الحكام الخونة يواصلون تعاونهم مع كيان يهود ويذرفون علنا دموع التماسيح
الحكام الخونة يواصلون تعاونهم مع كيان يهود ويذرفون علنا دموع التماسيح

في كانون الأول ارتفعت الصادرات إلى كيان يهود بنسبة 34.5 بالمئة مقارنة بالشهر الماضي لتصل إلى 429 مليون دولار. أما الصادرات، التي انخفضت بنسبة 18.5 بالمئة في كانون الثاني، فقد ارتفعت بنسبة 20.7 بالمئة في شباط لتصل إلى 422.2 مليون دولار. وفي عام 2023، صدرت تركيا إلى كيان يهود ما قيمته 5.43 مليار دولار. في المقابل، وبحسب سجلات وزارة الزراعة في كيان يهود، أصبحت تركيا مع الأردن أول دولتين ترسلان أكبر قدر من الخضار والفواكه إلى كيان يهود منذ السابع من تشرين الأول/أكتوبر 2023. (03/03/2024م)

0:00 0:00
Speed:
March 08, 2024

الحكام الخونة يواصلون تعاونهم مع كيان يهود ويذرفون علنا دموع التماسيح

الحكام الخونة يواصلون تعاونهم مع كيان يهود ويذرفون علنا دموع التماسيح

الخبر:

في كانون الأول ارتفعت الصادرات إلى كيان يهود بنسبة 34.5 بالمئة مقارنة بالشهر الماضي لتصل إلى 429 مليون دولار. أما الصادرات، التي انخفضت بنسبة 18.5 بالمئة في كانون الثاني، فقد ارتفعت بنسبة 20.7 بالمئة في شباط لتصل إلى 422.2 مليون دولار. وفي عام 2023، صدرت تركيا إلى كيان يهود ما قيمته 5.43 مليار دولار. في المقابل، وبحسب سجلات وزارة الزراعة في كيان يهود، أصبحت تركيا مع الأردن أول دولتين ترسلان أكبر قدر من الخضار والفواكه إلى كيان يهود منذ السابع من تشرين الأول/أكتوبر 2023. (03/03/2024م)

التعليق:

في الوقت الذي يستمر فيه حكام البلاد الإسلامية الخونة والمتعاونون في ذرف دموع التماسيح علانية، يواصلون إعطاء قُبلة الحياة لكيان يهود ومده بأسباب الحياة. وفي الوقت الذي ترسل فيه تركيا والأردن سفنهما وطائراتهما المحملة بالمواد الغذائية والمؤن للإبقاء على كيان يهود القاتل المجرم على قيد الحياة ولضمان بقائه، تحاول مصر إنقاذ كيان يهود المسخ من المأزق الذي وقع فيه، من خلال منع حدوث أي انتفاضة شعبية إسلامية عارمة محتملة، في وقت تكون فيه مشاعر المسلمين في ذروتها، سيما وهو مقبلون على شهر رمضان، كما تعمل مصر جاهدة للتوصل لوقف إطلاق نار بين كيان يهود وحماس. وهذا إن دل على شيء فإنما يدل على أن الدموع التي يذرفها حكام البلاد الإسلامية العملاء على جرائم الإبادة الجماعية التي يتعرض لها المسلمون في غزة وفلسطين، والمسيرات والمظاهرات التي ينظمونها، ما هي إلا كذب وخداع للرأي العام.

إن ما تسمى بـ"الجهود" التي يبذلونها ليست هي بدافع اهتمامهم بالمسلمين، بل بسبب تخوفهم من أن تزيل هذه الكارثة عروشهم وكراسيهم وأن تُدفن أنظمتهم تحت وطأة هذه الكارثة وتحت أنقاض غزة. وخير دليل على ذلك التحذيرات التي أطلقتها وزارة الخارجية التركية، حيث قالت: "على العالم أجمع أن يدرك أن الوحشية التي تجري في غزة على وشك أن تتحول إلى كارثة عالمية ستتجاوز تداعياتها حدود المنطقة".

ولو أنهم اتخذوا حديث الرسول ﷺ، الذي يقول فيه: «لَزَوَالُ الدُّنْيَا أَهْوَنُ عِنْدَ اللهِ مِنْ قَتْلِ رَجُلٍ مُسْلِمٍ»، شعارا لهم لحشدوا جيوشهم واستأصلوا كيان يهود من جذوره في معركة عين جالوت الثانية، بدلاً من إرسال الطعام والماء والخضار للكيان الذي يقوم بارتكاب المجازر المروعة ضد المسلمين. وإذا كانوا يزعمون أن ذلك مستحيل بسبب ضعف عقولهم، فعليهم على الأقل أن يقطعوا جميع العلاقات الدبلوماسية والتجارية مع كيان يهود. لكننا نرى أنهم، بدلاً من ذلك، زادوا وحافظوا على تجارتهم معه.

إن أردوغان الذي دعا الأمة إلى فرض حظر ومقاطعة بضائع كيان يهود من خلال بلديات حزب العدالة والتنمية، يوفر كل مقومات الحياة لهذا الكيان الغاشم الذي يمارس القتل الجماعي بحق الأمة، وهذا يكشف مدى خيانته وعمالته تجاه المسلمين بشكل عام وأهل فلسطين بشكل خاص. إن إعانة القاتل على قتل إخوة الدين، الذين يدعي زوراً وبهتانا الانتماء إليهم، بتوفير الماء والغذاء للقاتل يدل على أنه باع دينه وأمته من أجل دنياه، لا لشيء إلا للحفاظ على بقاء كيان يهود ومصالح سيده أمريكا. وهو بهذا أصبح أسيراً ودميةً بيد أمريكا.

هل يتم إنتاج أسلحة (KAAN) و(AKINCI) و(SİHA) و(BAYRAKTAR) و(TCG ANADOLU) و(ALTAY) وغيرها من الأسلحة الدفاعية والأمنية فقط للدعاية الانتخابية والزيارات العامة؟!

يا أردوغان! هذه الأسلحة التي تتفاخر بها لماذا هي موجودة، وهل هي موجودة لملء جيوبك أو للحفاظ على مكانتك؟!

وفي وضعهم الحالي، فإن أردوغان وغيره من حكام البلاد الإسلامية لا يستطيعون تحرير الأراضي الإسلامية المحتلة، وخاصة فلسطين، لا لشيء إلا لأنهم عملاء لأمريكا وبريطانيا. ولا يمكن لهم أن يكونوا بلسماً لجراحهم أو حلاً لمشاكلهم. إن الذي يلقن مغول وصليبيي اليوم اليهود هم حكامٌ وقادةٌ أمثال صلاح الدين وبيبرس وقطز وليس أمثال أردوغان والسيسي والملك عبد الله، الذين يفتقرون إلى الإرادة وخيوطهم بأيدي أسيادهم. ومن غير الممكن أن يوجد مثل هؤلاء القادة العظام في ظل الأنظمة العلمانية الغربية، وأفضل دليل على ذلك هو أنه لم يظهر ولا شخص واحد من مثل هؤلاء القادة العظام خلال العقود التي تلت سقوط الخلافة. ولهذا لا يظهر هؤلاء القادة إلا في دولة الخلافة الراشدة. فوجود كيان يهود مرتبط بغياب الخلافة، وزواله مرتبط بوجود الخلافة. ولذلك عندما تقوم الخلافة سيختفي كيان يهود. كما ينبغي على المسلمين أن يطلبوا النصرة من الجيوش لإقامة الخلافة الراشدة في هذه الأيام التي نقترب فيها من شهر رمضان، حيث تعيش جيوش المسلمين أيضا أجواءً إيمانية وعاطفية جياشة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أرجان تكين باش

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon