اللغة الدبلوماسية الأمريكية، تحت ستار السلام، تسير في ركب استمرار الحرب في أفغانستان (مترجم)
اللغة الدبلوماسية الأمريكية، تحت ستار السلام، تسير في ركب استمرار الحرب في أفغانستان (مترجم)

الخبر:   في الوقت الذي بدأت فيه الجولة الثامنة من محادثات السلام بين وفدي أمريكا وطالبان في الدوحة، كتب زلماي خليل زاد، الممثل الأمريكي الخاص للمصالحة في أفغانستان، على تويتر: "طالبان تشير إلى أنها ترغب في إبرام اتفاق". وأضاف: "نحن على استعداد للتوصل إلى اتفاق جيد. اتفاق سلام يمكّننا من الانسحاب. وجودنا في أفغانستان يعتمد على الظروف وأي انسحاب سيكون قائماً على الظروف".

0:00 0:00
Speed:
August 12, 2019

اللغة الدبلوماسية الأمريكية، تحت ستار السلام، تسير في ركب استمرار الحرب في أفغانستان (مترجم)

اللغة الدبلوماسية الأمريكية، تحت ستار السلام،

تسير في ركب استمرار الحرب في أفغانستان

(مترجم)

الخبر:

في الوقت الذي بدأت فيه الجولة الثامنة من محادثات السلام بين وفدي أمريكا وطالبان في الدوحة، كتب زلماي خليل زاد، الممثل الأمريكي الخاص للمصالحة في أفغانستان، على تويتر: "طالبان تشير إلى أنها ترغب في إبرام اتفاق". وأضاف: "نحن على استعداد للتوصل إلى اتفاق جيد. اتفاق سلام يمكّننا من الانسحاب. وجودنا في أفغانستان يعتمد على الظروف وأي انسحاب سيكون قائماً على الظروف".

التعليق:

على الرغم من أن ضمان عدم استخدام الأراضي الأفغانية من (الجماعات الإرهابية) وكذلك الانسحاب التدريجي للقوات الأمريكية من أفغانستان هي المحاور الأساسية في اتفاق السلام بين وفدي الطرفين، واقتطاع "اتفاقية السلام" من "اتفاق الانسحاب" من جدول الأعمال، فإن ذلك كله لا يكشف عن المكر والخديعة الكبيرين إضافة إلى الدبلوماسية الوهمية أمريكا فحسب، وإنما يتحدث ضمنياً عن الفخاخ التي نصبتها أمريكا لطالبان على طول الطريق. إضافة إلى ذلك، فإن فصل "الحوار الأفغاني" و"المفاوضات التي تقودها الولايات المتحدة" يمثل معضلة كبيرة أخرى تلقي بظلالها على العملية لأن إحدى المراحل الأكثر إثارة للجدل بعد اتفاق أمريكا - طالبان ستكون حول كيفية حدوث اتفاق بين مختلف الفصائل الأفغانية.

كما يمكن للمرء أن يفهم أن "الحوار الأفغاني" سيتم ترتيبه بشكل أساسي لطالبان من أجل جعلهم يعترفون بالإنجازات الغربية التي استمرت 18 عاماً في أفغانستان، مثل الحريات الديمقراطية والدستور الأفغاني العلماني وحقوق الإنسان وحقوق المرأة، وحرية وسائل الإعلام وهلم جرا. هذه هي القيم التي لم تتنازل عنها طالبان بعد. تخيل أنه إذا وقف الطرفان (الفصائل الأفغانية وممثلو طالبان) عند مواقفهم بعد تسوية اتفاق السلام بين أمريكا وحركة طالبان رداً على وقف شامل لإطلاق النار، فإن الجمود سيكون مآل العملية ما سيشعر عامة الناس بأن الأمريكيين قاموا بتفرقتهم، لذا فالأفغان أنفسهم هم الذين يُفشلون عملية السلام في أفغانستان، وليس الأمريكيون. في وقت لاحق، ستكون هناك احتمالات بأن يتخلى عدد من طالبان عن مواقفهم من أجل المساعدة في المضي قدما في عملية السلام، كما فعل حزب الإسلام - ما يداعبه الواقع السياسي لأفغانستان. وسيواصل عدد كبير من طالبان، الذين ظهروا كمعارضة لهذه العملية، الحرب تحت عنوان مشابه أو مختلف في أجزاء مختلفة من أفغانستان.

بالإضافة إلى ذلك، بعد تسوية الاتفاق، سيتم إثارة استياء طبيعي من طالبان سيؤدي بوضوح إلى تجزئة الوحدة بين طالبان على المدى الطويل، ومثل هذا الانقسام الداخلي سيمهد الطريق لأمريكا في النهاية للانسحاب دون جهد من الاتفاق. يمكن للمرء أن يرى احتمالية واضحة للانقسام بين صفوف طالبان. على سبيل المثال، نتيجة للقصف الشديد للمدنيين من القوات الأمريكية والأفغانية، تم إنشاء فجوة كبيرة بين طالبان وعامة الناس - مما أفقد مقاتلي طالبان ثقة سكان الريف. بالإضافة إلى ذلك، فقد قيل بأن النزاعات اندلعت بين مقاتلي طالبان وقيادتهم السياسية في قطر حول كيفية المضي قدما في محادثات السلام مع أمريكا. وبالمثل، لوحظ أن بعض قادة طالبان من الدرجة الثانية في المقاطعات الجنوبية دعوا مقاتلي طالبان إلى تجاهل محادثات السلام في قطر ومواصلة الحرب. إلى جانب ذلك، على جانبي خط دوراند، هناك روايات عن إنشاء فصيل مقاتلين جدد لطالبان لمواصلة الحرب مع أمريكا وحكومة كابول.

على الرغم من أن طالبان كانت تتحدث في ذلك الوقت عن انسحاب أمريكا ورغبة طالبان في الحصول على السلطة، إلا أن بعض القادة السياسيين الذين كان لأمريكا دور في نشرهم في أفغانستان، لاحظوا نوايا الشر الخبيثة لأمريكا في هذه العملية. كان الرئيس الأفغاني السابق حميد كرزاي أحد منتقدي عملية السلام الذي قال مؤخراً بأن محادثات السلام لم تكن أبداً عملية تقودها أفغانستان (تحت سيطرة الأفغان) وبأن العملية اتخذت تدابير ملحوظة لوضع العملية في أيدي أمريكا وباكستان. وقال "دور الهند وإيران ودول الجوار الأخرى مهم في عملية السلام، وعليها ضمان السلام في أفغانستان"، مضيفاً أنه "إذا انسحبت الولايات المتحدة، يجب أن يكون هناك سلام في أفغانستان. يجب على الولايات المتحدة أن تضمن انسحاباً مسؤولاً، ويجب ألا تسمح لباكستان بالتسبب في فوضى أخرى في أفغانستان". مثل هذا التصريح نفسه يعني أنه حتى بعد الاتفاق، ستكون هناك حرب أخرى بالتأكيد يجب أن تكون الدول المجاورة مسؤولة عنها، وليس أمريكا.

نتيجة لذلك، فإن تفاؤل طالبان وثقتها بأمريكا من خلال محادثات السلام الجارية سيكون خطأً تاريخياً لحركة طالبان التي لن يتم تصحيحها بعد الآن. ولأن أمريكا قد انسحبت مرارا وتكرارا من العديد من الاتفاقيات على مدار تاريخها، فإن ذلك يشير إلى أن أمريكا ستنسحب بالتأكيد من اتفاقية السلام بين أمريكا وحركة طالبان كما فعلت مع الانسحاب من الاتفاق النووي مع إيران ومعاهدة القوى النووية متوسطة المدى (INF) مع روسيا. هذه بعض النماذج الحديثة للغاية حول فشل الدول القوية من مثل روسيا والدول الأوروبية وإيران في منع انسحاب أمريكا من تلك الاتفاقيات. لذلك يجب أن يكون واضحاً بأن أمريكا قد حسمت الاتفاقيات باستمرار، وإذا لم يؤمن هذا الاتفاق المصالح الأمريكية، فإن أمريكا ستنتهكه دون عناء. لذلك، لا ينبغي لطالبان أن تترك مصيرها يتلاشى من أجل حملة ترامب الانتخابية لعام 2020. وبالتالي، ففي مثل هذه الحالة الحرجة، فإن الحل الوحيد لهذه المعضلة هو أن تنهي طالبان محادثات السلام مع أمريكا على الفور، وأن تلتزم بالأحكام الإسلامية من خلال تعزيز الجهاد ضد الاحتلال ومواصلة كفاحها ضد المحتل الاستعماري حتى اللحظة الأخيرة. وحده الصبر والمثابرة ما سيضمن النصر في مثل هذه الحالات. ومثلما ساعدت هزيمة الاتحاد السوفيتي في أفغانستان على القضاء على الشيوعية الاستبدادية من على وجه الأرض؛ فبالمثل، ستضع هزيمة أمريكا حداً للهيمنة الديمقراطية الرأسمالية على العالم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سيف الله مستنير

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية أفغانستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon