الجرس وواقع مواقع التواصل الإلكتروني المرير في إندونيسيا
الجرس وواقع مواقع التواصل الإلكتروني المرير في إندونيسيا

الخبر:   غرد خبير اقتصادي إندونيسي معروف بانتقاداته - كويك كيان جي على هذا النحو "لم أشعر أبداً بالخوف في هذه المرحلة من التعبير عن رأي مختلف بنوايا حسنة لتوفير البدائل. على الفور تعرضتُ لهجوم عنيف في كل مكان، وتمزقت الخصوصية الشخصية"، كما جاء في تغريدته في أوائل شباط/ فبراير. 2021. يمثل هذا البيان حقاً الوضع الاجتماعي والسياسي الحالي في إندونيسيا والذي يميل إلى أن يكون مليئا بالخلل. ...

0:00 0:00
Speed:
February 20, 2021

الجرس وواقع مواقع التواصل الإلكتروني المرير في إندونيسيا

الجرس وواقع مواقع التواصل الإلكتروني المرير في إندونيسيا

(مترجم)

الخبر:

غرد خبير اقتصادي إندونيسي معروف بانتقاداته - كويك كيان جي على هذا النحو "لم أشعر أبداً بالخوف في هذه المرحلة من التعبير عن رأي مختلف بنوايا حسنة لتوفير البدائل. على الفور تعرضتُ لهجوم عنيف في كل مكان، وتمزقت الخصوصية الشخصية"، كما جاء في تغريدته في أوائل شباط/ فبراير. 2021. يمثل هذا البيان حقاً الوضع الاجتماعي والسياسي الحالي في إندونيسيا والذي يميل إلى أن يكون مليئا بالخلل.

وفقاً لما أوردته كومباس في 11 شباط/فبراير، قال خبير الاتصالات والثقافة الرقمية من جامعة إندونيسيا فيرمان كورنياوان إن أجهزة التنبيه لها تأثير كبير جداً في العصر الرقمي الحالي. لا تزال ثقافة دعم الرأي على وسائل التواصل في مستوى معقول، ولكن في الواقع، هناك طرف واحد يبدأ باختلاق الدعم، ويمكنه استخدام إنذارات مدفوعة الأجر، ويمكنه استخدام الروبوتات لتشكيل أجواء معينة. نتيجة لذلك، يصبح الجرس غير طبيعي وخطيراً عند إجراء هندسة الرأي المصحوبة بالترهيب والخداع (نشر البيانات الشخصية في الفضاء الإلكتروني بهدف مهاجمة أو قتل شخص ما)، والسبب هو أنهم يختلقون أيضاً حقائق لا تتناسب مع الموقف أو تزور الواقع.

التعليق:

ديستوبيا هي جماعة أو مجتمع غير مرغوب فيه أو مخيف، على عكس المدينة الفاضلة. عندما تكون التكنولوجيا في أيدي الفاعلين الخطأ، وتستخدم في حضارة فاسدة، فإن ما قد يحدث هو ديستوبيا واستبداد. أصبح المجتمع البائس حقيقة في هذا القرن، مجتمعاً غير مرحب به مطلقا، لأنه لا يتمتع بالحرية ويمتلئ بالخوف. ما يحدث في إندونيسيا: تبدأ مواقف الواقع المرير في أن تصبح حقيقة، عندما يصبح النقد أمراً مخيفاً لأهلها، عندما يتم قصف الأمور الشخصية لمجرد أن وجهات نظرهم تتعارض مع الحكومة، عندما تواجه بتهديدات التشهير لمجرد قول الحقيقة.

لقد خلق هذا الجرس موقفاً مروعاً، لأنه مثل مراجعة تيمبو لشهر تشرين الأول/أكتوبر 2019، يمكن لهؤلاء الأشخاص بسهولة الحصول على ملفات تعريف لمن يعتبرونهم معارضين، مثل بطاقات الهوية وأرقام الهواتف وحتى نوع الهاتف الخلوي المستخدم. وجودهم على وسائل التواصل مكلف بتأمين سياسات النظام من خلال نشر أخبار كاذبة للتأثير على الرأي العام والمواقف.

ومن المثير للاهتمام أن الجرس يزدهر بالفعل في ظل نظام ديمقراطي، لأن الدولة لا تريد أن تكون في الصورة مباشرةً لتجنب وصفها بالسلطوية. لذا، فإن مطلقي الأجراس موجودون هنا لنشر الافتراء ويصبحون جلادين افتراضيين على وسائل التواصل لأي شخص يتكلم بصوت عال منتقدا الحكومة. إن وجود هذا الجرس يكشف في الواقع المزاعم الكاذبة لمن يدعم الديمقراطية. لقد تم التأكيد دائماً على أن الديمقراطية قادرة على توحيد الأمة، وأنها تمكن من التداول السلمي للسلطة، وتعطي الحقوق للجميع، وأنها تحمي الأقليات، وتقمع أعمال الشغب، وتمكن من النقاش المثمر وهذا هو ذروة الحضارة. ولكن ما هي الحقيقة؟ أنه لا مجال للآراء المختلفة، ناهيك عن الآراء التي تأتي من وجهة نظر إسلامية.

عندما يتعذر على السلطات التحكم في التدفق السريع للمعلومات، فإن ما تفعله هو خلق "فوضى" في المعلومات عن طريق السماح لتدفق المعلومات المضللة وإغراق وسائل التواصل، بما في ذلك الحفاظ على قاتل رقمي مستأجر يُطلق عليه "الجرس" للقيام بعملهم و"قتل الرسول" أي إسكات أصحاب الحق ومنهم حملة دعوة الإسلام.

هذه الظاهرة الجديدة تدل على اليأس أيضاً من هزيمة الإسلام فكريا؛ لأن هذه الأنظمة لا تحاول إسكات الدعوة الإسلامية فحسب، بل تمارس أيضاً أساليب متلاعبة قذرة لتشويه سمعة الإسلام ودعاة الخلافة. لقد حاولوا في السابق منع تدفق الاتصال والرقابة عليه وعرقلته، لكن هذه الطريقة لم تنجح في وقف الدعوة الإسلامية. والآن يقودون إلى استراتيجية استقطاب تخون قيمهم الخاصة من خلال استخدام وسائل التواصل للسيطرة على الناس وزرع الارتباك والجهل والتحيز وفوضى المعلومات.

وصدق النبي ﷺ حين قال: «سَيَأْتِيَ عَلَى الناَّسِ سَنَوَاتٌ خَدَّاعَاتٌ يُصَدَّقُ فِيْهَا الْكَاذِبُ وَيُكَذَّبُ فِيْهَا الصَّادِقُ وَيُؤْتَمَنُ فِيْهَا الْخَائِنُ وَيُخَوَّنُ فِيْهَا الأَمِيْنُ وَيَنْطِقُ فِيْهَا الرُّوَيْبِضَةُ قِيْلَ وَمَا الرُّوَيْبِضَةُ قَالَ الرَّجُلُ التَّافِهُ فِي أَمْرِ الْعَامَّةِ رواه الحاكم

الضغط والاضطهاد المتزايد على النشطاء المسلمين علامة على اقتراب النصر. في هذه المرحلة، هناك حاجة متزايدة إلى شجاعة وتصميم المسلمين لنظهر لله أننا أهل للنصر الحقيقي للإسلام، إن شاء الله.

﴿يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فيكا قمارة

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon