والتحركات المتخذة لحماية المسلمين تستحق الثناء لو كانت آتية من قبل مسلم عادي، ولكن عندما نتحدث عن حاكم يمتلك جيشا مسلما شجاعا، فإن رد الفعل المناسب بالنسبة له هو تعبئة جيشه وليس استخدام الكلمات والمبادرات. هكذا كان رد فعل السلف الصالح من أردوغان والمسلمين الأتراك، ورد الفعل هذا ينبغي أن تنفذه ذرياتهم في جميع الأوقات إلى يوم القيامة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فضل أمزاييف

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في أوكرانيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon