الحكام والرأسماليون يتقاسمون الملكية العامة فيما بينهم
الحكام والرأسماليون يتقاسمون الملكية العامة فيما بينهم

الخبر: قالت شركة بحوث هيندنبورغ إن التحقيق الذي أجرته لمدة عامين، والذي نُشر في 24 كانون الثاني/يناير، أظهر أن مجموعة أداني، التي يقودها ثالث أغنى شخص في العالم غوتام أداني، متورطة في "تلاعب فاضح في الأسهم" و"مخطط احتيال محاسبة". وقد أدى الانهيار في أسهم أداني إلى إلحاق الضرر بالأسواق الهندية على نطاق أوسع أيضاً. (بلومبرج)

0:00 0:00
Speed:
March 16, 2023

الحكام والرأسماليون يتقاسمون الملكية العامة فيما بينهم

الحكام والرأسماليون يتقاسمون الملكية العامة فيما بينهم

(مترجم)

01

الخبر:

قالت شركة بحوث هيندنبورغ إن التحقيق الذي أجرته لمدة عامين، والذي نُشر في 24 كانون الثاني/يناير، أظهر أن مجموعة أداني، التي يقودها ثالث أغنى شخص في العالم غوتام أداني، متورطة في "تلاعب فاضح في الأسهم" و"مخطط احتيال محاسبة". وقد أدى الانهيار في أسهم أداني إلى إلحاق الضرر بالأسواق الهندية على نطاق أوسع أيضاً. (بلومبرج)

التعليق:

أصبح غوتام أداني، مؤسس ورئيس مجلس إدارة مجموعة أداني، ثالث أغنى رجل في العالم في غضون 3 سنوات فقط. فمنذ عام 2018، ارتفعت خمسة أسهم من شركة أداني في أي مكان ما بين 1200٪ إلى 7992٪. وبلغت ثروته في عام 2022، 136.1 مليار دولار، وأضاف 65 مليار دولار إلى ثروته في العام نفسه، ما جعله ثالث أغنى رجل بعد أيلون ماسك وجيف بيزوس. على الجانب الآخر، شهدت المجموعة التي يقودها زيادة في مستويات ديونها على مدار السنوات الخمس الماضية من 1 ألف كرور روبية إلى 2.2 كرور روبية اعتباراً من آذار/مارس 2022. وقد أصبح الاستثمار العام في شركة التأمين على الحياة وبنك الدولة الهندي رأس مال أداني بواسطة شركة التأمين على الحياة وبنك الدولة الهندي تشتري أسهماً ضخمة. حيث قدم بنك الدولة الهندي مبلغ 1 مليار دولار لمجموعة أداني كقرض لمشاريعه في أستراليا.

المساهم الأساسي في نمو أداني السريالي هو حزب بهاراتيا جاناتا الحاكم وسياساته الرأسمالية. لعبت الخصخصة دوراً رئيسياً في نمو أداني مثل Adani Enterprises وRajasthan Govt وقّعتا اتفاقا لتكوين مشروع مشترك لإنشاء حديقة للطاقة الشمسية والتي أعطت ازدهاراً لقطاع أداني الأخضر وأصبح أكبر لاعب متجدد. وتم منح المطارات والموانئ في المدن الرئيسية لمجموعة أداني من طرف حزب بهاراتيا جاناتا الحاكم. مودي متهم بمساعدة أداني في الحصول على صفقات مربحة لمشروعات الفحم والطاقة المتجددة في سريلانكا وبنغلادش المجاورتين. أصبحت العلاقة بين رئيس الوزراء مودي وأداني مثيرة للجدل وموضوع النقاش الحالي في الهند. اعتاد أداني على مرافقة رئيس الوزراء مودي خلال زياراته الرسمية وهي ليست بروتوكولا إلى جانب ذلك، بعد كل زيارة، هو نمط يفوز أداني بعقد من الدولة الزائرة. كما أثار زعيم المعارضة قلقاً بشأن الأمر نفسه في البرلمان. واجهت مجموعة أداني مراراً وتكراراً مزاعم بالفساد وغسل الأموال وسرقة أموال دافعي الضرائب، بإجمالي يقدر بنحو 17 مليار دولار أمريكي. التحقيقات إما أوقفتها أو أعاقتها مختلف أذرع الحكومة الديمقراطية الهندية.

سياسة الاقتصاد الرأسمالي مادية، وتجاهل المفهوم الروحي ينتج المزيد لتغذية العقيدة البشرية. هذه الصيغة لا تهتم بتوزيع الثروة بين الناس وتشجيع بقاء الأصلح. تسعى الأنظمة الرأسمالية إلى الكفاية المعيشية من خلال الإجراءات التي تحركها المصلحة الذاتية، ولهذا السبب فإنها مشغولة بالبطالة والتلوث والفقر غير المنضبط؛ عادة ما تكون اللوائح والأنظمة الخاصة بتصحيح أوجه القصور في الرأسمالية غير فعالة لأن أولئك الذين يطبقونها تحكمهم قيم خاطئة لا تهتم بالإنسان. أحد الأمثلة الأولية هو أن الثروة الإجمالية لأغنى 100 شركة هندية زادت من حوالي 25 كرور روبية إلى أكثر من 32 كرور روبية بين عامي 2014 و2019 وهو ما يمثل 34٪ من الناتج المحلي الإجمالي للهند والذي كان 147.79 كرور روبية في ذلك الوقت. هذا مقياس لدرجة عدم المساواة العالية في البلدان الديمقراطية بسبب المبادئ الرأسمالية.

يختلف النظام الاقتصادي الإسلامي جوهرياً عن نظام الرأسمالية. فالإسلام يسمح بالملكية الخاصة والعامة لأنواع محددة من الممتلكات والموارد. تعد الملكية متعددة الأوجه، والحرية الاقتصادية ضمن حدود الشريعة، والعملة ذات الغطاء التام من الذهب والفضة من أساسيات الاقتصاد الإسلامي. يؤكد الاقتصاد الإسلامي على تشجيع التوزيع والقيم غير الفردية ومحاربة الكنز. قال الله تعالى في القرآن الكريم: ﴿وَلِلَّهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَاللهُ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ﴾.

المال هو مال لله، والإنسان مستخلف على أموال يكون مسئولاً عنها أمام الله، وفقاً للأحكام التي حددتها الشريعة بوضوح. لذلك فإن الملكية المطلقة للإنسان هي مفهوم غريب في الإسلام، لأنها ملك لله وحده. يسمح الإسلام بزيادة الثروة في حدود معقولة، لكنه لا يتسامح مع هذا الاختلاف المتزايد لدرجة أن بعض الناس يقضون حياتهم في الرفاهية والراحة، في حين تُترك الغالبية العظمى من الناس ليعيشوا حياة البؤس والجوع والفقر. لا يمكن تحقيق العدالة الاقتصادية إلا من خلال إقامة إصلاحات مؤسسية مثل جمع الزكاة، وتحريم الربا، والعملة ذات الغطاء من الذهب والفضة، وغير ذلك مما نصّ عليه الإسلام. يحرم الإسلام على الحكّام نهب ثروات عامة الناس من حيث الضرائب أو الربا وتقاسمها بين الرأسماليين وأنفسهم، بل يوفر "القرض الحسن"، وهو قرض لا يتقاضى بموجبه المُقرض أي ربا أو مبلغ إضافي على المال المُقرَض. منذ هدم دولة الخلافة العثمانية في 3 آذار/مارس 1924م، جلب العالم بقيادة الرأسماليين الغربيين (في البداية بريطانيا تلتها أمريكا) البؤس للعالم. لن يتمّ التراجع عنها إلاّ عندما يقيم المسلمون دولة الخلافة، ويسعون لإزالة الهيمنة الغربية في بقية العالم، بإذن الله.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد الخالق – الهند

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon