الرعد الذي هز جدران الكرملين (مترجم)
الرعد الذي هز جدران الكرملين (مترجم)

الخبر:   في السادس والعشرين من أيلول/سبتمبر 2018 في مدينة ماجاس الروسية، تم توقيع اتفاق على تقسيم الحدود بين الإقليمين التابعين للاتحاد الروسي - الشيشان وإنغوشيا. وبعد ذلك، اندلع صراع قوي بين الشعبين في المنطقة.

0:00 0:00
Speed:
October 23, 2018

الرعد الذي هز جدران الكرملين (مترجم)

الرعد الذي هز جدران الكرملين

(مترجم)

الخبر:

في السادس والعشرين من أيلول/سبتمبر 2018 في مدينة ماجاس الروسية، تم توقيع اتفاق على تقسيم الحدود بين الإقليمين التابعين للاتحاد الروسي - الشيشان وإنغوشيا. وبعد ذلك، اندلع صراع قوي بين الشعبين في المنطقة.

التعليق:

لفهم جوهر ما جرى، من المهم الإشارة إلى واقع تاريخ هذا النزاع على الأرض بين الشعبين الشقيقين. فالأمر ليس من قبيل الصدفة. خلال الحقبة السوفيتية، كانت هذه الأرض الإسلامية منقسمة على نفسها بفعل بذور القومية، وهكذا ظهرت الشيشان - إنغوشيتيا، قباردينو - بلقاريا، كاراتشاي - شركيسيا. وعندما انهار الاتحاد السوفياتي ظهرت من جمهورية إنغوشيا الشيشانية، منطقتان: الشيشان وإنغوشيا. على الرغم من أن أهل هذين البلدين أمة واحدة تتحدث اللغة ذاتها، واختلافهم ليس إلا في كونهم أبناء مختلفين للأم نفسها.

خلال 10 سنوات قامت في الشيشان حربان ضد روسيا، ومن الطبيعي أن تدخل إنغوشيا هذه الحرب، للأخوّة التي تربط بين الشعبين وتجاور منازلهم. تمكنت روسيا من هزيمة هذا العدد الصغير من الناس بعد المحاولة الثانية، ولم تبلغ ذلك إلا بعد سفك عظيم للدماء. ولأنه وحتى وقت قريب، كانت القضية الأساسية في المنطقة هي الانتعاش من آثار تلك الحروب فقد حاول الناس نسيان هذا الرعب، وحاولت السلطات إظهار أفضل ما لديها، وخلق صورة حسنة عنها.

لذلك، ولفترة طويلة، لم ينزعج أحد من عدم تحديد الحدود بين البلدين بدقة. بعد كل شيء، فقد عُرف أصحاب هذه الأراضي لقرون عدة، ويعرف الجميع أي نوع من الأرض يتبع إلى هذه العشيرة أو تلك.

لكن في بداية آب/أغسطس 2018 في القوقاز انطلق الرعد الذي هز جدران الكرملين. يوسوب تميرخانوف، الذي كان يقضي حكما لقتله العقيد الروسي بودانوف، توفي في السجن. وكان هذا العقيد الروسي قد قام في عام 2000 باغتصاب وقتل وإساءة معاملة جثة الفتاة الشيشانية إلسا كونغاييفا. ولذلك، عُدَّ يوسوب تميرخانوف بطلا بين شعبه. وعندما توفي في السجن، بعد تعرضه للتعذيب وظروف السجن القاسية، تجمعت كل شعوب القوقاز في الخامس من آب/أغسطس في عاصمة الشيشان، غروزني، من أجل الشخص الذي يمثل من تحدى القوات الروسية ووقف لها بالمرصاد في آخر الطريق.

وكانت السلطات خائفة بشكل جدي عندما شاهدت 200 ألف مسلم من جنسيات مختلفة من مناطق القوقاز، كلهم يكبرون الله معا. هذا الخوف من غزو الإسلام عبّر عنه الجنرال ماتوفنيكوف، الممثل المفوض للرئيس الروسي في القوقاز في 27 أيلول/سبتمبر حين قال: "نحن نشهد زيادة ملحوظة في عدد الأشخاص الذين انتقلوا للإسلام من ديانات أخرى".

وقال باشورين، رئيس مديرية الشؤون الداخلية في القوقاز الوسطى: "أصبح المؤمنون الجدد هم أكثر المؤيدين المتحمسين والمتعصبين للأيديولوجيات (المتطرفة) و(الإرهابية). في النصف الأول من عام 2018 وحده، كان هناك 1058 معتنقا جديدا للإسلام. هذا يمثل جزءاً كبيرا من الرعايا، ويجب ألا يكونوا مختلفين عنا".

ومن هنا يصبح من الواضح أن السلطات هي من يلجأ إلى الأساليب القذرة المتمثلة في تأليب الشعوب ضد بعضها بعضاً في منطقة متعددة الجنسيات من أجل منع الناس من التفكير في أهم القضايا. هذه القضايا تتعلق بإحياء طريقة الحياة الإسلامية وموقف السلطة الروسية من المسلمين. حاول الحكام منع مثل هذا التقارب الحميمي الدرامي للعلاقات بين شعوب المنطقة ورغبتهم في الإسلام، فبدأت مكائدهم.

لذلك بدأوا اتفاقية تقسيم الأرض المثيرة للجدل هذه. وبدأت الحالة تتنامى وتتصاعد سخونتها في المنطقة. فاستقال رئيس الإقليم، الذي أصبح جزءٌ من أراضيه جزءاً من الشيشان، واستقال معه العديد من نواب الجمعية المحلية. كما كانت هناك اعتقالات وعمليات بحث عن المعارضين النشطين لهذه الاتفاقية. وكل هذا يحدث على خلفية حقيقة أن نص الاتفاق لم ينشر بعد، أي أن الحكومة تتعمد إبقاء الناس في جهل، ما يدفعهم إلى عدم الثقة والعدائية. شبكات التواصل تغلي ضد الحملات المحلية، ويخشى الكثيرون بالفعل من إراقة الدماء.

بالإضافة إلى هذا النزاع على الأرض كان هناك صراع كبير آخر بين الإنغوش والشيشان في القوقاز. ففي 19 أيلول/سبتمبر، وقعت مصادمات جماعية في قباردينو - بلقاريا، حيث شارك مئات الأشخاص في المعارك بين الأعراق، وكان سبب هذا الصراع هو مسيرة الفروسية بمناسبة الاحتفال بالانتصار على قوات الخلافة العثمانية في عام 1708م. الشعوب الشقيقة ذاتها من المسلمين - القبارديين والبلقار شاركت في هذا الاستفزاز، بدعم من السلطات. ولتهدئة هذه الاضطرابات استدعيت الشرطة من جنسيات أخرى من الجمهوريات المجاورة، الأوسيتيين والإنغوش.

وقد علّق تنوف، أستاذ علم الاجتماع في جامعة كاباردينو- بالقاريان، على هذه الأحداث قائلا: "منذ 5-6 سنوات، تمت ملاحظة تنامي الإسلام في منطقتنا. وكان من الواضح كيف تعارض السلطات هذا الأمر للعامل العرقي..." (غازيتا فزلياد، 20 أيلول/سبتمبر 2018).

هذا فقط هو أكثر ما نعرفه عما تقوم به السلطات لتأليب شعوب القوقاز على بعضها بعضاً. فبسبب خوفهم من انتشار الإسلام، يلجأون إلى أساس آخر، وهو القومية. كل همهم إراقة الدماء ليكون لهم الحكم والسيطرة على هذه الصراعات. هم يريدون إجبار المسلمين على البحث عن حل يحقق النفع لهم فحسب.

لكن الإسلام لا يدخل قلوب الناس إلا وينعكس في سلوكهم. إننا نرى أن صوت الإسلام أصبح أعلى وأقوى. وفي جميع الخلافات المثيرة للجدل حول هذه الصراعات، هناك دائما من يشير إلى ضرورة نبذ القومية، والناس يشيرون بشكل متزايد إلى الأسباب الحقيقية لهذه المصائب ويفهمون أن العدو يريد تقطيع أوصالهم.

﴿إِنَّ اللَّهَ لاَ يُغَيِّرُ مَا بِقَوْمٍ حَتَّى يُغَيِّرُوا مَا بِأَنفُسِهِمْ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

ابراهيم سليمانوف

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon