المسلمون ينتقدون قرار محكمة الاتحاد الأوروبي بحظر اللباس الشرعي تركيا تعتمد على تحديد المسلمين للدفاع عن مصالحها (مترجم)
المسلمون ينتقدون قرار محكمة الاتحاد الأوروبي بحظر اللباس الشرعي تركيا تعتمد على تحديد المسلمين للدفاع عن مصالحها (مترجم)

الخبر: محكمة العدل التابعة للاتحاد الأوروبي أثارت غضب البلاد الإسلامية بعد أن حكمت في طلبين منفصلين قدمتهما فرنسا وبلجيكا لحظر اللباس الشرعي؛ قائلين إنه بإمكان الشركات منع الموظفين من ارتداء ملابس تظهر رمزًا دينيًا أو فلسفيًا، وقد قالت محكمة الاتحاد الأوروبي بأن قرار حظر تلك الرموز في أماكن العمل لم يكن بقصد التمييز. الرئيس التركي أردوغان يعتبر هذا بداية لحملة صليبية من قبل أوروبا بقوله: "إن الحرب قد بدأت بين الصليب والهلال، لا يوجد هناك تفسير آخر". (المصدر: وكالات).

0:00 0:00
Speed:
March 23, 2017

المسلمون ينتقدون قرار محكمة الاتحاد الأوروبي بحظر اللباس الشرعي تركيا تعتمد على تحديد المسلمين للدفاع عن مصالحها (مترجم)

المسلمون ينتقدون قرار محكمة الاتحاد الأوروبي بحظر اللباس الشرعي

تركيا تعتمد على تحديد المسلمين للدفاع عن مصالحها

(مترجم)

الخبر:

محكمة العدل التابعة للاتحاد الأوروبي أثارت غضب البلاد الإسلامية بعد أن حكمت في طلبين منفصلين قدمتهما فرنسا وبلجيكا لحظر اللباس الشرعي؛ قائلين إنه بإمكان الشركات منع الموظفين من ارتداء ملابس تظهر رمزًا دينيًا أو فلسفيًا، وقد قالت محكمة الاتحاد الأوروبي بأن قرار حظر تلك الرموز في أماكن العمل لم يكن بقصد التمييز. الرئيس التركي أردوغان يعتبر هذا بداية لحملة صليبية من قبل أوروبا بقوله: "إن الحرب قد بدأت بين الصليب والهلال، لا يوجد هناك تفسير آخر". (المصدر: وكالات).

التعليق:

وصف المسلمون في أنحاء العالم هذا الفعل بشكل مباشر وصريح بأنه حظر للمسلمين، وكما قال أردوغان من قبل إن هناك حملة صليبية ضد الإسلام والمسلمين، هناك حرب بين الصليب والهلال. هناك تصرف نازي وروح للفاشية ينموان بشكل سريع في أوروبا. المسلمون في أنحاء العالم بالإضافة إلى منظمات حقوق الإنسان يرون أن الباب مفتوح أمام المزيد من التمييز ضد المرأة المسلمة في أوروبا من جرّاء هذا الحكم بحظر اللباس الشرعي، بالإضافة إلى ذلك هناك مزيد من القيود القانونية التي تمنع الاعتراض على هذه التدابير التمييزية. هذا الحكم مناقض بشكل صارخ للحريات الأساسية التي تكفلها الاتفاقيات الأوروبية الكبرى لحقوق الإنسان، والتي هي بمثابة الكتاب المقدس للدول العلمانية. إنها انتهاكات واضحة وصريحة لحقوق الإنسان وحرية الفكر والاعتقاد فضلاً عن الحق في العمل والتي تعتبر كلها أركاناً للأيديولوجية الرأسمالية.

لا يعتبر أمرًا جديدًا على الدول الرأسمالية وقوانينها أن تتخلى عن مبادئها وقيمها عندما يتعلق الأمر بحقوق المسلمين ووجودهم. المحكمة الأوروبية لحقوق الإنسان والقانون الأوروبي أيدت حظر ارتداء الزي الإسلامي في تركيا وفرنسا وسويسرا في الماضي، كما تدعي سببًا لذلك أن الشريعة غير متوافقة مع المبادئ الديمقراطية والعلمانية، وحماية العلمانية هي أمر أولوي؛ بحيث إذا لزم الأمر يتم حظر الرموز الدينية كاللباس الشرعي وأيضًا الحرب ضد (الإرهاب)، وبالتالي احتلال أفغانستان والعراق الذي قامت به الولايات المتحدة متجاهلة القيم والمبادئ الخاصة والاتفاقيات الدولية والاتفاقيات التي أنشأها الغرب، وجميع المجازر على هذه الأراضي وافتتاح سجني غوانتانامو وأبو غريب وغيرها من الأعمال الوحشية حتى اليوم في سوريا وميانمار وفلسطين والقضايا المماثلة كانت وما زالت تقبل بدعم وتأييد من أوروبا.

الحقيقة هي أن الحملة ضد الإسلام لم تتوقف أبدًا ولو بشكل مؤقت، ولكن يتغير اسمها ليصبح مثلا تحرير المرأة المسلمة من القمع؛ أو إزالة التطرف والعناصر الإرهابية من البلدان الإسلامية، أو ببساطة اندماج المسلمين الذين يعيشون في الغرب مع القيم والمعايير الغربية، حملة المصطلحات الصليبية والحملة الصليبية لم تكن لتوضع جانبًا أبدًا في الغرب ولكن كان يتم إعادة صياغتها وفقا للأوقات المادية والمصالح السياسية. الغرب كان بحاجة إلى قوى عاملة رخيصة لإصلاح البلاد المدمرة فيه عقب الحرب العالمية الثانية؛ لذلك سمح للمسلمين بل ودعاهم لدخول أراضيه باعتبارهم ضرورة اقتصادية وما زال يتحملهم إلى اليوم. مع ذلك؛ اليوم لم تعد هناك فائدة من وجود الدرجة الثانية من الناس من البلدان الإسلامية، بالإضافة إلى ذلك لا يوجد قوة أو طاقة أو سلطة أو تهديد لمنعهم من الإعراب عن الأفكار والآراء العنصرية الخاصة بهم علنا. حتى إن السياسيين في الغرب يعبرون علنًا عن موقفهم ضد الإسلام مثل وزيرة خارجية بلجيكا للحد من الفقر وتكافؤ الفرص (زوهال ديمير) والتي والداها من أصل كردي هاجروا إلى تركيا؛ تتحدث مع "دي تيجد" كل يوم اثنين وقالت: "ينبغي على المسلمين تبني قيمنا؛ لكن معظمهم لن يفعل ذلك بمبادرة فردية، بعضهم يتطلب مساعدة أو قوة". إنها دافعت عن الحاكم الأعلى في محكمة الاتحاد الأوروبي بوصفه "المتحكم في اللعبة"...

لذا؛ ماذا بعد؟ ما هي الخطوة التالية التي سيأخذها سياسيو تركيا ومنظماتها؟ المسلمون يتوقعون خطوات بالأخص من تركيا، وزارة العدل في تركيا وعدت بتوفير الدعم القانوني للنساء التركيات في فرنسا وبلجيكا بتعيين محام مجاني إذا طُردن من عملهن بسبب ارتدائهن للزي الشرعي. ومرّةً أخرى تركيا تؤكد ثقتها بالمحاكم والقوانين الفاسدة؛ بدلاً من أخذ الإجراءات الصحيحة ضد انتهاكات حقوق المسلمين ولا سيما المرأة، إنها تثبت عدم قدرتها على العمل ضد قوانين الغرب؛ وهذا بات واضحًا بالأخص بعد أن مُنعت وزيرة الأسرة والشؤون الاجتماعية (فاطمة كايا) من دخول القنصلية التركية في روتردام في 11 آذار/مارس. إنها ليست مجرد امرأة أو حتى سياسية؛ إنها وزيرة الجمهورية التركية، ما زالت تتعرض للإذلال وتم اعتقال حراسها وترحيلها من هولندا، لقد كانت شجاعة بلا شك وهذا الشيء الذي لا يمكن وصف تركيا به! ونحن نستطيع أن نتوقع المصالحة مع الغرب مع اقتراب انتهاء الاستفتاء في نيسان/أبريل.

طالما أن تركيا تتمسك بقيمها المفروضة ونظامها فإنها لن تتمكن من حماية أو الدفاع عن أي حق من حقوق المسلمين سواء أكانوا من رعاياها أم لا. ستبقى دائمًا تطلق عبارات حماسية وخطابات فارغة وتقوم بالأعمال الرخيصة التي لا معنى لها مثل ترحيل الماشية المستوردة من هولندا... إلى الآن تركيا تعتمد على السلطة والمقاومة وتحديد المسلمين لحماية قادة الدولة التركية. السؤال هو: إلى متى سيبقى ذلك؟.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

زهرة مالك

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon