الليبرالية هي إفشال للمرأة حتى في أكثر البلدان العلمانية ازدهارا وحداثة
الليبرالية هي إفشال للمرأة حتى في أكثر البلدان العلمانية ازدهارا وحداثة

ذكر المكتب المستقل لسلوك الشرطة أن اثنين من ضباط شرطة العاصمة وواحد من كل من القوات في ساسكس ودورسيت وآفون وسومرسيت سيخضعون لإجراءات سوء سلوك. ويواجه خمسة من ضباط الشرطة من أربع قوى مختلفة إجراءات تأديبية بسبب رسائل حول واين كوزنز. وكان كوزنز قد حكم عليه بالسجن مدى الحياة الشهر الماضي بعد اعترافه باختطاف واغتصاب وقتل سارة إيفرارد. ...

0:00 0:00
Speed:
October 30, 2021

الليبرالية هي إفشال للمرأة حتى في أكثر البلدان العلمانية ازدهارا وحداثة

الليبرالية هي إفشال للمرأة حتى في أكثر البلدان العلمانية ازدهارا وحداثة

(مترجم)

الخبر:

ذكر المكتب المستقل لسلوك الشرطة أن اثنين من ضباط شرطة العاصمة وواحد من كل من القوات في ساسكس ودورسيت وآفون وسومرسيت سيخضعون لإجراءات سوء سلوك.

ويواجه خمسة من ضباط الشرطة من أربع قوى مختلفة إجراءات تأديبية بسبب رسائل حول واين كوزنز. وكان كوزنز قد حكم عليه بالسجن مدى الحياة الشهر الماضي بعد اعترافه باختطاف واغتصاب وقتل سارة إيفرارد.

الآن، ضابطان من شرطة العاصمة، وواحد من كل قوة في ساسكس، دورسيت وآفون وسومرسيت يخضعون لجلسات استماع لسوء السلوك.

وفي آذار/مارس، أحيل أحد ضباط "شرطة ميت" الذين يواجهون إجراءات تأديبية إلى "المكتب المستقل لسلوك الشرطة". وتم التحقيق مع الشرطي تحت المراقبة، الذي ذهب إلى الموظفين كجزء من البحث عن السيدة إيفرارد، تم التحقيق معه حول مزاعم استخدام الواتساب "لمشاركته مع زملائه رسما غير لائق، يصور العنف ضد المرأة" بينما كان خارج الخدمة. وأشار التحقيق، الذي انتهى في آب/أغسطس، إلى أن الرسم كان يهدف إلى الإشارة إلى اختطاف وقتل سارة إيفرارد. (سكاي نيوز)

التعليق:

وجدت دراسة استقصائية أجريت على مستوى الاتحاد الأوروبي في عام 2014 أن 44٪ من النساء يدعين العنف الجسدي أو الجنسي مع مستويات في فرنسا تصل إلى مستويات المملكة المتحدة نفسها.

ألمانيا وفرنسا كان لديهما أسوأ سجلات قتل الإناث. وكان في فرنسا 146 حالة قتل على يد شريك سابق في عام 2019 وحده. (فكم عدد الذين قتلوا على يد رجال في المجموع؟)، وفي عام 2017، شهدت رومانيا وأيرلندا الشمالية أكبر عدد من قتل الإناث للفرد الواحد. وفي بريطانيا تقتل 4 نساء كل 4 أيام. بي بي سي وضعت مؤخرا في كل 3 أيام.

واتهم 2000 من ضباط الشرطة بسوء السلوك الجنسي، بما في ذلك الاعتداء خلال السنوات الأربعين الماضية. قتلت 15 امرأة على أيدي ضباط شرطة نشطين أو سابقين منذ عام 2019.

هذه ليست مجرد مشكلة شرطة إنما مستنقع مستوطن في المجتمعات الليبرالية. بل إنها لعبة قادتها ونخبها. من كراهية النساء العلنية للرئيس الأمريكي السابق ترامب والاعتداءات المزعومة على النساء، إلى سلسلة الإساءات المروعة التي تعرض لها قطب السينما هارفي واينشتاين، إلى الاتجار بالفتيات للإساءة على يد  الممول الراحل جيفري إبستاين الذي يزعم أن زبائنه كان من بينهم قادة عالميون، وأغنياء ومشاهير في المجتمع العلماني الليبرالي.

وبريطانيا إما غير راغبة أو غير قادرة على حل هذه المشكلة. حيث رفض رئيس الوزراء جونسون، وهو زانٍ متسلسل سيئ السمعة، تجريم كراهية النساء والتحرش الجنسي العلني بالنساء. ويبدو أن وزير العدل الجديد الذي يركز على الليزر لا يعرف حتى ما تعنيه كراهية النساء. وزير الداخلية باتيل، لا مثيل له على الإطلاق لحجم وخطورة هذه الأزمة المقلقة والملحة في الشرطة والمجتمع الأوسع.

حتى المتحولون جنسيا من الرجال يعانون من سوء المعاملة. ففي أمريكا، هاجم صبي متحول جنسيا، فتيات الصف التاسع في دورات مياه المدارس الخاصة بالإناث (ستون بريدج هاي، فيرجينيا). وفي المملكة المتحدة، يعتبر السجناء الذكور المعاد تحديد جنسهم، الذين ينقلون إلى سجون الإناث، أكثر عرضة لمهاجمة السجينات. وفي الواقع لقد فعلوا ذلك.

بعد قرون، لا تزال المجتمعات المدنية الليبرالية أساسا، ولا يزال بناء الرجال والنساء تحت رحمة المواقف والأحكام المسبقة والقوانين الوضعية في نهاية المطاف. وحتى وقت قريب، كانت النساء من ممتلكات أزواجهن. وقبل قانون ممتلكات المرأة المتزوجة لعام 1887، أصبحت جميع ممتلكات الزوجة حتى الموروثة ملكا له. وقبل عام 1990، كان دخل المرأة المتزوجة يعامل على أنه دخل زوجها.

حتى الآن، في القرن الحادي والعشرين، لا تتمتع المرأة الغربية بنفس الحقوق ولا الأمن الذي يكفلها لها الإسلام. ومع ذلك، فإن هذه المجتمعات الغربية نفسها لديها القدرة على إلقاء خطب للمسلمين حول حقوق المرأة. إنهم مهووسون بالمرأة المسلمة. إن المطالبة بالكرامة والحرية التي يزعمون أنها لا يمكن تحقيقها إلا من خلال الكشف عنها والتشويش عليها مثل المرأة الليبرالية في أراضيها.

ومن المفارقات أن المعايير المدنية والحقوق المضمونة للديمقراطية الليبرالية لا تمتد إلى جميع النساء، وخاصة النساء المسلمات في الغرب. إن المسلمة تتعرض للمضايقة وسوء المعاملة إلى ما لا نهاية لمجرد كونها مخلصة لعقيدتها. ولا حق لها في المعتقد، ولا يسمح بلبس ما يحلو لها. بل اعتقلن وغرمن وفصلن من وظائفهن وحرمن من التعليم العالي واضطهدن وظلمن لمجرد رفضهن خلع الحجاب.

هل هذه هي مبادئ شعب يريد بصدق حماية المرأة أو الاهتمام برفاهيتها؟!

لا يترك الإسلام حقوق المرأة وأمنها وشرفها ليقررها الرجل أو المرأة. بل يتم تحديد كل ذلك من خلال الشريعة التي أنزلها لنا الله سبحانه وتعالى. ويأمر الإسلام الرجال بمعاملة نسائهم معاملة حسنة. سواء كن زوجاتهم أو أمهاتهم أو بناتهم. عن عبد الله بن عمرو رضي الله عنه، قال رسول الله ﷺ: «خِيَارُكُمْ خِيَارُكُمْ لِنِسَائِهِمْ».

لقد حدد الإسلام حقوق ومسؤوليات كل من المرأة والرجل. فكانت للمرأة حقوق ليس فقط في التملك ولكن أيضا في الوكالة.

يبدأ الزواج في الإسلام بالمهر، وهو هدية من الزوج للزوجة، ويعتبر الحب والطمأنينة بين الزوج والزوجة من آيات الله سبحانه وتعالى. ﴿وَمِنْ آيَاتِهِ أَنْ خَلَقَ لَكُم مِّنْ أَنفُسِكُمْ أَزْوَاجاً لِّتَسْكُنُوا إِلَيْهَا وَجَعَلَ بَيْنَكُم مَّوَدَّةً وَرَحْمَةً إِنَّ فِي ذَلِكَ لَآيَاتٍ لِّقَوْمٍ يَتَفَكَّرُونَ﴾.

يحمي الإسلام شرف المرأة، ويفرض خالق الكون كله عقوبة على من يشوه سمعة المرأة. يقول سبحانه وتعالى: ﴿وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاء فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَداً وَأُوْلَئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ﴾.

ويحمي نظام الإسلام المرأة. فقد قام الخليفة المعتصم بالله بتشكيل جيش كامل استجابة لصرخة امرأة تم أسرها خلال هجوم الإمبراطور البيزنطي ثيوفيلوس على مدينة زباطرة المسلمة. دمر المعتصم بالله عمورية، أقوى مدن البيزنطيين في قلب الإمبراطورية البيزنطية، وأطلق سراح المرأة، في رمضان عام 223هـ / 838م.

العلمانية لا توفر حلاً شاملاً يحمي المرأة ويكرمها. فقط نظام الإسلام هو الذي يحقق ذلك.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

محمد حمزة

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon