الإسلام وحده هو الذي يملك الحل الحقيقي للأمن الغذائي في أفريقيا
الإسلام وحده هو الذي يملك الحل الحقيقي للأمن الغذائي في أفريقيا

الخبر:   استضافت تنزانيا في الفترة من 5 إلى 8 أيلول/سبتمبر 2023، القمة السنوية الثالثة عشرة لمنتدى النظم الغذائية الأفريقية. وهو حدث مختلط يضم أكثر من 350 متحدثاً وأكثر من 3000 مشارك من أكثر من 70 دولة، تحت عنوان "التعافي والتجديد والعمل: حلول أفريقيا لتحويل النظم الغذائية"، ويركز على إعادة بناء أنظمة غذائية أفضل وسيادة غذائية مع الشباب والنساء في المؤتمر في المركز.

0:00 0:00
Speed:
September 17, 2023

الإسلام وحده هو الذي يملك الحل الحقيقي للأمن الغذائي في أفريقيا

الإسلام وحده هو الذي يملك الحل الحقيقي للأمن الغذائي في أفريقيا

(مترجم)

الخبر:

استضافت تنزانيا في الفترة من 5 إلى 8 أيلول/سبتمبر 2023، القمة السنوية الثالثة عشرة لمنتدى النظم الغذائية الأفريقية. وهو حدث مختلط يضم أكثر من 350 متحدثاً وأكثر من 3000 مشارك من أكثر من 70 دولة، تحت عنوان "التعافي والتجديد والعمل: حلول أفريقيا لتحويل النظم الغذائية"، ويركز على إعادة بناء أنظمة غذائية أفضل وسيادة غذائية مع الشباب والنساء في المؤتمر في المركز.

التعليق:

منتدى النظم الغذائية الأفريقية هو المنتدى الأول في العالم للزراعة والنظم الغذائية الأفريقية، حيث يجمع أصحاب المصالح لاتخاذ إجراءات عملية وتبادل الدروس التي من شأنها دفع النظم الغذائية الأفريقية إلى الأمام.

بحسب منتدى النظم الغذائية الأفريقية؛ يدعو التعافي إلى استراتيجيات وإجراءات حاسمة لإعادة بناء النظم الغذائية، ويؤكد مشروع التجديد على الحاجة إلى تجديد موارد رأس المال الطبيعي من خلال ممارسات التكيف والابتكار والتكنولوجيا لإنتاج الغذاء المستدام في سياق مناخي متغير، ويحث القانون على اتخاذ إجراءات عاجلة لتسريع تحويل النظم الغذائية عبر تحسين النظم الغذائية من خلال السياسات والممارسات والاستثمارات.

وفقاً لبرنامج التنمية الزراعية الشاملة لأفريقيا، تمتلك أفريقيا حوالي 874 مليون هكتار من الأراضي الصالحة للزراعة، و83% منها تتمتع بخصوبة تربة عالية لتحقيق إنتاجية عالية ومستدامة. كما أنها تضم أكثر من 67 نهراً رئيسياً و63 حوضاً نهرياً عابراً للحدود. باختصار، تحتوي على 65% من الأراضي الصالحة للزراعة في العالم و19% من المياه العذبة المتجددة في العالم متوفرة في أفريقيا.

وفيما يتعلق بالأطعمة البحرية، فإن 27 دولة أفريقية يحدها المحيط الأطلسي، و13 دولة يحدها المحيط الهندي، و5 حدودها مع البحر الأبيض المتوسط، و4 مع البحر الأحمر.

من حيث الموارد البشرية، تعد أفريقيا موطناً لـ1.3 مليار نسمة، حوالي 70% منهم من الشباب الذين تقل أعمارهم عن 30 عاماً. علاوة على ذلك، يوجد فيها 40% من الذهب العالمي، و90% من الكروم والبلاتين في العالم، وأكبر احتياطي من الكوبالت واليورانيوم في أفريقيا.

وعلى الرغم من كل هذه الإمكانات، لا تزال أفريقيا تواجه انعدام الأمن الغذائي والجوع والمجاعة. حيث إن أكثر من 140 مليون شخص في أفريقيا يعانون من الجوع، وقد وصلت الصومال مؤخراً إلى مستويات كارثية حيث يعاني ما يقدر بنحو 6.5 مليون شخص من أزمة الغذاء، و17.5 مليون شخص ليس لديهم ما يكفي من الطعام في نيجيريا، وفي مدغشقر يواجه 7.8 مليون شخص انعدام الأمن الغذائي، ويعاني 22.7 مليون شخص في إثيوبيا من انعدام الأمن الغذائي. وتعد منطقة جنوب الصحراء الأفريقية الكبرى واحدة من الأزمات الغذائية الأكثر إثارة للقلق منذ عقود حيث يعاني ما يقرب من 146 مليون شخص من انعدام الأمن الغذائي الحاد. وفي مختلف أنحاء القارة الأفريقية، يساهم الجوع بما يصل إلى 45% من وفيات الأطفال.

إن منتدى النظم الغذائية الأفريقية، مثله مثل أي مبادرة أخرى، لن ينجح في تأمين أفريقيا والعالم من الجوع وانعدام الأمن الغذائي لأن جميع المبادرات لم تصل إلى السبب الجذري الحقيقي لأزمة الغذاء في أفريقيا، وبالتالي تقترح الحلول الكريمة. وبدلاً من ذلك يقترحون حلولاً رأسمالية ويفكرون ضمن حدود الرأسمالية، اعتماداً على الحلول الاستعمارية الغربية لمشاكلهم.

لقد ساهمت الصناعات الرأسمالية الغربية بشكل كبير في التغير المناخي في أفريقيا، ما تسبب في حدوث طقس متطرف أدى إلى صدمات ناجمة عن المناخ للنظام الغذائي والتي تحدث الآن مرة واحدة كل عامين ونصف تقريباً، وهو أمر متكرر جداً أكثر من أي وقت مضى.

وتواجه أفريقيا ارتفاع أسعار المواد الغذائية وانخفاض أسعار منتجاتها الزراعية في السوق العالمية بسبب النظام الاقتصادي الاستعماري الاستغلالي الذي جعل أفريقيا بمثابة المزرعة للغرب التي يأتي إليها المستعمرون ويستغلون مواردها ما يجعلها أفقر قارة في العالم.

إذا تم تنظيم القطاع الزراعي الأفريقي بشكل جيد، فلن يتمكن من حل أزمة الغذاء في أفريقيا فحسب، بل العالم بأسره، ولا يمكن تحقيق ذلك إلا من خلال الإسلام. ففي ظل دولة الخلافة، لن تتاح للدول الاستعمارية الغربية أي فرصة للسيطرة على سياساتنا وخططنا وبرامجنا الزراعية. السياسات الزراعية الإسلامية مثل فرض التغذية، وإحياء الأراضي القاحلة، والتوزيع العادل للغذاء، وتمويل المشاريع الزراعية الصغيرة والكبيرة، وما إلى ذلك. ومن شأن سياسات الاكتفاء الذاتي المستقلة عن الدول الغربية أن تضمن إنتاجاً غذائياً وفيراً، وتزيد من الإمكانات الزراعية للأمة مثل صناعات الثروة الحيوانية والمنتجات الزراعية المصنعة لإطعام الجوعى وخلق فرص العمل.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سعيد بيتوموا

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في تنزانيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon