القادة الدينيون وقضية اتفاقية موانئ دبي العالمية في تنزانيا
القادة الدينيون وقضية اتفاقية موانئ دبي العالمية في تنزانيا

الخبر: في 10 حزيران/يونيو 2023، صادق برلمان جمهورية تنزانيا المتحدة على اتفاقية حكومية دولية بين تنزانيا ودبي والتي من شأنها أن تسمح لشركة دبي متعددة الجنسيات (موانئ دبي العالمية) بتشغيل موانئ تنزانيا، وخاصة الميناء الواقع في مدينة دار السلام.

0:00 0:00
Speed:
July 18, 2023

القادة الدينيون وقضية اتفاقية موانئ دبي العالمية في تنزانيا

القادة الدينيون وقضية اتفاقية موانئ دبي العالمية في تنزانيا

(مترجم)

الخبر:

في 10 حزيران/يونيو 2023، صادق برلمان جمهورية تنزانيا المتحدة على اتفاقية حكومية دولية بين تنزانيا ودبي والتي من شأنها أن تسمح لشركة دبي متعددة الجنسيات (موانئ دبي العالمية) بتشغيل موانئ تنزانيا، وخاصة الميناء الواقع في مدينة دار السلام.

التعليق:

أثارت الاتفاقية آراء متباينة بين الناس، حيث وصفها مقترحو الصفقة، وخاصة الحزب الحاكم وأنصاره، بأنها الأفضل، بينما يصفها المعارضون والمعارضة وأنصارها بأنها الأسوأ.

أثار النقاش أيضاً انتقاد بعض الزعماء الدينيين للصفقة، مثل الأسقف المتقاعد لأبرشية دار السلام الكاثوليكية، الكاردينال بوليكارب بينجو، أثناء مقابلة مع قناة المجلس التنزاني الأسقفية على موقع يوتيوب، حيث قال: "إذا فشل المستثمر التنزاني، فلا يمكنك رميه بعيداً والقول بأنه يمكنك الحصول على الكثير من المال من خلال إحضار شخص أجنبي" (موانانتشي 2023/06/18)

إن القول بأن القادة النصارى لديهم مخاوف بشأن المصالح الوطنية ورفاهية الشعب ليس صحيحاً، فعلى سبيل المثال لم يكن السيد بينجو غافلاً فحسب خلال النظام السابق لجون ماجوفولي، حيث كان يقوم بقتل العديد من الأشخاص وتعذيبهم وسجنهم واحتجازهم زوراً، بل كان مؤيداً قوياً لنظام ماجوفولي لدرجة أنه كان يتساءل لماذا أطلق عليه الناس اسم الديكتاتور ماجوفولي.

ادعى الكاردينال بينجو، في 18 تشرين الثاني/نوفمبر 2019، خلال لقاء بين الزعماء الدينيين والمفوض الإقليمي لدار السلام آنذاك بول ماكوندا، أن الأشخاص الذين كانوا يتحدثون بشكل معارض للنظام يتجاهلون شؤون الناس ويركزون على تطوير أشياء مثل الطرق والسكك الحديدية، إلخ، وهذه الأمور كانت تضلل الناس حسب رأيه، حيث قال: "كانت هناك شائعات بأن رئيسنا ديكتاتور... إنه يتعامل مع تطوير الأشياء بدلاً من تطوير الناس". (موانانتشي 2019/11/18).

إنه لأمر مدهش أنه بينما ينتقد القادة النصارى الصفقة بين دبي وتنزانيا باعتبارها اتفاقية غير عادلة غير محددة المدة، إلا أنهم التزموا الصمت منذ سنوات بشأن الصفقة بين الحكومة ومؤسساتهم الدينية النصرانية. هذه الصفقة الخاصة من مذكرة التفاهم المبرمة منذ عام 1992 بين الحكومة والكنائس تعمل لصالح النصارى ومؤسساتهم حيث تستخدم الحكومة الأموال العامة لدعم المرافق الصحية الكنسية وهذا مناقض للحال بالنسبة للمسلمين. يدرك المسلمون أن الحكومة تخدم مصالح النصارى على حساب المسلمين وغيرهم من أهل البلد.

على الرغم من حقيقة أن الاتفاقية بين تنزانيا وشركة موانئ دبي العالمية متعددة الجنسيات غير عادلة لأنها اعتمدت على أساس رأسمالي، فإن قادة الكنيسة ليس لديهم أي حق أخلاقي على الإطلاق لانتقاد الصفقة لأنهم لا يهتمون حقاً بمصالح الناس، حيث كانوا من الداعمين لمثل هذا الاستغلال ولاتفاقيات عرقية مع الحكومة. تفضل مذكرة التفاهم مجموعة واحدة (النصارى) من بين مجموعتين رئيسيتين من الديانات في البلاد (المسلمون والنصارى)، مع العلم أن المسلمين هم على الأرجح أغلبية السكان.

علاوة على ذلك، من المعروف بالتأكيد أن النصرانية هي دين روحي جزئي فقط ولا يتطرق لحل المسائل الدنيوية، لذلك يقدم أتباعها دائماً حلاً قائماً على المصالح الرأسمالية لأن دينهم يفتقر إلى الأنظمة السياسية والاقتصادية.

فيما يتعلق ببعض القادة المسلمين الذين يقترحون ويدعمون صفقة خصخصة الميناء لصالح شركة موانئ دبي العالمية، فقد أثاروا فقط موجة الاستفزاز التي قام بها القادة النصارى دون تقديم أي حل إسلامي مبدئي كما لو أن الإسلام لم يقدم أي حكم فيما يتعلق بالممتلكات العامة! في الحقيقة، كان ينبغي أن يقدموا حلاً واضحاً لهذه المسألة وفقاً للأحكام الإسلامية التي لديها تحليل وتفسير واسع النطاق لأحكام الملكيات والمرافق العامة.

ففي الإسلام، تعتبر الموانئ من بين المرافق العامة الخاضعة للملكية العامة. ومن حق جميع الناس التمتع بالملكيات العامة، ويمكن تسليم إدارتها للخليفة (الدولة)، ثم تعود منافعها إلى الأمة.

لذلك، يحرم على الأفراد التحكم في جميع أنواع الملكيات المدرجة في فئة الملكية العامة بما في ذلك الموانئ أو الاستفادة منها وإدارتها بشكل خاص، وبالتالي فإن خصخصة الملكيات العامة هي عمل محرم. قال النبي محمد ﷺ: «النَّاسُ شُرَكَاءُ فِي ثَلَاثٍ فِي الْكَلَإِ وَالْمَاءِ وَالنَّارِ».

إن الخصخصة هي سياسة اقتصادية رأسمالية قامت بتدمير الجانب الاجتماعي والاقتصادي، فهي تجعل الثروة متداولة فقط بين الأغنياء. وبالتالي، لا يمكن للأغلبية الاستفادة من هذه الثروات، وسيصبح توزيع الثروة غير متوازن بشكل متزايد كما نشهد اليوم، حيث إن أغنى 1٪ يحصلون على ما يقرب من ثلثي الثروة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سعيد بيتوموا

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في تنزانيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon